Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hii nilikuwa sijaona, we mwari nakugawaaa....nimecheka jamaniii.
[emoji23][emoji23][emoji23] Usinigawe kungwi wangu, ujue Kantry anazingua na maswali yake ya kichokozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nilikuwa sijaona, we mwari nakugawaaa....nimecheka jamaniii.
Hilo limeenda, Kama ana jina lingine badilisha fasta[emoji23]Bro huyu demu wako kanishinda tabia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndo kusema K karithi jina la ankal wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama n mrembo anakutongoza hukohuko,na akiona huelew atatengeneza mazingira uwe unaenda mara kwa mara hospital kujifanya anafatilia hali yko,usiulize nimejuaje.Hivi wakuu, madoctor huwa hawanjunji wagonjwa wa hivi ? Yani wewe ni Doctor anakuja mgonjwa kama huyu inabidi umkague huko
una jini mahaba, halipendi mtu mwingine akufanye. Mungu akusaidie.Nadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi
Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa
Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa
Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]
Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee
Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…
Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee
Naomba kujua mwenye msaada na hili
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Umejuaje hujawahi kupata hiyo raha?? Utajuaje hiyo unayoipata ndo wenzako wanaita raha![emoji53]