Nikifungua kanisa, hizi ndizo zitakuwa Amri zangu

Nikifungua kanisa, hizi ndizo zitakuwa Amri zangu

Bwana Ni Mwema Watu Wa Mungu!

Biashara ya dini kwa sasa ndiyo biashara inayolipa asikwambie mtu

Nimemshuhudia jamaa yangu kwa miaka 4 tu amepiga hatua kubwa sana
dogo alianza na mtaji wa watu wachache sana akisali chini ya mti wa mwembe baada ya miezi kadhaa watu {mtaji ukakua} wakaongezeka na yeye kufanya harambee.

harambee ilifanikiwa japo sio kivile na hivi ndivyo alivyo nunua

SPIKA KUBWA
VITI,MEZA
VYOMBO KADHAA VYA MZIKI NK
IKIWA PAMOJA NA KUONGEZA KIWANJA ZAIDI.

Hadi sasa jamaa anakanisa kajenga tiyari gari,nyumba,watoto wanasoma shule nzuri.
mke wa jamaa anaishi maisha ya kimalikia maana kazi zote zinazompasa yeye anafanyiwa na kanisa na wengine hulala hapohapo ili waamke asbhi na mapema wafanye maombi. amenionyesha baadhi ya nyumba zake alizo jenga geita kahama na mwanza asee amenishawishi sana na hapo anawaza ajenge shule kabisa na wazo lake limeungwa mkono na washriki kwa 100%

Kwa namna hii huenda nami siku za usoni nikafungua kanisa langu.

NA HIZI NDIZO ZITAKUWA AMRI ZA KANISA LANGU
1;Ujapo kanisani usije mikono mitupu
2;Usizini bali Oa mwanamke zaidi ya mmoja kama walivyofanya manabii na wazee wa imani.
3;usinywe pombe kupita kiasi bali kunywa kistaarabu
4;usithubutu kula fungu la kumi wala mzao wakwanza wa mifugo yako wala kwenye mazao ya nafaka[MALIMBUKO} zako,kwa maana tangu mwanzo bwana ali amru zije hekaruni mwake.
5;usiuue
6;usiibe
7;Usiende kwa mganga wa kienyeji.
8;Mwanamke ukimfumania piga chini mara moja.
9;Hudhuria ibada na maombi walau mara 4-6 kwa juma ukiwa na sadaka zako.
10;Nikifa mke wangu asiolewe bali aachwe aishi maisha matakatifu.



NB:KAMA UTAONA HAUKUFAI UZI HUU PITA KIMYA KIMYA KAMA UNAAGA MWILI WA MAREHEMU.
Nikikumbuka siku Ile nilipokutana na mchungaji wa kanisa analosali wife tukakutana kwenye foleni kwa mganga wa kienyeji usiku wa saa tano mpaka Leo siwaamini sana hawa watu!
Ukiangalia mimi huwa naenda kufuata dawa kwa ajili ya biashara yangu ya majeneza sasa huyu nabii alifuata nini kwa mganga usiku ule au alienda kumwombea mganga?
 
Fanya kila kitu ila usidharau mambo ya mungu wewe ninani uwe na amri kumi wewe sio mungu ni takataka tu mshenzi tu hayawani. Umewahi mwona nani amebadili kitu cha Mungu awe mwamposa john devi . Au nani wewe ninani kwanza unaweza vuruga vitu vya Mungu.

Jingine unaakili za tito na kanisa lako.litafungiwa mapema sana
 
Nikikumbuka siku Ile nilipokutana na mchungaji wa kanisa analosali wife tukakutana kwenye foleni kwa mganga wa kienyeji usiku wa saa tano mpaka Leo siwaamini sana hawa watu!
Ukiangalia mimi huwa naenda kufuata dawa kwa ajili ya biashara yangu ya majeneza sasa huyu nabii alifuata nini kwa mganga usiku ule au alienda kumwombea mganga?
Mkuu hiyo ni siri ya kambi usivujishe tafadhari. pia nimeitolea angalizo kwenye amri ya 7 maana najua tunaweza kutana huko mradi ukabuma
 
Fanya kila kitu ila usidharau mambo ya mungu wewe ninani uwe na amri kumi wewe sio mungu ni takataka tu mshenzi tu hayawani. Umewahi mwona nani amebadili kitu cha Mungu awe mwamposa john devi . Au nani wewe ninani kwanza unaweza vuruga vitu vya Mungu.

