Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
yaani labda aniache nikiwa mzee,,damu mbichi hivi,,no thank you basi sawa sitaolewa nitakua mshangazWaelekeze hao wasife na vinyongo mtiririko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani labda aniache nikiwa mzee,,damu mbichi hivi,,no thank you basi sawa sitaolewa nitakua mshangazWaelekeze hao wasife na vinyongo mtiririko.
Naomba mawasiliano yako in case of emergency mkuu.🤣🤣yaani labda aniache nikiwa mzee,,damu mbichi hivi,,no thank you basi sawa sitaolewa nitakua mshangaz
😅😅wewe waponzee wenzioTena mimi nitajidai nilikua rafiki yako sana na uliniusia nitunze familia yako ukitoroka kuishi.
nipe yako nitakutafuta 😌Naomba mawasiliano yako in case of emergency mkuu.🤣🤣
Wewe waponze wenzio tyuuNitaolewa na hakuna kitu utafanya😌
Nimependa msimamo wakoHakuna mtu anaweza ,nitahushisha damu kumwagika
😄 🤣 😂Tutamuwowa na tutampiga miti kwa asira.
Utakufa aisee kwa Sababu ya Kugundua wanamla hata kabla ujafaSalamu wanajf!!
Kakitaka kitu kitaniuma humu duniani nikusikia mke wangu kaolew...
Labda uwe komeoSalamu wanajf!!
Kakitaka kitu kitaniuma humu duniani nikusikia mke wangu kaolewa...
we jidanganye na wenzio tuWewe waponze wenzio tyuu
Upo sahihi Nikifa MkeWangu AsioleweNikukoswa ustaarabu kuoa mke wa marehemu . mke wa mwanaume mwenzio hata kama amefariki Nivyema na haki
asiolewe na mwanaume yeyeto yule...
Namuonea huruma sana huyo mwanamke... Eti mumewe anaandikia "tyu" wanaume wenzake duhh!Yaani tutaelewana tyu
Kuna miamba haisikiagi hadi utumie mabavu
Am ready kupimana uanaume
Jiaminishe mimi masikini sinilikuja kuomba maziwa kwenuHuyu mwanamke sijui wewe maskini utamdanganya na nini?
Shenzi kabisa
Yaan kwenye sentensi zako naona kabisa kuna ushoga ndani yako... Kweli we una mke mzee?! Au we nae ni mke wa mtu?! 🤔🤔🤔Utampa nini ambacho hana buana
😅mtu bado unapambana kununua gari na nyumba