Nikifa mke wangu asiolewe

Nikifa mke wangu asiolewe

Tutamuwowa na tutampiga miti kwa asira.
 
Kuna njemba hapo kitaani kwako inamfanya matusi mke wako ukiwa bado unavuta oksijeni bila malipoooo.
 
Utampa nini ambacho hana buana
😅mtu bado unapambana kununua gari na nyumba
Yaan kwenye sentensi zako naona kabisa kuna ushoga ndani yako... Kweli we una mke mzee?! Au we nae ni mke wa mtu?! 🤔🤔🤔

Kwa mwanaume kamili kutumia maneno kama "tyu" na "buana" kuna tatizo mahali
 
Back
Top Bottom