Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Wakuu naombeni msaada nikikojoa au mkojo wa mwisho unauma halafu nikiminya uume kuna vitu vinatoka vina kama rangi ya njano.
Kuna kitu nilifanya ijumaa
Kuna kitu nilifanya ijumaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hichohicho kitu🤒Wakuu naombeni msaada nikikojoa au mkojo wa mwisho unauma...halafu nikiminya uume kuna vitu vinatoka vina kama rangi ya njano...kuna kitu nilifanya ijumaa
😁😁😹Wakuu naombeni msaada nikikojoa au mkojo wa mwisho unauma...halafu nikiminya uume kuna vitu vinatoka vina kama rangi ya njano...kuna kitu nilifanya ijumaa
Asante mkuuPole boss tafuta erythromycin
Sijui kwann vijana wana vichwa vigumu?😁😁😹
Eti kuna vitu nilifanya Ijumaa.
Kuwa makini “Kitakatika”
Vijana wanakamia.Sijui kwann vijana wana vichwa vigumu?
Hiz mada ziko kila siku jukwaan na wanachamgia ila haziwasaidii.
Mimi kwa mara ya kwanza kupata gono bila nikajua tu hil ni lenyewe kutokana na kusoma soma sana hiv visa hapa jukwaan, nkkawah fasta hospital, wala hata sikutaka kujinunulia dawa
Nishawah bwana kama miaka 7 hiv iliopittaVijana wanakamia.
Pole mkuu, kumbe ushawahi kupata ajali kazini.
Kwamba hujui hospitals zilipo mkuu?Wakuu naombeni msaada nikikojoa au mkojo wa mwisho unauma...halafu nikiminya uume kuna vitu vinatoka vina kama rangi ya njano...kuna kitu nilifanya ijumaa
Pole sana.Nishawah bwana kama miaka 7 hiv iliopitta
Ni kwel japo ni mambo ya kawaida haya kwa mwanaume kupitia unapokua katika ukuajiPole sana.
Kuweni makini.
Inbox nikuelekeze dawa,Wakuu naombeni msaada nikikojoa au mkojo wa mwisho unauma...halafu nikiminya uume kuna vitu vinatoka vina kama rangi ya njano...kuna kitu nilifanya ijumaa
Dawa ya moto ni motoHichohicho kitu🤒
😂😂😂🙌🏾Vikoba ni changamoto Sana,K hazipumziki...zinabamizwa daily .....eti kunakitu nilifanya🙄 Kaswende hiyo mjomba....Pigeni nyeto tu....magonjwa sikuhizi ni outout☹️
Oooooh😂😂😂Sijui kwann vijana wana vichwa vigumu?
Hiz mada ziko kila siku jukwaan na wanachamgia ila haziwasaidii.
Mimi kwa mara ya kwanza kupata gono bila nikajua tu hil ni lenyewe kutokana na kusoma soma sana hiv visa hapa jukwaan, nkkawah fasta hospital, wala hata sikutaka kujinunulia dawa