Tawire
Member
- Apr 21, 2022
- 32
- 64
Unawalisha nini mkuu?Nimefugia kweny simtank la lita 5000 wako vizuri kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawalisha nini mkuu?Nimefugia kweny simtank la lita 5000 wako vizuri kabisa
Samadi ya ng'ombe, pumba mbogamboga udongo nkUnawalisha nini mkuu?
Ndiyo hivyo.
Samadi ya ng'ombe, pumba mbogamboga udongo
Hii imekaa vyema mkuuNimefugia kweny simtank la lita 5000 wako vizuri kabisa
Nilikwenda maonyesho ya 88, nikaona Ruvu JKT wamefuga samaki kwenye tank bandani kwao, nikawauliza kama naweza kufanya hivyo nyumbani kwangu, wakasema inawezekana.Hii imekaa vyema mkuu
Unawapa chakula gani ?
Na
Ikikupendeza tupe ABC kuhusu huo ufugaji nimetokea kuvutiwa nao🤔
Yoyote ila isiwe imechanganyika na dawa ya kuoshea ng'ombeSamadi kavu au mbichi mkuu?
Wajengee kisima chao pembenisasa nawaza ukiwa unatilia chakula si maji yatachafuka nitashinda ya kutumia
Nenda Ruvu JKT, watakufundisha kila kitu tena bureMbegu za kambale Kwa Dar zinapatikana wapi
Nimefugia kweny simtank la lita
Nimefugia kweny simtank la lita 5000 wako vizuri kabisa
Tank linakatwa juu, tafuta tank lililoharibika likate juu kuondoa lile eneo linalofunikaMkuu una picha ya ufugaji wako?, aeration ya maji unaifanyaje? ( hali ya maji kupata Oxygen ya kutosha)