Ila nadhani Mimi ndiyo 'nimeila' zaidi kwani hapa juzi tu nilikuwa na 'Sherehe' Kubwa ambayo ilinifanya pia niweze 'Kuwanunua' Wageni wa mbali huku wengine 'nikiwaahidi' kuwa wakihudhuria tu basi nitawapa 'Zawadi' na wale niliowapa 'dhamana' ya kuhakikisha 'Sherehe' yangu 'inafana' sana nao pia niwapa sehemu ya huo 'Mgao' ambao Mimi niliuomba nikawatibie Wanafamilia wangu kwa Ugonjwa wa 'KOROMA' sana.