Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Uliwahi kutendewa jambo baya la kihisia ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fwala kweli wewe 😁😁😁😁Umejuaje hujawahi kupata hiyo raha?? Utajuaje hiyo unayoipata ndo wenzako wanaita raha!😕
Ndiyo nakwambia sasa hiyo ndo raha wenzako huwa wanapata
Ndy nini mkuu…. Sifahamu ila kama ni kidonge sijawah wala mafuta sijawah
Nacheka kwa sababu hujasema kinauma nini? Inatakiwa utoombwaa nchi 1 au 2 isifike ndani, otherwise unateswa na tego, jaribu mwanaume mwingine utaona tofautiUnacheka nini mkuu
Jamaa atakua ana guu la mtoto sio mguu ni guu haswa na usirudie kusema kawaida maana kawaida inajulikana, na hilo guu alilipata baada ya kupigwa PIN
I like this most likely inaweza pia ikawa ni fungus, but I also suggest a test variety ya three different dicks kama sio tego atapata jibuZipo pessaries na cream...ni antifungal
Napenda zaidi pessaries,pessaries zipo tatu kwenye kibox
Unaweka huko kwenye vaginal kila siku usiku kimoja kwa siku tatu
Kama ni serious kwanini usiweke hapa mkuu wanufaike wote hata kwa baadae endapo hutakuwepo wataokuja jf wanufaike na ushauri wako.Njoo pm nitatatua tatizo lako! Nitakushauri na ukifanyia kazi ushauri wangu utakuja kunishukuru
I like this mostly likely inaweza pia ikawa ni fungus, but I also suggest a test variety ya three different dicks kama sio tego atapata jibu
Possibly una kina kifupi sana mamy pole dear!
Uliwahi kutendewa jambo baya la kihisia ?
Yafuatayo yanawezekanaNadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi
Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa
Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa
Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]
Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee
Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…
Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee
Naomba kujua mwenye msaada na hili
Jaribu kwenda hospital uwasikie madaktari wanasemaje!
Kimasihara......Njoo pm nitatatua tatizo lako! Nitakushauri na ukifanyia kazi ushauri wangu utakuja kunishukuru
Aaah wapi we huijui normal huijui kabisa hilo ni guu la mtoto, jaribu kufanya na Mwanaume mwingine uone hali itakua hio hio au kutakua na utofautiNimeeleza ukwwli hapo mkuuu ni kisema kawaida namaanishaa…. Sio mguu wa mtoto ni normal tu
Zipo pessaries na cream...ni antifungal
Napenda zaidi pessaries,pessaries zipo tatu kwenye kibox
Unaweka huko kwenye vaginal kila siku usiku kimoja kwa siku tatu
Kumbuka kuwasiliana na doctor kabla ya matumizi