Nikikutana na Majaliwa aliyejinadi kufungua mlango wa ndege ya Precision namcharaza viboko kweli kweli! Watanzania ifikie pahala tutumie akili

Nikikutana na Majaliwa aliyejinadi kufungua mlango wa ndege ya Precision namcharaza viboko kweli kweli! Watanzania ifikie pahala tutumie akili

Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
Mungu akiingia Mjini kwa ajili ya kumuinua mtu wake aliyemkusudia Hakuna lisilowezekana.
Kama Mtume Petro alitoka kwenye Jela lenye mageti manne mfululizo Hadi kufika n'je bila kuvunja kokote lakini mageti yakafunguka yenyewe

Je inashindikana vipi kwa Majaliwa Mlango kumfungukia au Dirisha kuvunjika Ili aokoe hao waliokusudiwa kuokoka? Na yeye aifikie Destiny yake?
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
Hapo kwenye mlango kufunguliwa kwa ndani nasapoti 100%. Nimesafiri sana kwa ndege. Mlango unaofungwa kama ulivyo mfuniko wa deli la ice cream unafunguliwaje kwa kubamizwa???
Nilitukanwa sana hyo jana baada ya kuhoji hii story.
 
Kudanganya kwanwi alijua yanayo sasa mjia!!! Tuliza boli.. badala ya kujiuliza ndege imetokewa na nini mbele baada.. unaleta hasira.. rabishwi
 
Kaangalie jinsi mlango ulivyofunguka na siyo kunipotezea muda wangu bure
 
With my little knowledge of aircrafts , it is not possible to open the exit doors. Before take off the pilot arms the doors , decompressed the cabin. There is no outside latch to open the door. The hero should demonstrate visually how he opened the door. The door was 100% opened from inside.
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
Itandike ccm sio huyo kijana.
 
Wapumbavu ndio waliweza kumuamini huyo kinda. Ana nguvu gani ya kuvunja kioo cha ndege. Watanzania wengi wetu ni mazuzu sana.
 
Imenichukua muda sana na mpaka sasa bado siamini mlango wa Ndege vile ulivyo ikawa ni rahisi tu kwa Kasia

Lakini bado tunabaki kusema kama si kuhoji kwanini Uokoaji ukichelewa kwenye eneo la tukio kwa wenye mamlaka?
 
Namaanisha external pressure ambayo ilikuwa inasukuma mlango kwa ndani sababu internal pressure ilikuwa ndogo ndani kulikuwa na nafasi na hewa.
Nakukumbusha tu fizikia ya elimu ya upili.
BTW, aviation ni moja kati ya field zangu nyingi za kutafutia kipato na hapo Precision Air nimepitia miaka hiyo.
Acheni uongo. Pressure ilipunguaje ndani wakati pia ya ndege ilipobunjika maji yalipanda ndani kuelekea mkiani hela ikawa compressed ndani. In fact mlango ulipaswa funguka kwa nguvu zaidi. Labda kam ndio ulimhonga sio kwamba wala nini.

Narrations za watu wengi sio sahihi na pengine nae ana sifa zake ila maelezo yake alipaswa kuwa kimya apumguze maneno.


Katika uokoajia hakuna anayejua alitoka watu wanapiga na wanapiga walikufa katika uokoajia wake usiyo na utaalamu? It's possible anaweza kuwa alikuwa blockage mlangoni.

Bahati hiyo dege haikuwa katka kina kirefu kidogo. Yaani mahali ingegonga chini ila kuna kina cha kutosha kuzama ikinyonya maji. Kufungua mlango kabla ndege haijatafutiwa namna ya kukaa juu. Ingezama kabisa.
 
Acheni uongo. Pressure ilipunguaje ndani wakati pia ya ndege ilipobunjika maji yalipanda ndani kuelekea mkiani hela ikawa compressed ndani. In fact mlango ulipaswa funguka kwa nguvu zaidi. Labda kam ndio ulimhonga sio kwamba wala nini.

Narrations za watu wengi sio sahihi na pengine nae ana sifa zake ila maelezo yake alipaswa kuwa kimya apumguze maneno.


Katika uokoajia hakuna anayejua alitoka watu wanapiga na wanapiga walikufa katika uokoajia wake usiyo na utaalamu? It's possible anaweza kuwa alikuwa blockage mlangoni.

Bahati hiyo dege haikuwa katka kina kirefu kidogo. Yaani mahali ingegonga chini ila kuna kina cha kutosha kuzama ikinyonya maji. Kufungua mlango kabla ndege haijatafutiwa namna ya kukaa juu. Ingezama kabisa.
Bado kulikuwa na hewa ndio maana watu hawakufa wote wakati zoezi lilichukua muda mrefu.
Una shauri akae kimya kwa sababu wewe hutaki kukubali majibu anayotoa baada ya kuulizwa na waaandishi wa habari?
Unafikiri yeye alienda kuomba press aelezee jinsi alivyo waokoa watu bila kufuatwa na waandishi?
Unataka akae kimya sababu wewe hutaki kusikia anachosema? Nani amekuambia sisi tunataka kusikia/kusoma unachofikiri wewe?
Wewe, sisi, na waandishi hatukuwepo kwenye tukio, aliyekuwepo na kuokoa anayo haki ya kuelezea kilichotokea au alicho ona eneo husika.
 
Mtoa Uzi acha makasiliko alikua kapangiwa kufanikia wa namna hiyo angeokolewa ndugu yako usingesema hayo yote
 
Back
Top Bottom