Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Hayupo kiongozi wa kiroho atayekubali kwa kuambiwa anaumia kwa tendo la ndoa asiye na mume wa ndoa,labda uwe wewe ndo wa kiroho mkuu Usimdanganye mwenzio na kumpa matumaini kama mwanasiasa wa mabomba kutoa maziwa!
Sipendi kuhukumu, naamini hata wewe ni mtenda dhambi japokua unaweza kuwa sio uzinzi, hakuna mtakatifu hapa duniani kwa hiyo usimnyooshee kidole jirani yako

Akienda kwa viongozi wa kiroho atapata msaada ikiwa ni pamoja kudhauriwa kuacha uzinzi
 
Hayupo kiongozi wa kiroho atayekubali kwa kuambiwa anaumia kwa tendo la ndoa asiye na mume wa ndoa,labda uwe wewe ndo wa kiroho mkuu Usimdanganye mwenzio na kumpa matumaini kama mwanasiasa wa mabomba kutoa maziwa!
Kazi ya kiongozi wa kiroho ni kuwalinda waumini kiroho, kiongozi wa kiroho anaweza kumsaidia huyu dada akatubu dhambi ya uzinzi
 
Nadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi

Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa

Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa

Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]

Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee

Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…

Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee

Naomba kujua mwenye msaada na hili
Una umia mbele au nyuma?
 
Back
Top Bottom