Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Bro huyu demu wako kanishinda tabia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndo kusema K karithi jina la ankal wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hilo limeenda, Kama ana jina lingine badilisha fasta[emoji23]
 
Hivi wakuu, madoctor huwa hawanjunji wagonjwa wa hivi ? Yani wewe ni Doctor anakuja mgonjwa kama huyu inabidi umkague huko
Kama n mrembo anakutongoza hukohuko,na akiona huelew atatengeneza mazingira uwe unaenda mara kwa mara hospital kujifanya anafatilia hali yko,usiulize nimejuaje.
 
Update:

Nilienda hospital nikacheck tena nikakutwa na PID

Haya wale waliowahi kuugua PID na kupona waje hapa na dawa walizotumia

NB: Sitomfuata mtu inbox kama ana ushauri aweke hapa
 
Nadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi

Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa

Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa

Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]

Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee

Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…

Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee

Naomba kujua mwenye msaada na hili
una jini mahaba, halipendi mtu mwingine akufanye. Mungu akusaidie.
 
Back
Top Bottom