wazirib28
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 460
- 275
Wakuu... mara kadhaa huwa napitia matatizo fulan na huwa natamani hata kulewa ili angalau niyasahau kwa muda mfupi. Lakini sijui ni tatizo au ni faida... kila nikinywa pombe kiasi chochote kile lakini silewi. Kuna siku nilikunywa konyagi mbili lkn sikulewa hata kidogo. Wataalamu wa haya masuala naomba mnisaidie kujua kama hili ni tatizo kiafya au ni faida kiafya. Nawasilisha.