Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
umeambiwa una shida gani? naona metronidazole na doxy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Azuma 2Wakuu naombeni msaada nikikojoa au mkojo wa mwisho unauma halafu nikiminya uume kuna vitu vinatoka vina kama rangi ya njano.
Kuna kitu nilifanya ijumaa
Poleeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni hatari mkuu nishawahi jichanganya
Mpaka leo huwa siendi kavu na wadada wa kino
Ipii mwayaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]rudisha avatar yetu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahahahhahah kumbe haukufikia ile stage yenyewe..
Mwenzako mmoja alichomwa sindano ndani ina dawa nzito kama uji hivi..
Unaambiwa jamaa kila akikumbuka yale maumivu huwa analia
Ahahaha unawajua wadada wa kino mkuuPoleeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio ya kucheka haya mkuu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
siku hizii magonjwa yana hasira yana kufata ndani ya condom, chungaa au acha ngonooo kabisaaa, uamuzi ni wako!! 🤣🤣Kwamba hujui hospitals zilipo mkuu?
Ulifanya mapenzi bila condom. Ulitegemea nini? Smart TV??
Ahahaha jamaa anasema alitegemea smart TV...siku hizii magonjwa yana hasira yana kufata ndani ya condom, chungaa au acha ngonooo kabisaaa, uamuzi ni wako!! 🤣🤣
Hapanaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahahaha unawajua wadada wa kino mkuu
Kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio ya kucheka haya mkuu..
Haya mkuti nyani ujue ahaha
Asante mkuu
Usiwev unauza mach bwana.Asante mkuu
Unavocheka sasa..Hapanaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiombe yakukute....Kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kubababake😄😄😄😄😄et nyeto😂😂😂🙌🏾
Vikuku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unavocheka sasa..
Wadada wa kino wanavaaga shanga fulani mguuni... Ni wa moto hao
Kheeeeh, sema kweliii?Usiombe yakukute....
Utaambiwa hatukutibu mpaka ukuje na mwenzako