Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Njoo pm nitatatua tatizo lako! Nitakushauri na ukifanyia kazi ushauri wangu utakuja kunishukuru
Kama ni serious kwanini usiweke hapa mkuu wanufaike wote hata kwa baadae endapo hutakuwepo wataokuja jf wanufaike na ushauri wako.

Ikizingatiwa mtu akigoogle jambo mengine huwa wanayapata ya huku yaliyojadiliwa.
 
Nadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi

Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa

Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa

Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]

Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee

Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…

Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee

Naomba kujua mwenye msaada na hili
Yafuatayo yanawezekana
1. Its a psychological thing-yani umesha tune akili yako kwamba unaumia, kumbuka sex inaanzia kwenye ubongo wako

2. Its a spiritual thing
 
Una miaka mingapi?

Sawa, anakuandaa vizuri. Je, unaloana? Wakati wa kuingiza, unachukua muda gani kabla ya kuwa mkavu?

Nani alikutoa bikra? Uliridhia kabisa? Ama ni kumbukumbu mbaya za maumivu?

Maumivu haswa ni ya aina gani? Kunapokuuma ni wapi?

Kama ni umepima magonjwa na huna, basi tatizo lako ni la kisaikolojia. Akili ilishajijengea dhana ya maumivu katika kufanya ngono (najua hamjaona).
 
Back
Top Bottom