Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Hio Hali nilishawahi kutana nayo kwa demu wangu mmoja.

Ikifika stage ikawa Sasa ni kero kubwa kwangu.

Stimu na mzuka unakata duduwasha ikawa inasizi nikawa kama nisie na nguvu za kiume.

Maana analala Ile mbaya.

Kuna siku nikaona huyu ananitania nikaforcs kupiga torque/hard penetration alipiga UKINGA huo na nikapigwa bonge la bao na kusukumwa huko.

Nikawa Mtu wa mawazo sana sikufarahia tena huu uhusiano.

Akaanza kujidai Hana shida eti shida ninayo Mimi wakati nameona kabisa ana shida.

Nikaona asinitanie nitafuta mcheps nikala mzigo kutest tu zana zangu kama ziko Ok.

Hii ishu ni Moja ya sababu zilizonifanya nimpige chini na zinginezo nyingi.

Japo sikumwambia ila ikifika stage kwangu ni stress na kero mfululizo

Japo alikuwa mwanamke anaejielewa ila ilibidi Kila mtu aende njia yake.

Sometimes nikawa nahisis pengine huyu alishawahi BAKWA huko udogoni ndio kupeleka hayo maumivu.

Ni tabu tupu.
 
Nadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi

Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa

Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa

Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]

Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee

Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…

Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee

Naomba kujua mwenye msaada na hili
Tuanzie kwenye Size Umejuaje kuwa ni kawaida je ilishawahi kuona size tofauti tofauti?
 
Hio Hali nilishawahi kutana nayo kwa demu wangu mmoja.

Ikifika stage ikawa Sasa ni kero kubwa kwangu.

Stimu na mzuka unakata duduwasha ikawa inasizi nikawa kama nisie na nguvu za kiume.

Maana analala Ile mbaya.

Kuna siku nikaona huyu ananitania nikaforcs kupiga torque/hard penetration alipiga UKINGA huo na nikapigwa bonge la bao na kusukumwa huko.

Nikawa Mtu wa mawazo sana sikufarahia tena huu uhusiano.

Akaanza kujidai Hana shida eti shida ninayo Mimi wakati nameona kabisa ana shida.

Nikaona asinitanie nitafuta mcheps nikala mzigo kutest tu zana zangu kama ziko Ok.

Hii ishu ni Moja ya sababu zilizonifanya nimpige chini na zinginezo nyingi.

Japo sikumwambia ila ikifika stage kwangu ni stress na kero mfululizo

Japo alikuwa mwanamke anaejielewa ila ilibidi Kila mtu aende njia yake.

Sometimes nikawa nahisis pengine huyu alishawahi BAKWA huko udogoni ndio kupeleka hayo maumivu.

Ni tabu tupu.
mkuu umepitia changamoto kama yangu.

Dada anasema nafanya tu kwakuwa nakuheshimu na kukupenda.
Ila yeye hana hisia hajisikii chochote zaidi ya maumivu.

Na nikweli nilikuwa namla kamoja tu anasema hataki ukiendelea atakusukuma.
Mwanzoni nilihisi anamtu wake lakini sio.
Nikahisi aliwahi kubakwa au anamapepo.

Sema ndo hivyo nilimvumilia sana
 
Back
Top Bottom