Kabla nife lazima niwe millionaire iyo nimejihakikishia iwe kwa dhulma, wizi, kuroga, fitna, kudanganya,kughushi, kuroga na kufisidi. Ispokuwa tu kuua na kudhulumu nafsi.
Nikizikamata kwaanzia dollars million moja kuendelea natafuta jopo la madem wakali wakiafrika kazi yao ni kunilisha, kuniogesha, kunipeleka maliwatoni na kunifanyia huduma zote huko.
Pia nitawaajiri njemba kunibebea simu, kunifungulia mlango wa gari n.k.
Sitashika chochote yote ntafanyiwa na wafanyakazi wangu niliwaajiri mpango nikuajiri wafanyakazi 30 na wote Nitawalipa mshahara wa million 5 kwa mwezi kila mmoja na kuwakatia bima wao na familia zao.
Kazi yangu tu nitakayotumia nguvu ni kugegeda na kukata gogo baas.
Halafu nanua super yatch yenye kubeba watu zaidi ya 60 natanua kwe high seas huko na ndugu na marafiki ila nitajitahidi kuepuka pwani ya Somalia nitacheza na pwani yetu kuelekea huko chini sauz, Mauritius nakukatiza juu pembeni pwani za sysheles.
Nikizikamata kwaanzia dollars million moja kuendelea natafuta jopo la madem wakali wakiafrika kazi yao ni kunilisha, kuniogesha, kunipeleka maliwatoni na kunifanyia huduma zote huko.
Pia nitawaajiri njemba kunibebea simu, kunifungulia mlango wa gari n.k.
Sitashika chochote yote ntafanyiwa na wafanyakazi wangu niliwaajiri mpango nikuajiri wafanyakazi 30 na wote Nitawalipa mshahara wa million 5 kwa mwezi kila mmoja na kuwakatia bima wao na familia zao.
Kazi yangu tu nitakayotumia nguvu ni kugegeda na kukata gogo baas.
Halafu nanua super yatch yenye kubeba watu zaidi ya 60 natanua kwe high seas huko na ndugu na marafiki ila nitajitahidi kuepuka pwani ya Somalia nitacheza na pwani yetu kuelekea huko chini sauz, Mauritius nakukatiza juu pembeni pwani za sysheles.