ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Tunachojua ataolewa hayo mengine Utajua wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa unaongea hivyo kama nani yaani?Ukifa habari yako imeisha, ya duniani haya kuhusu tena kwa hiyo kama mkeo anavutia lazima tumuoe.
Sawa TutaonaTunachojua ataolewa hayo mengine Utajua wewe
Nikukoswa ustaarabu kuoa mke wa marehemu . mke wa mwanaume mwenzio hata kama amefariki Nivyema na hakiNikifa MkeWangu Asiolewe njoo utoe neno best.
Wahuni hatusubiri ufe, tunajipigia sema hujui akisema anaenda kwao yupo kwanguSalamu wanajf!!
Kakitaka kitu kitaniuma humu duniani nikusikia mke wangu kaolewa ...
Kaka utawaponza watu wajaribu shenzi kabisaNa hata kama havutii,tunamkabidhi yule kaka yake mkubwa amuoe.Hatutaki ajawe upweke.Only the deads are lonely ones.
Naunga mkono hoja
Ukweli mchungu huuKabla hata hujafa, kuna mwamba anapoa nae.
Acha wivu ndugu yangu.Siyo uislamu huo.Tuachie tukulelee mke,watoto na nyumba.Kwanza mbinguni hakuna kuoa.Wewe unataka uende naye wa nini!?😃Yaani hapa hamtafaidi kitu
Kwanza kabisa huyu ni ubavu wangu ni kiondoka nae shida ipo wapi?
Huyu mwanamke sijui wewe maskini utamdanganya na nini?Wahuni hatusubiri ufe, tunajipigia sema hujui akisema anaenda kwao yupo kwangu
Bwata limelolea pole sana mkuu uyo mkeo mpaka muda huu kuna mwamba anapiga sana tu adi ambapo wewe hupigiSalamu wanajf!!
Kakitaka kitu kitaniuma humu duniani nikusikia mke wangu kaolewa !!
Anatembea na nusu wa moyo wangu ,kusema ukweli siwezi kuvumilia kuchukuliwa na mwanaume mwingine na kuanza kupigwa show .
Ivyo basi nikifa asiguse
Everything remind of her ,anytime anywhere
Huu ni ubauvu wangu mali yangu nafanya kila liwezekanalo tuwe nafuraha pamojaAcha wivu ndugu yangu.Siyo uislamu huo.Tuachie tukulelee mke,watoto na nyumba.Kwanza mbinguni hakuna kuoa.Wewe unataka uende naye wa nini!?😃
Wewe sepa tuchukue mali safi!🤣Kaka utawaponza watu wajaribu shenzi kabisa
Kitakacho wakuta !!
Usitake ajinyonge.Iweni na huruma aisee!Usijeshangaa kaolewa ukiwa Hai na hautakuwa na la kufanya
Mwanamke ni mtu kwa kumuweka moyoni? Eti anatembea na nusu ya moyo wake!Usitake ajinyonge.Iweni na huruma aisee!
Yaani tutaelewana tyuNikukoswa ustaarabu kuoa mke wa marehemu . mke wa mwanaume mwenzio hata kama amefariki Nivyema na haki
asiolewe na mwanaume yeyeto yule.
Hii inauma sana na hata ukibahatika kuingia peponi bado mawzo yako yote yatakuwa kwa mkeo.
Ebu tuweni na adabu hata kidogo.. .... wanawake ni wengi wapo wengi sana kwanini ung'ang'anie mke wa marehemu?
Binafisi NIKIFA MKE WANGU ASIOLEWE.