Rion Jr
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 623
- 691
Eeeh kasome sheria ya ndoaKumbe kuna mume asiyekuwa wa ndoa.?
Okay.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh kasome sheria ya ndoaKumbe kuna mume asiyekuwa wa ndoa.?
Okay.
Pole sana nenda kwa specialist upate msaada zaidi.
Kuna watu mnafanana mambo mengi mno, story, age na mengineyo. Au ni wewe?
nilikuwa na Ke mwenye shida kama yako naona mmefanana vingi. Sifa kubwa ya ke wa hivi ni utulivu
Okay I think itakuwa vaginismus.Stinging
Jamaaa unajua kuwatega 😃😀Asante
Herufi yake ya kwanza ni ipi??
Ni mtulivu ila ulimuachaa[emoji16] fear men
Wewe nimekufuatilia kwa muda mrefu ila sina shaka huyo atakuwa pepo mchafu aitwaye jini mahaba. Tafta msaada wakiroho hio shida itaisha vinginevyo utamaliza madawa.
Sasa kuna kuwa na mume nje ya ndoa , mume si yule aliyekuoaAliyeulizwa kaelewa, wacha ujuba.
Msaada wa viongozi wa dini ktk kugegedana halafu hawajaoana.Jaribu kutafuta nsaada wa kisaikolojia
Kama upo hapa Dar nenda Pale Saifee hospital muone Dr Theresia, ni psychologist mzuri sana
Ila pia tafuta msaada wa kiroho kwa viongozi wako wa kiroho
Okay I think itakuwa vaginismus.
Imeanza lini? Au siku zote ipo hivo tangu utolewe bikra? Una miaka mingapi?
Dawa ipo ,yule aliyeachana naye ndokacheza mchezo huo,kioo changu kinaonesha mwanaume aliyenaye hata miezi 9 Toka wameanza mahusiano hawajamalizaMke wangu alikua na hali kama hiyo wakati tunaanza mahusiano, sijui alifanyaje akawa sawa, ni miaka mingi imepita.
😂 njoo pm hapa hapafai kutaja herufi ila mmefanana vingi mno, age , mwaka wa kuachana na mengine nayaona.Asante
Herufi yake ya kwanza ni ipi??
Ni mtulivu ila ulimuachaa[emoji16] fear men
Pima hospitali tofauti kipenzi halafu ujue kuna nini kiundani au labda umelogwa
Jitahidi upate madokta kutoka wizara ya utamaduni na michezo ,achana na hawa wizara ya afya
Nimetazama kwenye kioo changu na mzimu wa babu ,unatamka wazi ,yule uliyeachana naye awali ndie kakutendea unyama huo hainatofauti na kunatana
Dawa yake inapatikani ,ukipendezwa Nicheki PM tatizo liishe
pengine boresha namna unavo panuaNadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi
Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa
Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa
Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]
Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee
Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…
Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee
Naomba kujua mwenye msaada na hili
naomba kujua dawa nzuri ya vulvodynia ?Either una vaginismus or vulvodynia.
But more likely ni Vaginismus, yafatilie haya magonjwa niliyokutajia, na ukirudi kwa daktari wako jaribu kumuuliza kuhusu haya magonjwa.
And dear unapata maumivu ya namna gani, a burning sensation or stinging??