Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Kama umewahi kuwa na mwanaume mwingine na ulikuwa unaenjoy sex bila maumivu na kwamba hali hiyo imekukuta ukiwa na yeye basi huu ushauri wangu HAUTAFAA na itabidi upate msaada wa kitabibu au kiroho, ila kama ni kinyume chake basi jaribu hii.

Anavyokuonea huruma ndio utazidi kuumia kila siku, maana kila ukilia akihurumia ujue anaacha kuishunghulikia ile sehemu inayoleta kauzibe, matokeo yake ni kila akiingia utaumia na kuumia maana ni kama anaanza upya kila siku.

Wewe jitoe muhanga, kama jamaa ana ana show za kibabe (uume sio legelege, na anaweza kwenda walau kwa dakika 2 tu au zaidi ya hapo bila kuwaita wazungu), inatakiwa
afanye kwa nguvu bila kukuonea huruma (yaani akubane haswa ahakikishe haujitoi ) na ahakikishe anaifikisha kila angle kwa kuizungusha vizuri. Pumzika siku tatu kisha rudia tena zoezi hilo mara ya pili na tatu.

Utauma lakini baada ya hapo utakuwa sawa, hii naongea kwa uzoefu wangu kukutana na hali hiyo kama Mwanaume.


Hii natamani ningemwambia jamaa maana najua wewe huwezi kumwambia kwa kujionea huruma.
 
Nadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi

Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa

Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa

Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]

Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee

Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…

Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee

Naomba kujua mwenye msaada na hili
umeshawahi kujaribu kusex na mtu mwengine na still ukapata tatizo hilo hilo? ikiwa no basi tatizo ni jamaa yako na purukushani zake za kutaka kuingia pangoni, ikiwa ndio nakushauri ukamuone daktari bingwa wa masuali ya wanawake (gynecologist) haraka sana.
 
Jaribu kutafuta nsaada wa kisaikolojia

Kama upo hapa Dar nenda Pale Saifee hospital muone Dr Theresia, ni psychologist mzuri sana

Ila pia tafuta msaada wa kiroho kwa viongozi wako wa kiroho
Mtaalam wa Saikolojia? I second you.

Kiongozi wa kiroho? Anachofanya ni uzinzi, hajaolewa. Sasa kiongozi wa kiroho aende kumuombea ili apate nafuu ya maumivu anapofanya zinaa?

Huyo kiongozi naye atakuwa hajitambui. Ama wawe viongozi wa roho za kuzimu.

Ungemshauri, aolewe. Kisha kama maumivu yataendelea basi atafute msaada wa aina hiyo. Ila kwa sasa, HAPANA.
 
Mara nyingi hii Hali inaweza sababishwa na previous experience kama kubakwa, ama ukiwa na stress kwa kipindi unafanya ama wanawake wanaonyonyeshwa na mara nyingine hormone zako haziko sawa zinadecline Hali hiyo si Jambo la kupuuza inaweza sound awkward ila ni Bora kuonanana na specialist anaweza kukupitishia kwenye series ya solutions mpaka hormonal treatment ukawa sawa

Hizo zote sijapitiaa labda nionane tu na specialist kwa matibabu zaidi
 
Back
Top Bottom