Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nina miaka 26
Nina loa (na ndio maana na yeye anashangaaa maana mpk shuka ina loaa)

Alienitoa bikira sijui kamA niliridhiaa ila hakunibaka

Maumivu ni anapoingizAa na akipump
Unaposema jamaa yako ana size ya kawaida unamaanisha nini?

Ulishajaribu kubwa na ndogo na ukafahamu hii ni size ya kawaida?

Size ya kawaida kwa mwingine, ni size kubwa mno kwa mwingine. Unless otherwise, ulishafanya na mtu aliyemzidi ukubwa huyo uliyenaye sasa.
 
Pole sana .
Je utakuwa huru nimwage uhalisia wa hali yako hapa hautajisikia vibaya ?

Ikiwa hautapenda ila utahitaji nikusaidie karibu PM .

Nb .Sijalewa najielewa na nipo serious kukusaidia kwahiyo usije kwa hofu kuwa nitakutongoza hapana .

Karibu , lakini pole haupo pekee yako wengi wamekuwa na hali kama yako

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kama umewahi kuwa na mwanaume mwingine na ulikuwa unaenjoy sex bila maumivu na kwamba hali hiyo imekukuta ukiwa na yeye basi huu ushauri wangu HAUTAFAA na itabidi upate msaada wa kitabibu au kiroho, ila kama ni kinyume chake basi jaribu hii.


Anavyokuonea huruma ndio utazidi kuumia kila siku, maana kila ukilia akihurumia ujue anaacha kuishunghulikia ile sehemu inayoleta kauzibe, matokeo yake ni kila akiingia utaumia na kuumia maana ni kama anaanza upya kila siku.

Wewe jitoe muhanga, kama jamaa ana ana show za kibabe (uume sio legelege, na anaweza kwenda walau kwa dakika 2 tu au zaidi ya hapo bila kuwaita wazungu), inatakiwa
afanye kwa nguvu bila kukuonea huruma (yaani akubane haswa ahakikishe haujitoi ) na ahakikishe anaifikisha kila angle kwa kuizungusha vizuri. Pumzika siku tatu kisha rudia tena zoezi hilo mara ya pili na tatu.

Utauma lakini baada ya hapo utakuwa sawa, hii naongea kwa uzoefu wangu kukutana na hali hiyo kama Mwanaume.


Hii natamani ningemwambia jamaa maana najua wewe huwezi kumwambia kwa kujionea huruma.

Yaani mkuu nikikwambia huyu jamaa hana huruma sijui hutanielewa…. Wakati mwingine mpk nalia napo haisaidii

Sijajua kwa nguvu hiyo ni ipi maana sio kwa shughuli hiyo yaani mpk ninaomba apunguze speed inaumaa kichiziii
 
umeshawahi kujaribu kusex na mtu mwengine na still ukapata tatizo hilo hilo? ikiwa no basi tatizo ni jamaa yako na purukushani zake za kutaka kuingia pangoni, ikiwa ndio nakushauri ukamuone daktari bingwa wa masuali ya wanawake (gynecologist) haraka sana.

Jibu ndio… ngoja niende kwa daktari
 
Mtaalam wa Saikolojia? I second you.

Kiongozi wa kiroho? Anachofanya ni uzinzi, hajaolewa. Sasa kiongozi wa kiroho aende kumuombea ili apate nafuu ya maumivu anapofanya zinaa?

Huyo kiongozi naye atakuwa hajitambui. Ama wawe viongozi wa roho za kuzimu.

Ungemshauri, aolewe. Kisha kama maumivu yataendelea basi atafute msaada wa aina hiyo. Ila kwa sasa, HAPANA.
Umejibu kwa hasira mkuu, mdau anahitaji msaada
 
Ndio nakwambia Mimi naelewa unachokisema ndio maana nakwambia jamaa yako sio normal ana kitu abnormal, anakutanua haswa ushawahi kupitisha tango kubwa mtomoni kwako au chungwa kubwa linakufanyaje mdomoni ukilazimisha kulipitisha?

Mkuu unanichosha kueleza hiyo size ya tango hajafikaaaa…. Angekuwa hivyo nisingetafuta ushauri ningejua tu sababu kuwa nani yake kubwa ila siyo hivyo
 
Back
Top Bottom