Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,534
- 1,511
njoo dm chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! kumbe mpaka wewe una mke anakutegemea ?Mke wangu alikua na hali kama hiyo wakati tunaanza mahusiano, sijui alifanyaje akawa sawa, ni miaka mingi imepita.
Kabla hatujakushauri kitaaluma, hebu fafanua hapo. Size yake ni ya kawaida compare na kina nani as case study?...Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee...
Duh! kumbe mpaka wewe una mke anakutegemea ?
Asante, ndiyo ilikuwa c-section , sijawahi enda hosp , dawa huwa nachukua tuu pharmacy, nilikuwa nataka niende kwa gyno lakini nilivyogundua ni vulvodynia nikaachaPolee sana.
Unasema ilianza baada ya kujifungua, ulijifungua kawaida?
Ulivoenda hospitali, doctor alisemaje?
Hizo dawa uliandikiwa doctor?
Hahahaha hatariiiHio Hali nilishawahi kutana nayo kwa demu wangu mmoja.
Ikifika stage ikawa Sasa ni kero kubwa kwangu.
Stimu na mzuka unakata duduwasha ikawa inasizi nikawa kama nisie na nguvu za kiume.
Maana analala Ile mbaya.
Kuna siku nikaona huyu ananitania nikaforcs kupiga torque/hard penetration alipiga UKINGA huo na nikapigwa bonge la bao na kusukumwa huko.
Nikawa Mtu wa mawazo sana sikufarahia tena huu uhusiano.
Akaanza kujidai Hana shida eti shida ninayo Mimi wakati nameona kabisa ana shida.
Nikaona asinitanie nitafuta mcheps nikala mzigo kutest tu zana zangu kama ziko Ok.
Hii ishu ni Moja ya sababu zilizonifanya nimpige chini na zinginezo nyingi.
Japo sikumwambia ila ikifika stage kwangu ni stress na kero mfululizo
Japo alikuwa mwanamke anaejielewa ila ilibidi Kila mtu aende njia yake.
Sometimes nikawa nahisis pengine huyu alishawahi BAKWA huko udogoni ndio kupeleka hayo maumivu.
Ni tabu tupu.
Pisi za aina hii zipo vyema sana ila changamoto n hapo kwenye kuumia. Cycle yao ya mapenz ni ndogo mno huwa hawana wanaume wengi kwa sababu ya tatizo lao alafu n watulivu. Kuna muda wanaona mahusiano sio muhimu kwao, inahitaji uvumilivu kuwa na mwanamke wa hh
Duuh pole sana ndugu izi zote nikumlidhisha mtoto wa Mama mkwe aisee polenapambana tuu kwa kweli maumivu yakizidi natumia metronidazole +miconazole, maumivu ya kawaida ya kila siku natumia tube za steroids+antibiotics +anti fungi na vaseline.wakati wa sex natumia hyluronic gel.hapo ndo at least naweza kusex na pia wakati wa sex hakuna nje ndani. pia kila siku nakunywa probiotics supplements
[emoji23]kina ? Kumbe huwa mnatumia vipimo vya baharini na ziwaniPossibly una kina kifupi sana mamy pole dear!
Hiko kiungo ni very complex!!! Yani kidonge hiko hakianguki ukisimama ?Zipo pessaries na cream...ni antifungal
Napenda zaidi pessaries,pessaries zipo tatu kwenye kibox
Unaweka huko kwenye vaginal kila siku usiku kimoja kwa siku tatu
Kumbuka kuwasiliana na doctor kabla ya matumizi
Hiko kiungo ni very complex!!! Yani kidonge hiko hakianguki ukisimama ?
Hii nilikuwa sijaona, we mwari nakugawaaa....nimecheka jamaniii.Kantry [emoji23][emoji23][emoji23]
Bro huyu demu wako kanishinda tabia🤣🤣🤣🤣 Ndo kusema K karithi jina la ankal wake🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]
Ulipata suluhu bossNadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi
Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa
Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa
Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]
Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee
Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…
Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee
Naomba kujua mwenye msaada na hili