Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Tafuta size yako, sio wewe tu kuna wanaume wakiwaingia wanawake hawasikii chochote yaan wanaelea namaanisha Mwanamke hasikii km kunakitu kimemuingia kwenye tupuyake, kwa hio wanakua wamevamia size zisizo za kwao sasa wewe mguu wako namba yako ni 38 unaenda kuvaa kiatu namba 45 lazima itapwaya tu,

Wewe namba 39/40 umeingiziwa kitu kinasoma namba 45 lazima itakubana lazima kitu ibane nasemaje lazima ikubane na lazima usikie maumivu haujawahi kuvaa kiatu kidogo kinakubana mpaka kucha hadi kutembea unashindwa, sasa ndio inavyokua unategemea nini km sio maumivu?

Yaan hapo aidha upate ndogo 38 kushukachini au upate size yako bila hivyo subiri kua na Jaba
 
Kwaiyo unataka ajibu nani na mimi ndio mtoa post… btw hujapata tatizo ukilipata huwezi kuwaza ulivyowaza
mkuu hilo sio tatizo ni kuwa wewe unataka kubadilisha dhumuni la hicho kitu chako ambalo ni kupitisha mbegu na mtoto kuwa kitu cha kukustarehesha, hakikuwekwa kwa dhumuni hilo ndo maana FaizaFoxy alikuuliza upo kwenye ndoa? ingekuwa kinauma tu chenyewe hata ukiwa unatembea au umekaa ingekuwa tatizo ila kwa vile kinauma unapokipa majukumu yasiyo yake hilo siyo tatizo, Mungu anakupenda sana hataki ujinajisi na uasherati, anataka ukitumie hicho kitu chako muda muafaka na kwa malengo sahii, sasa ulivo kiazi unashindwa kuelewa kusudi la Mungu kwako unakuja kuanzia mada ya kutafuta ushauri wa kuhalalisha uasherati wako. hakuna msaada utapata hapa na kitaendelea kuuma kama kimewekewa pilipili. ACHA UASHERATI
cc FaizaFoxy
 
mkuu hilo sio tatizo ni kuwa wewe unataka kubadilisha dhumuni la hicho kitu chako ambalo ni kupitisha mbegu na mtoto kuwa kitu cha kukustarehesha, hakikuwekwa kwa dhumuni hilo ndo maana FaizaFoxy alikuuliza upo kwenye ndoa? ingekuwa kinauma tu chenyewe hata ukiwa unatembea au umekaa ingekuwa tatizo ila kwa vile kinauma unapokipa majukumu yasiyo yake hilo siyo tatizo, Mungu anakupenda sana hataki ujinajisi na uasherati, anataka ukitumie hicho kitu chako muda muafaka na kwa malengo sahii, sasa ulivo kiazi unashindwa kuelewa kusudi la Mungu kwako unakuja kuanzia mada ya kutafuta ushauri wa kuhalalisha uasherati wako. hakuna msaada utapata hapa na kitaendelea kuuma kama kimewekewa pilipili. ACHA UASHERATI
cc FaizaFoxy

Sawa nikitaka ushaurii wa kuacha uasherati nitaku tagg mpendwaa…

Wewe umefanya wee mpk kinakaribia kuisha saivi unatuambia wenginee tuache…. Subiri na sisi tuenjoy Kama wewe[emoji6]
 
Back
Top Bottom