Nikikumbuka haya mambo ninakiri kabisa tumetoka mbali na nchi yetu ilikuwa masikini mno

Kwa rasilimali zilizopo tulipaswa kuwa mbali sana kama tuliowapa dhamana to wangekua waadilifu wakaacha madili yao tusingekua hapa tulipo tungekua mbali mnooooo!!

Lakini Kuna CCM ya vijana iliyozaliwa 1995 ule mtandao umepiga Dili sana na kulihujumu Taifa Hadi leo wameweka nasaba ya Dili ndio ujanja!ukiwa sio mwizi serikalini unaonekana mshamba au msukuma!!!

KUNA VITU VIMEFANYIKA VYA HOVYO SANA !!
 
Koma Usinikumbushe kabisa hayo mambo ya popobawa
😎😎😎😎😎😎😎🤔
 
Your browser is not able to display this video.

CCM CCM EEEEEEE CCM CCM AHHHH....CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Mkuu, kama nimekuelewa, ni kwamba kwenye mkondo mpana wa maji ni salama kuliko mwembamba.

Swali: mtu asiyejua kuogelea anaweza kusalimika akidondokea penye mkondo mpana wa maji?
 
Mwenge wa uhuru unavushwa.....🤔🤔🤔🤔🤷🏿‍♀️🤷🏿‍♀️🤷🏿‍♀️
Ingekuwaje kama ungesombwa na maji?

Mbona kama wanaimba nyimbo za kiibada vile?

Kuna maneno kama "tusaidie...", kama sijakosea.
 
Wengi hawatakuelewa
 
Ingekuwaje kama ungesombwa na maji?

Mbona kama wanaimba nyimbo za kiibada vile?

Kuna maneno kama "tusaidie...", kama sijakosea.
😂😂😂😂🤣🤣🤣Wasaidiwe wavuke maji....
 
"From a barefoot student to president" ni kitabu cha kikwete.
kimeshikilia maudhui ya uzi huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…