Nikiitafakari ile kauli ya Kusaga,bado sipati jibu....

Aslay ndio nani,mimi niliwajua marehemu Ruge na Kibonde lakini Aslay,ana pesa kwani ?kifupi hapa Tanzania kuna msanii mmoja tu ambaye ana sifa za umaarufu na kuwa na pesa ambaye ni Diamond tu,lakini hao uliowataja wote takataka tu.
Wapi nimeandika Aslay anapesa?au kuwa na Pesa na Umaarufu Ni kitu kimoja? uwe unasoma vizuri na kutafakari kabla ya kujibu.

La pili...wewe kuanza kumjua Ruge na Kibonde kabla ya Aslay ndo point unayotumia kutetea kuwa wao ni maarufu kuliko Aslay? Mbona wengi tumewajua kabla ya Diamond na siyo Maarufu kuliko yeye.
Unamuongelea huyu Aslay anayejulikana mpaka na watoto si mijini wala vijijini.
Stations za Uganda..Kenya...Burundi...Rwanda..Congo n.k wanacheza nyimbo za Aslay na unasema siyo maarufu?Kwahi muktadha upi?
Kibonde wanamjua Kenya au huyo Ruge kwa impact gani?watakuuliza ndo nani?
 
Aslay ndio nani,mimi niliwajua marehemu Ruge na Kibonde lakini Aslay,ana pesa kwani ?kifupi hapa Tanzania kuna msanii mmoja tu ambaye ana sifa za umaarufu na kuwa na pesa ambaye ni Diamond tu,lakini hao uliowataja wote takataka tu.
 
Non senses!
Ukitaja clouds ni kusaga same to wasafi media.
Why aichukie clouds asimchukie kusaga?
Unahisi kwanini platinum ameendelea kuwa mshirika wa kusaga wakati anabifu na clouds (ambayo ndio kusaga mwenyewe)?
Kama hujui vitu nyamaza.
diamond inaonesha alikuwa na bifu na Ruge,na baada ya Ruge kuondoka basi tutegemee Nyimbo zote kupigwa clouds bila ubaguzi.Ruge ndo alikuwa mbaguzi.kusaga hakutaka kuingilia hili,ndo maana kusaga ana redio nyingi nje na clouds ikiwemo wasafi.Baada ya Ruge nategemea improvement kwa clouds.wataacha ushamba wa zaman wa mabifu na wasanii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili usafishe uchafu unalazimika kuwa msafi,kusaga ajisafishe kwanza ndio ahubiri kuhusu usafi.sasa kati yenu nani mtoto.
 
huyo anakupotezea muda mkuu.
 
hapa alikuwa anamaanisha wasanii wa stejini hawa kina Platnumz au wale wenye makarabrasha feki wa kutoka kule madongo kwinama "call me j"??

nauliza tu kwa nia njema...
 
Kama ukiwa makini kwenye hii thread utagundua kuna team inatetewa kwa namna yoyote ile
 
Yes kusaga alikuwa neutral alikuwa anaogopa kumpoteza mmoja wapo zoz wote walikuwa mhimu hasa ruge.
Naona now ruge kapotea mwenyewe so maisha yatakua mazuri.
 
Hili la Ruge kuwa maarufu kuliko wasanii wote na mimi lilinishangaza.
Huwenda ikawa kusaga alivuta bangi ... ruge kabla hajafa ... hata angejaribu kusimama k.koo hakuna mtu ambaye angejitokeza kumshangaa ... lakini endapo mr nice mtu ambaye umaarufu wake umeshadoda " Angejaribu kufanya hivyo cha ajabu ni lazima angejaza watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuuu kwa Uzi huu kama ww ni wa kike sawa kabsaa....ila kama ni wa kiume itabidi uchunguzwe tu.
 

Upo sahihi kabisa mkuu. Mr Nice ni kiwango kikubwa sana. Sema Dudubaya tu.
 
Pesa mwanakharam sana,najaribu kumtafakari kusaga sipati jibu sahihi
 
Pale ni nyumbani kwa Baba yake Mzazi
Kibonde kumbe alikuwa na mshiko wa kutosha,nimeona alikuwa na Nissan Murano na Harrier Lexus New Model Number D zenye thamani ya zaidi ya milioni 60,na pia nieona ana mjengo wa ghorofa moja mbezi beach afrikana lafia jirani na kwa kina MANGE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…