ideathinker
JF-Expert Member
- Jul 29, 2024
- 262
- 386
Watakula nini ?Ukiingiza kamabale wachanga watazaliana na kukua na utavuna!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakula nini ?Ukiingiza kamabale wachanga watazaliana na kukua na utavuna!
Hujui kuwa kambale wana hibernate?Kambale wa hapa hapa BONGO?
Kisima hicho kina matope (Udongo wa mfinyazi)? Kama hakina itakubidi uwalishena wanakua safi bila kuwalisha maana hawa vyura siwalishi kitu
Nafahamu ila nilikuwa nakuuliza huyo kambale alipatikana hapa bongo ujue viumbe vya bongo vina tabia unique😂Hujui kuwa kambale wana hibernate?
Wanaweza kuishi kwenye udongo au tope kwa miezi kadhaa mpaka mvua zinyeshe
Umekulia wapi?Kambale hazaliani kwenye maji yaliyotuama.
sasa nawaza ukiwa unatilia chakula si maji yatachafuka nitashinda ya kutumiaKambale ni mnyama anayeishi kwenye maji tu. Kwahiyo inabidi utafute mbegu yake na kuipanda kwenye hilo shimo. Vyura wanaishi nchi kavu na majini. Kwahiyo ukichimba shimo katika mazingira hayo hayo vyura wapo na watatia timu kwenye maji ya shimo. Ukiingiza kamabale wachanga watazaliana na kukua na utavuna!
Biology darasa la tatu.KAmbale mnyama?🤔
Ni wapi huko?. Kambale anakubali tu visimani. Tena ni muhimu ksbb ksbb pia wanasaidia kuchimba kisima. Nakumbuka zamani sisi ilikuwa kila mwenye kisima lazima kuna kambale ndani. Hawana shida. Ila wasiwe wengi sana. Watatibua majiWakuu kisima changu kimejaa vyura kibao. Sasa nimewaza badala ya kujaza vyura si bora nifugie samaki.
Maana kama vyura anaweza ishi samaki pia anaishi. Nataka nitafute niweke Kambale maana ndo naambiwa wana roho ngumu wanaishi hadi kwenye majaruba ya mpunga.
Ushauri
Design ya hicho kisima ikoje?hawapo kaka, njoo nioneshe
Mbegu za kambale Kwa Dar zinapatikana wapiKambale ni mnyama anayeishi kwenye maji tu. Kwahiyo inabidi utafute mbegu yake na kuipanda kwenye hilo shimo. Vyura wanaishi nchi kavu na majini. Kwahiyo ukichimba shimo katika mazingira hayo hayo vyura wapo na watatia timu kwenye maji ya shimo. Ukiingiza kamabale wachanga watazaliana na kukua na utavuna!
hii nimeichukuaNi wapi huko?. Kambale anakubali tu visimani. Tena ni muhimu ksbb ksbb pia wanasaidia kuchimba kisima. Nakumbuka zamani sisi ilikuwa kila mwenye kisima lazima kuna kambale ndani. Hawana shida. Ila wasiwe wengi sana. Watatibua maji
Ila ukisema mnyama inaleta ukakasi heri samakiBiology darasa la tatu.
VIUMBE HAI.
1-Wanyama.
2-Mimea.
Kama ni hivyo,kambale ni mimea.Siyo?
Ndiyo hivyo.Ila ukisema mnyama inaleta ukakasi heri samaki