Nikifugia samaki kwenye kisima watakubali? Kambale

Nikifugia samaki kwenye kisima watakubali? Kambale

Ni wapi huko?. Kambale anakubali tu visimani. Tena ni muhimu ksbb ksbb pia wanasaidia kuchimba kisima. Nakumbuka zamani sisi ilikuwa kila mwenye kisima lazima kuna kambale ndani. Hawana shida. Ila wasiwe wengi sana. Watatibua maji
Kisima cha aina gani ? kile cha kuchimba chenye mfinyazi ndani sivyo?
 
Wanakuwa vizuri tu... tena hata perege.

Kipindi nalima mboga mboga nilikuwa nawavua kwenye visima ambavyo nilikuwa natumia kumwagilia mboga.

Hata humo kama ni kisima kisichokauka waweza kuta wapo sema ww hujui.
 
Kambale ni samaki waajabu sana Kuna bwawa lilikausha maji kabisa ukapita kama mwezi na sehemu tukaweka watu watoe tope Kwa maandalizi ya masika Cha ajabu tuliwakuta kambale wakubwa tu na wapo hai kabisa nilishangaa Sana na kuanzia hapo niliwaepuka kuwala.

Unaweza kuwala mwisho wa siku ukasikia tumboni Wana shake hapo Sasa ndo utajua hujui
 
Ni meongea na hao vyura wamesema iwapo utawaletea hao washenzi basi jua hapo kwako UDUGU UMALA ,UBAYA UBWELA
 
Wanaishi vizuri kabisa ila lazima uwalishe huwa hawali sana ni kidogo tu.

Jambo lingine angalia aina ya vyura waliopo hapo wasije wakala vifaranga vya kambale.

Pia hapo tegemea kupata kambale pungufu ya idadi utakayoweka. Kwanini pungufu ni kwasababu kambale hawazaliani kwenye maji yaliyotwama. Mfano ukiweka vifaranga 400 basi tegemea kuvuna kambale 300 au 200+

Ni mradi mzuri kama ulipo kuna wala kambale.
Ni
Wanaishi vizuri kabisa ila lazima uwalishe huwa hawali sana ni kidogo tu.

Jambo lingine angalia aina ya vyura waliopo hapo wasije wakala vifaranga vya kambale.

Pia hapo tegemea kupata kambale pungufu ya idadi utakayoweka. Kwanini pungufu ni kwasababu kambale hawazaliani kwenye maji yaliyotwama. Mfano ukiweka vifaranga 400 basi tegemea kuvuna kambale 300 au 200+

Ni mradi mzuri kama ulipo kuna wala kambale.
 
Wanaishi vizuri kabisa ila lazima uwalishe huwa hawali sana ni kidogo tu.

Jambo lingine angalia aina ya vyura waliopo hapo wasije wakala vifaranga vya kambale.

Pia hapo tegemea kupata kambale pungufu ya idadi utakayoweka. Kwanini pungufu ni kwasababu kambale hawazaliani kwenye maji yaliyotwama. Mfano ukiweka vifaranga 400 basi tegemea kuvuna kambale 300 au 200+

Ni mradi mzuri kama ulipo kuna wala kambale.
Kambale unawapa chakula gani ambacho kinapatikana kwenye mazingira yetu ya kawaida?
 
Wakuu kisima changu kimejaa vyura kibao. Sasa nimewaza badala ya kujaza vyura si bora nifugie samaki.

Maana kama vyura anaweza ishi samaki pia anaishi. Nataka nitafute niweke Kambale maana ndo naambiwa wana roho ngumu wanaishi hadi kwenye majaruba ya mpunga.

Ushauri
Nimefugia kweny simtank la lita 5000 wako vizuri kabisa
 
Wakuu kisima changu kimejaa vyura kibao. Sasa nimewaza badala ya kujaza vyura si bora nifugie samaki.

Maana kama vyura anaweza ishi samaki pia anaishi. Nataka nitafute niweke Kambale maana ndo naambiwa wana roho ngumu wanaishi hadi kwenye majaruba ya mpunga.

Ushauri
想要成功,那么你需要的就是无知和自信

Xiǎng yào chénggōng, nàme nǐ xūyào de jiùshì wúzhī hé zìxìn

To succeed, all you need is ignorance and confidence
 
Back
Top Bottom