Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mmmh mmmh mmmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au ahamie Yombo jirani na kwa mama bonge.Mwambie aingize kichwa😁
basi nshaelewa shida yako iko wapi, nilijua tu umetoka ukanda hh
Ahsantebasi nshaelewa shida yako iko wapi, nilijua tu umetoka ukanda huo
Atatafuta wa kiroho mzinifu?!!!Jaribu kutafuta nsaada wa kisaikolojia
Kama upo hapa Dar nenda Pale Saifee hospital muone Dr Theresia, ni psychologist mzuri sana
Ila pia tafuta msaada wa kiroho kwa viongozi wako wa kiroho
Sipendi kuhukumu, naamini hata wewe ni mtenda dhambi japokua unaweza kuwa sio uzinzi, hakuna mtakatifu hapa duniani kwa hiyo usimnyooshee kidole jirani yakoAtatafuta wa kiroho mzinifu?!!!
Jaribu ladha tofauti za wengine alafu utagundua tatizo ni wewe ama ni yeye.Nadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi..
Acheni kuhukumu, viongozi wq dini wana nafasi kubwa ya kumsaidia ikiwa ni pamoja na kumshauri aepuke uzinzi kabla ya ndoaMsaada wa viongozi wa dini ktk kugegedana halafu hawajaoana.
Sipendi kuhukumu, naamini hata wewe ni mtenda dhambi japokua unaweza kuwa sio uzinzi, hakuna mtakatifu hapa duniani kwa hiyo usimnyooshee kidole jirani yako
Akienda kwa viongozi wa kiroho atapata msaada ikiwa ni pamoja kudhauriwa kuacha uzinzi
Ndo aache uzinzi!Acheni kuhukumu, viongozi wq dini wana nafasi kubwa ya kumsaidia ikiwa ni pamoja na kumshauri aepuke uzinzi kabla ya ndoa
antidepressant si zina addiction niliogopa kutumiaAntidepressants kama Sertraline na Fluoxetine zinasaidia kupunguza maumivu ila dawa kabisa hamna cause sometimes inasababishwa na nerve damage.
Kazi ya kiongozi wa kiroho ni kuwalinda waumini kiroho, kiongozi wa kiroho anaweza kumsaidia huyu dada akatubu dhambi ya uzinziHayupo kiongozi wa kiroho atayekubali kwa kuambiwa anaumia kwa tendo la ndoa asiye na mume wa ndoa,labda uwe wewe ndo wa kiroho mkuu Usimdanganye mwenzio na kumpa matumaini kama mwanasiasa wa mabomba kutoa maziwa!
Una umia mbele au nyuma?Nadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi
Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa
Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa
Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]
Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee
Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…
Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee
Naomba kujua mwenye msaada na hili
Una hilo tatizo mkuu?antidepressant si zina addiction niliogopa kutumia
Hapo sawa,sio kumwombea uponyaji kwa kuzini eti pasiume!Paka mafuta debe.Kazi ya kiongozi wa kiroho ni kuwalinda waumini kiroho, kiongozi wa kiroho anaweza kumsaidia huyu dada akatubu dhambi ya uzinzi
😀😀😀 omba sanaDuuuh ndio kwanza naanza ngono halafu inatokeaa hiyoo pepo shindwaaa
MtegoSijawah tumia mpnz yaani mimi ndy nayaanza mapenzii ila naona keroo tu