Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi

Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa

Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa

Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]

Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee

Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…

Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee

Naomba kujua mwenye msaada na hili
Samahani!
 
Sasa madam… haiumi kwa ndani inauma nnje yaani anapoanzaa kuingizaa na pembeni mwa nyama

Chukulia mfano huu ukiwa umeweka hivi vidoe[emoji108]halafu kipite kitu hapo kati kama kina force hivi sasa pembeni yake laZima kutanuke kuwe kunauma
Either una vaginismus or vulvodynia.
But more likely ni Vaginismus, yafatilie haya magonjwa niliyokutajia, na ukirudi kwa daktari wako jaribu kumuuliza kuhusu haya magonjwa.

And dear unapata maumivu ya namna gani, a burning sensation or stinging??
 
Nilienza nae nilifanya nae once na kulikuwa na maumivu maana alitumiaa siku nyingi sana mpk kufanikiwa kuingiza na maumivu yalikuwa makari kila alipojaribu kuingiza kiasi kwamba nilidhani labda sina kitobo.. kulikuwa ni kugumu sana but alipoingizA Ndio mara moja na maumivu juu

Akaja huyu wa pili ndio kafanikiwa kupamp kabisaa but maumivu kama yotee….
Wewe bikra yako haijatoka vzr
 
Back
Top Bottom