Nikikubali mtaniona 'dhaifu' ila nikikataa 'nitaumbuka' zaidi lakini 'nikinyamaza' naweza 'Kunyimwa' zaidi. Je, lipi jema?

Mkuu si huwa unawafokea wanafamilia wako wanapotumia vibaya ges, umeme na viroba vya mchele, mpaka huwa unawatumbua wadada wa kazi !?
Nakumbuka ulishawahi kusema wanaokula hela za familia yako watazitapika.
Jiandae kutapika hela za watu๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ
 
Kubwa la mapopoma GENTAMYCINE ,omba radhi huyo rafikiyo,omba radhi hao nduguzo uliokula kwa magonjwa yao,tubu kea Mungu wako.
Hilo la kuwapa dhawadi wageni wako ni ushamba na ulimbukeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