Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Actuallyndio lakin tofautisha mnyama na mamals najua kinachokujia kichan n mamals pindi mtu akitamka mnyama
Kambale huzaliana kwenye maji yanayotembea pekee lakini anaweza kuishi na kukua kwenye maji yaliyotuama.Umekulia wapi?
Kisima cha aina gani ? kile cha kuchimba chenye mfinyazi ndani sivyo?Ni wapi huko?. Kambale anakubali tu visimani. Tena ni muhimu ksbb ksbb pia wanasaidia kuchimba kisima. Nakumbuka zamani sisi ilikuwa kila mwenye kisima lazima kuna kambale ndani. Hawana shida. Ila wasiwe wengi sana. Watatibua maji
Sababu ipi inawafanya wasizaliane ?Kambale huzaliana kwenye maji yanayotembea pekee lakini anaweza kuishi na kukua kwenye maji yaliyotuama.
Kile cha kuchimba kwa mkono. Sio drilling. Kisiwe juaniKisima cha aina gani ? kile cha kuchimba chenye mfinyazi ndani sivyo?
Kweli mkuu ingawa hata northern South America wapo pia ila aina tofautiNafahamu ila nilikuwa nakuuliza huyo kambale alipatikana hapa bongo ujue viumbe vya bongo vina tabia unique😂
Kambale ni kingdom fungi 😂😂Biology darasa la tatu.
VIUMBE HAI.
1-Wanyama.
2-Mimea.
Kama ni hivyo,kambale ni mimea.Siyo?
Sawasawa.Kambale ni kingdom fungi 😂😂
Na kuoleana kati yao. Watapata wakwe wapya.Wataishi kama ndugu[emoji16]
NiWanaishi vizuri kabisa ila lazima uwalishe huwa hawali sana ni kidogo tu.
Jambo lingine angalia aina ya vyura waliopo hapo wasije wakala vifaranga vya kambale.
Pia hapo tegemea kupata kambale pungufu ya idadi utakayoweka. Kwanini pungufu ni kwasababu kambale hawazaliani kwenye maji yaliyotwama. Mfano ukiweka vifaranga 400 basi tegemea kuvuna kambale 300 au 200+
Ni mradi mzuri kama ulipo kuna wala kambale.
Wanaishi vizuri kabisa ila lazima uwalishe huwa hawali sana ni kidogo tu.
Jambo lingine angalia aina ya vyura waliopo hapo wasije wakala vifaranga vya kambale.
Pia hapo tegemea kupata kambale pungufu ya idadi utakayoweka. Kwanini pungufu ni kwasababu kambale hawazaliani kwenye maji yaliyotwama. Mfano ukiweka vifaranga 400 basi tegemea kuvuna kambale 300 au 200+
Ni mradi mzuri kama ulipo kuna wala kambale.
Kambale unawapa chakula gani ambacho kinapatikana kwenye mazingira yetu ya kawaida?Wanaishi vizuri kabisa ila lazima uwalishe huwa hawali sana ni kidogo tu.
Jambo lingine angalia aina ya vyura waliopo hapo wasije wakala vifaranga vya kambale.
Pia hapo tegemea kupata kambale pungufu ya idadi utakayoweka. Kwanini pungufu ni kwasababu kambale hawazaliani kwenye maji yaliyotwama. Mfano ukiweka vifaranga 400 basi tegemea kuvuna kambale 300 au 200+
Ni mradi mzuri kama ulipo kuna wala kambale.
Nimefugia kweny simtank la lita 5000 wako vizuri kabisaWakuu kisima changu kimejaa vyura kibao. Sasa nimewaza badala ya kujaza vyura si bora nifugie samaki.
Maana kama vyura anaweza ishi samaki pia anaishi. Nataka nitafute niweke Kambale maana ndo naambiwa wana roho ngumu wanaishi hadi kwenye majaruba ya mpunga.
Ushauri
想要成功,那么你需要的就是无知和自信Wakuu kisima changu kimejaa vyura kibao. Sasa nimewaza badala ya kujaza vyura si bora nifugie samaki.
Maana kama vyura anaweza ishi samaki pia anaishi. Nataka nitafute niweke Kambale maana ndo naambiwa wana roho ngumu wanaishi hadi kwenye majaruba ya mpunga.
Ushauri