Nikikumbuka haya mambo ninakiri kabisa tumetoka mbali na nchi yetu ilikuwa masikini mno

Nikikumbuka haya mambo ninakiri kabisa tumetoka mbali na nchi yetu ilikuwa masikini mno

Matongee

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2023
Posts
1,056
Reaction score
2,729
Wakuu bado hatujafika tunapotaka ila kiukweli kuna hatua tumepiga kwa miaka hii. Haya ni mambo ambayo yalikuwepo ndani tu ya miaka isìyozidi 30.

1. Shule za sekondari zilikuwa chache mno kiasi kwamba kwenye darasa la wanafunzi 60 wanaopata nafasi ya kujiunga kidato cha kwanza labda ni watano tu. Watoto wengi hawakuweza kutimiza ndoto zao kwasababu hiyo. Serikali ilikuwa maskini sana.

2. Nchi ilikuwa na barabara mbovu mno. Barabara za lami zilikuwa za kuhesabu. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 ili ilibidi watu wa kanda ya ziwa waliokuwa wakitokea Arusha na Kilimanjaro wawe wanazungukia Kenya kwenye barabara nzuri badala ya kupitia njia fupi ya Singida. Yalikuwa ni mateso. Sehemu ya kusafiri masaa mawili tulikuwa tunatumia masaa matano hadi sita.

Safari ya Dar - Mtwara ilikuwa funga kazi. Songea - Mbamba Bay nayo ilikuwa safari ya roho mkononi.

3. Miaka ya nyuma ustaarabu ulikuwa mdogo sana hasa kwenye mikusanyiko na vyombo vya usafiri. Ilikuwa kawaida mtu kuvuta sigara kwenye kundi la watu au kwenye basi. Hata customer care zilikuwa za hovyo.

4. Umaskini ulikuwa umekithiri hasa maeneo ya vijijini. Kuvaa nguo zenye viraka ilikuwa jambo la kawaida sana. Siku hizi hiyo hali imepungua. Pia hata yale mambo ya kula pilau hadi kuwe na sikukuu yamepungua. Sasa hivi watu wanafakamia pilau na biriani siku ya kawaida tu.

5. Kulikuwa na taharuki sana kwa mambo yaliyokuwa hayaeleweki... wanyonya damu, popobawa, chunusi na mambo mengine ya kutisha.
 
wanyonya damu, popobawa, chunusi na mambo mengine ya kutisha.
Chuna ngozi Mbozi Mbeya na Mwanza mpaka Dar washachunwa sana watu ngozi na walikua wanaonyesha mpaka kwenye magazeti

Uliyoandika yote ya kweli sio simulizi za kusadikika chunangozi walikuwepo, nyonyadamu walikuwepo, chunusi wapo, popobawa kawaulize mbagara
 
Kushukur hvyo vyote ulivyotaja kupitia sirikali ya chama cha mapinduzi vimebaki historia
 
Chuna ngozi Mbozi Mbeya na Mwanza mpaka Dar washachunwa sana watu ngozi na walikua wanaonyesha mpaka kwenye magazeti

Uliyoandika yote ya kweli sio simulizi za kusadikika chunangozi walikuwepo, nyonyadamu walikuwepo, chunusi wapo, popobawa kawaulize mbagara
Chai
 
Nimesimuliwa na mzee mmoja anasema kipindi cha Nyerere walikuwa wanapanga foleni kununua sukari tena wanawekewa mpaka kiwango cha mwisho kununua.
20240421_194629.jpg
 
Wakuu bado hatujafika tunapotaka ila kiukweli kuna hatua tumepiga kwa miaka hii. Haya ni mambo ambayo yalikuwepo ndani tu ya miaka isìyozidi 30.

1. Shule za sekondari zilikuwa chache mno kiasi kwamba kwenye darasa la wanafunzi 60 wanaopata nafasi ya kujiunga kidato cha kwanza labda ni watano tu. Watoto wengi hawakuweza kutimiza ndoto zao kwasababu hiyo. Serikali ilikuwa maskini sana.

2. Nchi ilikuwa na barabara mbovu mno. Barabara za lami zilikuwa za kuhesabu. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 ili ilibidi watu wa kanda ya ziwa waliokuwa wakitokea Arusha na Kilimanjaro wawe wanazungukia Kenya kwenye barabara nzuri badala ya kupitia njia fupi ya Singida. Yalikuwa ni mateso. Sehemu ya kusafiri masaa mawili tulikuwa tunatumia masaa matano hadi sita.

Safari ya Dar - Mtwara ilikuwa funga kazi. Songea - Mbamba Bay nayo ilikuwa safari ya roho mkononi.

