Nikikutana na Majaliwa aliyejinadi kufungua mlango wa ndege ya Precision namcharaza viboko kweli kweli! Watanzania ifikie pahala tutumie akili

Nikikutana na Majaliwa aliyejinadi kufungua mlango wa ndege ya Precision namcharaza viboko kweli kweli! Watanzania ifikie pahala tutumie akili

Mwenye Enzi Mungu tuhurumie nchi yetu Tanzania [emoji1241][emoji22]
 
Unawalaumu wanaomwamini Majaliwa wakati wewe unamwamini mboye wa chadede na unataka tukuone upo sawa kabisa.

Dunia ulinwengu wa fujo.
 
kwenye kuufungua mlango hili suala lipo wazi nimemsikiliza Auditor aliyepona kwenye ajali Nickson Jackson anaeleza Kwa umakini bila kupepesa Wala kuacha kitu , anasema wazi aliyefungua mlango ni muudumu. Hili sio la kujadili Sana
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
ACHA WIVU..
 
kulikuwa na teamwork na wote ni mashujaa,huwezi sema kijana kadanganya,adanganye ili iweje kwa mfano🤔physics sio solution kwa matatizo yote,kuna Mungu!Alafu punguza matusi alaa
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
Acha hasira bro!mbona kama uko na wivu na majaliwa🤣
 
Kuna vitu viwili navyojuwa Mimi inalazimu kuokolewa tu ndio uwe manusura...navyo ni maji na moto!!!mlango utajiloki tu...hizo ni Ilimu ya tafakuri ya kadari Kwa tunaoelewa hatumkatalii Majaliwa
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
Acha wivu
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
Bulaza punguza nyivu
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
Kwa hiyo na wewe unataka kutuaminisha kwamba kile kioo ni kigumu kuliko chuma, sivyo? Ndege imekita chini, sehemu ya mbele imepinda( chuma) ila kioo hakijavunjika( kigumu kuliko chuma!)... tafiti vizuri
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!
Tumempa ulinzi, jaribu kumchapa viboko uone.
 
Unatumia nadharia kuhalalisha uhalisia

1: Hiyo fizikia ya mlango wa ndege ni ipi.

2: Unasema kulitokea kishindo, walionusurika hatukusikia yeyote akisema kulitokea kishindo

3: Unasema kioo cha ndege hakiwezi kuvunjika, hakuna aliyesema kwamba alikivunja na ikashindikana.
2. Kwahiyo hakukuwa na kishindo!?
Hii nchi ina wajuaji wengi mno.
 
Kwa jinsi nilivyoelewa mimi, walioko ndani walifungua mlango lakini hawakuweza kuufungua wote ili watoke kutokana na maji kuusukuma mlango, hivyo Majaliwa alimalizia kuufungua kwa nje kwa kutumia kasia yaani kuingiza kasia na kuubetua mlango ufunguke

Kuhusu Rubani hata Mkuu wa Mkoa alithibitisha kwenye maelezo yake kuwa watu walioko uwanja wa ndege walikua wakiwasiliana na Rubani.
 
Naam, imefikia pahala watanzania tunajitumbukiza kwenye vijistori vya hovyo hovyo na kuvinadi pasipo kufanya utafiti wa kina. Hili mimi naliona kama tatizo kubwa sana kwetu kama watanzania.

Hivi karibuni ameibuka kijana mmoja ambaye alidai kuwa alifungua mlango wa ndege iliyopata ajali huko Kagera ya PW na kufanya abiria 23 watoke nje. Anadai kuwa mlango huo aliufungua kwa kuugonga na kasia la mti kutokea nje ndipo ukafunguka na mbali zaidi akadai kuwa alienda hadi upande wa Rubani na kufanya naye mawasiliano.

Sasa mimi nasema hivi, huu ni utapeli na ujinga wa hali ya juu kuuamini. Kwanza kijana yule hakuufungua mlango kwa njia anayodai! Kwangu mimi hilo hapana! Mlango ulifunguliwa kutokea ndani kwa mujibu wa fizikia ya ndege! Hilo kwenye mjadala nalifunga.

La pili ni kuwa upo uwezekanano mkubwa wa wale abiria pamoja na rubani waliokwama eneo la mbele ambapo ndege ilijikunja kutokana na kujibamiza kwa nguvu kwenye ardhi waliaga dunia muda mfupi sana baada ya dhoruba hiyo. Kishindo kilichoifanya ndege ikunjike hakikuwa kishindo cha kawaida hata kidogo. Yani kwa muonekano ule ndege ilipata dhoruba kali eneo lile na kwa sisi tunaopanda ndege kila uchwao tunajua muitikio wake ulikuwaje.

Kingine ni yule kijana aliyedai kuwa alipata kishoka cha kuvunja kioo ila akazuiwa kufanya hivyo. Emb acheni masihara nyie ya kuamini kila hadithi. Mnajua unene wa kile kioo??? Kama ndege iliweza kujibamiza vile hadi body ikakunjika kuelelekea chini na kioo kikabakia vile vile, je angeweza kukivunja kwa kishoka??
Munaoamini hii story na kutembea nayo kichwani "Wapumbavu wakubwa" Na siku nikikutana na yule kijana kweli atakula viboko kwa kuwadanganya watanzania wajinga!

Ongeza hapo tusi langu moja
 
Kijana majaliwa ni wa hovyo nikikutana naye tena ni wa Kupigwa viboko na kufundishwa maadili anaongopea nchi
Tulichotaka ni watu waokolewe. Sasa wewe na visomo vyenu mlitaka watu wafie ndani ili ujue ulichojifunza shuleni ndio sawa.
Mungu anahitaji watu wa kufanya nao kazi ili wafike pale walipokusudiwa.
 
Back
Top Bottom