Jingine unaakili za tito na kanisa lako.litafungiwa mapema sana
pita hivi kimyakimya. mmeshindwa kuwa lalamikia haoulio wataja uje unilalamikie mimi? wapini mebadiri amri za Mungu ? hizi ni amri za kanisa langu mimi ndo mwenye kanisa. kafungienin la kawe kwanza na la zumaridi
 
Bwana Ni Mwema Watu Wa Mungu!

Biashara ya dini kwa sasa ndiyo biashara inayolipa asikwambie mtu

Nimemshuhudia jamaa yangu kwa miaka 4 tu amepiga hatua kubwa sana
dogo alianza na mtaji wa watu wachache sana akisali chini ya mti wa mwembe baada ya miezi kadhaa watu {mtaji ukakua} wakaongezeka na yeye kufanya harambee.

harambee ilifanikiwa japo sio kivile na hivi ndivyo alivyo nunua

SPIKA KUBWA, VITI, MEZA, VYOMBO KADHAA VYA MZIKI NK. IKIWA PAMOJA NA KUONGEZA KIWANJA ZAIDI.

Hadi sasa jamaa anakanisa kajenga tiyari gari,nyumba,watoto wanasoma shule nzuri.

Mke wa jamaa anaishi maisha ya kimalikia maana kazi zote zinazompasa yeye anafanyiwa na kanisa na wengine hulala hapohapo ili waamke asbhi na mapema wafanye maombi. amenionyesha baadhi ya nyumba zake alizo jenga geita kahama na mwanza asee amenishawishi sana na hapo anawaza ajenge shule kabisa na wazo lake limeungwa mkono na washriki kwa 100%.

Kwa namna hii huenda nami siku za usoni nikafungua kanisa langu.

NA HIZI NDIZO ZITAKUWA AMRI ZA KANISA LANGU
1. Ujapo kanisani usije mikono mitupu
2. Usizini bali Oa mwanamke zaidi ya mmoja kama walivyofanya manabii na wazee wa imani.
3. Usinywe pombe kupita kiasi bali kunywa kistaarabu
4. Usithubutu kula fungu la kumi wala mzao wakwanza wa mifugo yako wala kwenye mazao ya nafaka[MALIMBUKO} zako,kwa maana tangu mwanzo bwana ali amru zije hekaruni mwake.
5. Usiuue
6. Usiibe
7. Usiende kwa mganga wa kienyeji.
8. Mwanamke ukimfumania piga chini mara moja.
9. Hudhuria ibada na maombi walau mara 4-6 kwa juma ukiwa na sadaka zako.
10. Nikifa mke wangu asiolewe bali aachwe aishi maisha matakatifu.

NB: KAMA UTAONA HAUKUFAI UZI HUU PITA KIMYA KIMYA KAMA UNAAGA MWILI WA MAREHEMU.
Kanisa ni mali ya Mungu, wala sio mali ya mtu binafsi, hilo ndilo kanisa la kweli. haliji kwa fikra za nini muanzilishi anapenda kiwe au kisiwe, Roho Mtakatifu ndio anatakiwa akuongoze, kama unaye, na kama umeokoka manake usipookoka hauwezi kumpata Roho Mtakatifu, na kwa jinsi ulivyoandika hapa ni wazi wewe haujaokoka na hautampata Roho Mtakatifu hadi uokoke.

kwa kifupi, unaenda kuanzisha cult ya kishetani kabisa, isiyo na misingi ya Neno la Mungu wala Roho Mtakatifu, na ni shetani anakuongoza kwenda kujenga kitu hiki. hautajua haya ninayoyaongea kwasababu ufahamu wako umetekwa na hautaelewa hadi Mungu akufungue akili yako, kama neema hiyo itakukuta kabla haujafa. rudi kwa Mungu, acha kuwa ajenti wa sheteni.
 
Back
Top Bottom