3. Miaka ya nyuma ustaarabu ulikuwa mdogo sana hasa kwenye mikusanyiko na vyombo vya usafiri. Ilikuwa kawaida mtu kuvuta sigara kwenye kundi la watu au kwenye basi. Hata customer care zilikuwa za hovyo.

4. Umaskini ulikuwa umekithiri hasa maeneo ya vijijini. Kuvaa nguo zenye viraka ilikuwa jambo la kawaida sana. Siku hizi hiyo hali imepungua. Pia hata yale mambo ya kula pilau hadi kuwe na sikukuu yamepungua. Sasa hivi watu wanafakamia pilau na biriani siku ya kawaida tu.

5. Kulikuwa na taharuki sana kwa mambo yaliyokuwa hayaeleweki... wanyonya damu, popobawa, chunusi na mambo mengine ya kutisha.
Bado nchi ni masikini sana na ujinga umetamalaki! Tofauti ni kuwa, enzi hizo Serikali iliweka ngumu, hakuna kukopeshwa na taasisi au nchi za nje. Si wananchi, si viongozi, wote walikuwa hoi. Kinachotokea sasa ni mikopo kila upande. Hivyo kama nchi, bado hatujaweza kujihudumia, ila kwa sasa wanasiasa wanajihudumia kwa mikopo inayolipwa na walalahoi.
 
Bado nchi ni masikini sana na ujinga umetamalaki! Tofauti ni kuwa, enzi hizo Serikali iliweka ngumu, hakuna kukopeshwa na taasisi au nchi za nje. Si wananchi, si viongozi, wote walikuwa hoi. Kinachotokea sasa ni mikopo kila upande. Hivyo kama nchi, bado hatujaweza kujihudumia, ila kwa sasa wanasiasa wanajihudumia kwa mikopo inayolipwa na walalahoi.
Unabisha upuuzi
 
Wakuu bado hatujafika tunapotaka ila kiukweli kuna hatua tumepiga kwa miaka hii. Haya ni mambo ambayo yalikuwepo ndani tu ya miaka isìyozidi 30.

1. Shule za sekondari zilikuwa chache mno kiasi kwamba kwenye darasa la wanafunzi 60 wanaopata nafasi ya kujiunga kidato cha kwanza labda ni watano tu. Watoto wengi hawakuweza kutimiza ndoto zao kwasababu hiyo. Serikali ilikuwa maskini sana.

2. Nchi ilikuwa na barabara mbovu mno. Barabara za lami zilikuwa za kuhesabu. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 ili ilibidi watu wa kanda ya ziwa waliokuwa wakitokea Arusha na Kilimanjaro wawe wanazungukia Kenya kwenye barabara nzuri badala ya kupitia njia fupi ya Singida. Yalikuwa ni mateso. Sehemu ya kusafiri masaa mawili tulikuwa tunatumia masaa matano hadi sita.

Safari ya Dar - Mtwara ilikuwa funga kazi. Songea - Mbamba Bay nayo ilikuwa safari ya roho mkononi.

3. Miaka ya nyuma ustaarabu ulikuwa mdogo sana hasa kwenye mikusanyiko na vyombo vya usafiri. Ilikuwa kawaida mtu kuvuta sigara kwenye kundi la watu au kwenye basi. Hata customer care zilikuwa za hovyo.

4. Umaskini ulikuwa umekithiri hasa maeneo ya vijijini. Kuvaa nguo zenye viraka ilikuwa jambo la kawaida sana. Siku hizi hiyo hali imepungua. Pia hata yale mambo ya kula pilau hadi kuwe na sikukuu yamepungua. Sasa hivi watu wanafakamia pilau na biriani siku ya kawaida tu.

5. Kulikuwa na taharuki sana kwa mambo yaliyokuwa hayaeleweki... wanyonya damu, popobawa, chunusi na mambo mengine ya kutisha.
Nikikumbuka enzi hizo nikiwa kijana miaka ya 70 huko ukitaka kununua nyama lazima uombe kibali kwa mjumbe ama mwenyekiti.
 
Wakati ule unaposema tulikuwa masikini, bidhaa nyingi tulikuwa tunatengeza wenyewe kuanzia majembe, panga, fyekeo, machepe lakini Sasa hivi Kila kitu tunaagiza nje.
Licha ya yote hayo enzi hizo hatukuwahi kunya huku tumekaa just imagine.
 
Wakati ule unaposema tulikuwa masikini, bidhaa nyingi tulikuwa tunatengeza wenyewe kuanzia majembe, panga, fyekeo, machepe lakini Sasa hivi Kila kitu tunaagiza nje.
Tungeendelea na ugunduzi wetu ule, sasa hivi tungekua mbaliii
Vitu kama toothstick sisi sio wa kuagiza nje! wakati tuna miti kibwenaaa
 
Back
Top Bottom