Nikila chakula kidogo tu tumbo huwa linajaa, nini tatizo??

Nikila chakula kidogo tu tumbo huwa linajaa, nini tatizo??

mkolaj

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2014
Posts
3,023
Reaction score
1,089
Ndugu wanaJf natumaini wote mko na afya njema, nirudi kwenye mada,
Nina tatizo ambalo limekuwa linanisumbuwa Kwa muda mrefu, Kila nikila chakula kidogo tu tumbo huwa linajaa ni kama vile nimekula chakula kingi. Pia inachukua muda mrefu hadi nianze kuhisi njaa. Naomba mwenye kujua hili tatizo aniambie ili nilitafutie ufumbuzi.
Asanteni
 
Ndugu wanaJf natumaini wote mko na afya njema, nirudi kwenye mada,
Nina tatizo ambalo limekuwa linanisumbuwa Kwa muda mrefu, Kila nikila chakula kidogo tu tumbo huwa linajaa ni kama vile nimekula chakula kingi. Pia inachukua muda mrefu hadi nianze kuhisi njaa. Naomba mwenye kujua hili tatizo aniambie ili nilitafutie ufumbuzi.
Asanteni
Nenda hospital. Kna sababu nyingi sana na hakuna atakayeweza kujua bila kukufanyia diagnosis, yaani dakta. Wakati mwingine hata uvimbe tumboni unaweza kuleta shida kama hiyo. Sababu ni nyingi mno.
 
Nenda hospital. Kna sababu nyingi sana na hakuna atakayeweza kujua bila kukufanyia diagnosis, yaani dakta. Wakati mwingine hata uvimbe tumboni unaweza kuleta shida kama hiyo. Sababu ni nyingi mno.
Sawa, nakushukuru Kwa ushauri wako
 
Hapo bwana mkubwa unawezekana una vidonda vya tumbo katika ile dalili ya tumbo kujaa gesi hivi au hakuna hakuna utakua na minyoo mkuu meza kwanza dawa ya minyoo inaitwa zentel nafikiri
 
Back
Top Bottom