Hakuna kitu kama hicho ndugu. Hao wenye shule ya upili ndo walikuja na sera za kijinga hadi viwanda vikafa. Na kama walikuwa vizuri ilikuwaje kwa miaka yote aliyotawala Nyerere kuwe na kilometa za lami zisizozidi 5000 tu? Daraja la mkapa kwenda kusini kalijenga Mkapa. Wazee wa zamani wangekaa tu kimya kulinda heshima zao. Wao ndo waliosaini mikataba ya hovyo sana inayoligharimu taifa hadi leo hii.
[/
Hakuna kitu kama hicho ndugu. Hao wenye shule ya upili ndo walikuja na sera za kijinga hadi viwanda vikafa. Na kama walikuwa vizuri ilikuwaje kwa miaka yote aliyotawala Nyerere kuwe na kilometa za lami zisizozidi 5000 tu? Daraja la mkapa kwenda kusini kalijenga Mkapa. Wazee wa zamani wangekaa tu kimya kulinda heshima zao. Wao ndo waliosaini mikataba ya hovyo sana inayoligharimu taifa hadi leo hii.
Hapana mikataba mibovu imeanza baada ya Nyerere kusitaafu.ardhi ikaanza kuuzwa hovyo,mikataba ya madini mibovu kama hii tu ya bandari zetu.kuhusu km Chache ni kutokana ma mapato ya kipindi hicho.kile tulichokipata kiliendana na miradi ya kipindi hicho.ufanisi ulikuwa mkubwa tofauti na sasa.kwa Sasa kiongozi anaona fahari kutembelea v8 ya milion600 kuwatembelea wanakijini ambao hawana huduma muhimu za kijamii.Sisi wazee wa zamani tulifurahia sana maisha hadi tunatamani siku zirudi nyuma miaka 60.