moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Mkuu si huwa unawafokea wanafamilia wako wanapotumia vibaya ges, umeme na viroba vya mchele, mpaka huwa unawatumbua wadada wa kazi !?
Nakumbuka ulishawahi kusema wanaokula hela za familia yako watazitapika.
Jiandae kutapika hela za watu🏃♂️🏃♂️
Nakumbuka ulishawahi kusema wanaokula hela za familia yako watazitapika.
Jiandae kutapika hela za watu🏃♂️🏃♂️