mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
- #281
Tuanzie kwenye Size Umejuaje kuwa ni kawaida je ilishawahi kuona size tofauti tofauti?
Wadau mnavyouliza hili swali ni Kama vile hamjui kuwa kila kitu Kipo kwa simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuanzie kwenye Size Umejuaje kuwa ni kawaida je ilishawahi kuona size tofauti tofauti?
Achana na ujinga, wengine ni vivulana tu, sasa anafikiri wewe ni bikra au umeanza kuliwa leo?Wadau mnavyouliza hili swali ni Kama vile hamjui kuwa kila kitu Kipo kwa simu
Una magonjwa ya zinaa....mchanganyiko i.e.fangae
Naanzaje na nitamwambia ni kwa ajili ya nani, unajua wanawake mlivyo.
Nafikiri unaweza mwambukiza.
Wahi dawa, pewa vile vidonge vya kuweka huko chini au tumia Terbinafine ya kumeza
Mbona huo ni ugonjwa tu mkuu?
Mmekuwaje mazee?
Achana na ujinga, wengine ni vivulana tu, sasa anafikiri wewe ni bikra au umeanza kuliwa leo?
Sio kina mdomo wake mdogo na jamàa ana guu la mtoto, kwa hio anaona km kaingiziwa kigogo Cha mnaziPossibly una kina kifupi sana mamy pole dear!
Tafuta size yako, sio wewe tu kuna wanaume wakiwaingia wanawake hawasikii chochote yaan wanaelea namaanisha Mwanamke hasikii km kunakitu kimemuingia kwenye tupuyake, kwa hio wanakua wamevamia size zisizo za kwao sasa wewe mguu wako namba yako ni 38 unaenda kuvaa kiatu namba 45 lazima itapwaya tu,Yaaanii
mkuu hilo sio tatizo ni kuwa wewe unataka kubadilisha dhumuni la hicho kitu chako ambalo ni kupitisha mbegu na mtoto kuwa kitu cha kukustarehesha, hakikuwekwa kwa dhumuni hilo ndo maana FaizaFoxy alikuuliza upo kwenye ndoa? ingekuwa kinauma tu chenyewe hata ukiwa unatembea au umekaa ingekuwa tatizo ila kwa vile kinauma unapokipa majukumu yasiyo yake hilo siyo tatizo, Mungu anakupenda sana hataki ujinajisi na uasherati, anataka ukitumie hicho kitu chako muda muafaka na kwa malengo sahii, sasa ulivo kiazi unashindwa kuelewa kusudi la Mungu kwako unakuja kuanzia mada ya kutafuta ushauri wa kuhalalisha uasherati wako. hakuna msaada utapata hapa na kitaendelea kuuma kama kimewekewa pilipili. ACHA UASHERATIKwaiyo unataka ajibu nani na mimi ndio mtoa post… btw hujapata tatizo ukilipata huwezi kuwaza ulivyowaza
Kama ni mwanaume wako wa kwanza mkuu umejuaje ni normal?umecompare na ipiNimeeleza ukwwli hapo mkuuu ni kisema kawaida namaanishaa…. Sio mguu wa mtoto ni normal tu
Ebu muulize tuje tushauri mama Mzungu hapa mkuuMke wangu alikua na hali kama hiyo wakati tunaanza mahusiano, sijui alifanyaje akawa sawa, ni miaka mingi imepita.
asante kwa kushukuruAhsante
mkuu hilo sio tatizo ni kuwa wewe unataka kubadilisha dhumuni la hicho kitu chako ambalo ni kupitisha mbegu na mtoto kuwa kitu cha kukustarehesha, hakikuwekwa kwa dhumuni hilo ndo maana FaizaFoxy alikuuliza upo kwenye ndoa? ingekuwa kinauma tu chenyewe hata ukiwa unatembea au umekaa ingekuwa tatizo ila kwa vile kinauma unapokipa majukumu yasiyo yake hilo siyo tatizo, Mungu anakupenda sana hataki ujinajisi na uasherati, anataka ukitumie hicho kitu chako muda muafaka na kwa malengo sahii, sasa ulivo kiazi unashindwa kuelewa kusudi la Mungu kwako unakuja kuanzia mada ya kutafuta ushauri wa kuhalalisha uasherati wako. hakuna msaada utapata hapa na kitaendelea kuuma kama kimewekewa pilipili. ACHA UASHERATI
cc FaizaFoxy
Nashauri ongea na mama yako vizuri akupe historia ya utoto wako utapata suluhu