mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Umejuaje hujawahi kupata hiyo raha?? Utajuaje hiyo unayoipata ndo wenzako wanaita raha![emoji53]
Mamamzungu ni jina lako,
Mkuu hujawahi kupata kesi yoyote ya kashfa...?😂Umejuaje hujawahi kupata hiyo raha?? Utajuaje hiyo unayoipata ndo wenzako wanaita raha!😕
Umeshawahi kutumia gynazole?
Sijawah tumia mpnz yaani mimi ndy nayaanza mapenzii ila naona keroo tuUnatumia vidonge vya uzazi wa mpango? Au sindano?
Ndiyo nakwambia sasa hiyo ndo raha wenzako huwa wanapataMaumivu ni raha mkuu??? Mimi nimeambiwa hilo tendo ni starehe sio kuumizana
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu zimenizunguka.Mkuu hujawahi kupata kesi yoyote ya kashfa...?😂
Mkuu sijui kama inashaurika hiyoMwambie aingize kichwa[emoji16]
Njoo pm nitatatua tatizo lako! Nitakushauri na ukifanyia kazi ushauri wangu utakuja kunishukuru