Nikija kuwa millionaire, nitafanya mambo ya ajabu sana

Nikija kuwa millionaire, nitafanya mambo ya ajabu sana

Nenda kwa shetani utapata umilionea wa haraka kwa kafara ya damu yako, ya mwanao au mzazi wako. Au kuingia mkataba unapewa mda wa kuishi mnagawana miaka SAwa yaani nusu kwa nusu na shetani. Mfano miaka yako aliyokupa Mwenyezi Mungu kuishi duniani ni 60,70,76,80 nk nusu yake ni 30,35,33,40 umeenda kwa mganga una miaka 27.Unatoa jumla ya miaka uliyo nayo sasa mfano 27 itakuwa 3,8,6,13 ndo miaka utakuwa tajiri mkubwa Sana kisha utakufa hio nusu iliyobaki Ina kua ni miaka ya shetani unaenda kutumika kuzimu hadi utakapogota miaka yako aliyokupa Mwenyezi Mungu then unakufa kuzimu mwili wako unaliwa nyama, roho yako Inaenda kuzimu kubwa kuteseka milele.
 
😂😂 Hiyo kitu (kuroga) ni uhakika kabsa💯💯💯
Kutoa kafara ndugu, mtoto, mzazi,,kujitoa kafara mwenyewe utajiri wa punje,au kujitoa kafara kizazi chako yaani unakua tajiri mkubwa lakini uzai Ili usiwe na mrithi, yaani umeuza kizazi chako kwa shetani.
Unakua tajiri usiye na furaha
 
Hujazungumzia kuliwa kiboga mkuu,, au na marinda utayaweka rehani..? Na kama utauza Figo nicheki chap nikupe connection upate hela za anasa...

Madogo wamevamia Jeiefu na nyuzi za Fesibuku
 
Nenda kwa shetani utapata umilionea wa haraka kwa kafara ya damu yako, ya mwanao au mzazi wako. Au kuingia mkataba unapewa mda wa kuishi mnagawana miaka SAwa yaani nusu kwa nusu na shetani. Mfano miaka yako aliyokupa Mwenyezi Mungu kuishi duniani ni 60,70,76,80 nk nusu yake ni 30,35,33,40 umeenda kwa mganga una miaka 27.Unatoa jumla ya miaka uliyo nayo sasa mfano 27 itakuwa 3,8,6,13 ndo miaka utakuwa tajiri mkubwa Sana kisha utakufa hio nusu iliyobaki Ina kua ni miaka ya shetani unaenda kutumika kuzimu hadi utakapogota miaka yako aliyokupa Mwenyezi Mungu then unakufa kuzimu mwili wako unaliwa nyama, roho yako Inaenda kuzimu kubwa kuteseka milele.
Nipe hii connection mkuu,wewe ushawahi kujaribu?

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Nipe hii connection mkuu,wewe ushawahi kujaribu?

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Ningejaribu kama tungekuwa tunaishi milele.Mcheki wakala yeyeto wa shetani duniani atakulink ndugu.
Wabongo wamejiongeza ukipata utajiri wa punje yaani miaka ya kuishi mda wa kufika uliopewa ukikaribia unaenda Nigeria kuuflash yaani kureboot systems.
 
Kabla nife lazima niwe millionaire iyo nimejihakikishia iwe kwa dhulma, wizi, kuroga, fitna, kudanganya,kughushi, kuroga na kufisidi. Ispokuwa tu kuua na kudhulumu nafsi.

Nikizikamata kwaanzia dollars million moja kuendelea natafuta jopo la madem wakali wakiafrika kazi yao ni kunilisha, kuniogesha, kunipeleka maliwatoni na kunifanyia huduma zote huko.

Pia nitawaajiri njemba kunibebea simu, kunifungulia mlango wa gari n.k.

Sitashika chochote yote ntafanyiwa na wafanyakazi wangu niliwaajiri mpango nikuajiri wafanyakazi 30 na wote Nitawalipa mshahara wa million 5 kwa mwezi kila mmoja na kuwakatia bima wao na familia zao.

Kazi yangu tu nitakayotumia nguvu ni kugegeda na kukata gogo baas.

Halafu nanua super yatch yenye kubeba watu zaidi ya 60 natanua kwe high seas huko na ndugu na marafiki ila nitajitahidi kuepuka pwani ya Somalia nitacheza na pwani yetu kuelekea huko chini sauz, Mauritius nakukatiza juu pembeni pwani za sysheles.
Una maanisha utajenga swimming pool halafu mabinti wakali wataonsha mbupu?[emoji2]
 
Kabla nife lazima niwe millionaire iyo nimejihakikishia iwe kwa dhulma, wizi, kuroga, fitna, kudanganya,kughushi, kuroga na kufisidi. Ispokuwa tu kuua na kudhulumu nafsi.

Nikizikamata kwaanzia dollars million moja kuendelea natafuta jopo la madem wakali wakiafrika kazi yao ni kunilisha, kuniogesha, kunipeleka maliwatoni na kunifanyia huduma zote huko.

Pia nitawaajiri njemba kunibebea simu, kunifungulia mlango wa gari n.k.

Sitashika chochote yote ntafanyiwa na wafanyakazi wangu niliwaajiri mpango nikuajiri wafanyakazi 30 na wote Nitawalipa mshahara wa million 5 kwa mwezi kila mmoja na kuwakatia bima wao na familia zao.

Kazi yangu tu nitakayotumia nguvu ni kugegeda na kukata gogo baas.

Halafu nanua super yatch yenye kubeba watu zaidi ya 60 natanua kwe high seas huko na ndugu na marafiki ila nitajitahidi kuepuka pwani ya Somalia nitacheza na pwani yetu kuelekea huko chini sauz, Mauritius nakukatiza juu pembeni pwani za sysheles.
safi sana bro tunakuombea.

adriz mshamba_hachekwi Leejay49 Chaliifrancisco
 
Kabla nife lazima niwe millionaire iyo nimejihakikishia iwe kwa dhulma, wizi, kuroga, fitna, kudanganya,kughushi, kuroga na kufisidi. Ispokuwa tu kuua na kudhulumu nafsi.

Nikizikamata kwaanzia dollars million moja kuendelea natafuta jopo la madem wakali wakiafrika kazi yao ni kunilisha, kuniogesha, kunipeleka maliwatoni na kunifanyia huduma zote huko.

Pia nitawaajiri njemba kunibebea simu, kunifungulia mlango wa gari n.k.

Sitashika chochote yote ntafanyiwa na wafanyakazi wangu niliwaajiri mpango nikuajiri wafanyakazi 30 na wote Nitawalipa mshahara wa million 5 kwa mwezi kila mmoja na kuwakatia bima wao na familia zao.

Kazi yangu tu nitakayotumia nguvu ni kugegeda na kukata gogo baas.

Halafu nanua super yatch yenye kubeba watu zaidi ya 60 natanua kwe high seas huko na ndugu na marafiki ila nitajitahidi kuepuka pwani ya Somalia nitacheza na pwani yetu kuelekea huko chini sauz, Mauritius nakukatiza juu pembeni pwani za sysheles.
Pesa inahtaji heshima
 
Back
Top Bottom