Nikimuona mwili unatetemeka

Nikimuona mwili unatetemeka

hahahahhahahheheheheheeeeeeeeeeeeiyaaaaaa duuuu yaani unaona tu comment tayari ushazimika sasa ukimuona live itakuwaje hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

jf kiboko


Achana na yule aliyeniomba Vocha wakati niko hoi kitandani naumwa .

Niko na huyu bidada moyo wangu ameshaukamata.

Yna4 kwa nini nikufiche mama kila nionapo Coment yako kamoyo kanafanya pa.

Pokea zangu salamu Mr zero IQ nimenasa kwako kama inzi basi wacha nifie kwenye kidonda chako.


Popote mumuonapo Yna4 naomba mumfikishie salamu zangu .
 
Back
Top Bottom