Nikioa na kufanikiwa Ex -atakuja kuharibu ndoa na maisha yangu

Nikioa na kufanikiwa Ex -atakuja kuharibu ndoa na maisha yangu

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Habari za mda huu wakuu

Hili ni swala ambalo nimekuwa nikiliwaza Sana after breakup ila Kwa sasa naliona dhahiri kabisa

Ni mwaka mmoja na miezi Toka penzi liishe nilivyooachwa Yani ya uyu mdada wa kijita sababu kubwa ilikuwa haoni future kati yetu in short (LACK OF CAPITAL)

Nikakubari nikakata mazoea na mawasiliano for a while akaanza kuwa ananitafuta Tafuta na kuniuliza story za kunichimba chimba

Mara naomba pesa kama ninayo Nampa kilichokuja kunipa hitimisho Leo ni juzi kati nilionana na ndugu yake wa kiume sasa kafika uko sjui wameongea nn na dada yake

Dada mtu kanipigia simu nikaanza kuitwa majina ya kimapenzi mume nk. Nikabaki nashangaa tu mara ivi mara nimepata salamu zako nitakuja kukusalimia in fact sijamsalimia Wala sikumuongelea tulivyokutana na nduguye nilibaki nashangaa tu

Kilichokuja kunishtusha kujua yale alikuwa haongei masikhara ni aliposema HUWA NAKUOMBEA NA KUSUBIRIA UPATE PESA TU UJE UNIOE .

Hicho kitu kilichonishangaza Sana mbona huyu mtu haheshimu mipaka what if ningekuwa na mpenzi wangu apo si case na KUHARIBU mahusiano

Wanawake mkiamua amueni msiwe nusu nusu
 
Je unafahamu faida za kunywa maji asubuh kabla hujala chochote!?

Zipo faida nyingi Sana moja wapo ni kuchuja sumu na takataka ulizokua nazo Mwilini siku iliopita, wakati wa Usiku takataka hizo hujikusanya.

Hivyo kunywa maji asubuh kabla hujala chochote kunasaidia kuupa mwili nguvu, kuondoa sumu Mwilini na kusaidia kupata choo kilaini.

Kunywa maji ya vuguvugu asubuh walau glass moja kabla hujala chochote kwaajili ya Afya yako.

Utakuja nishukuru baadae.
 
Je unafahamu faida za kunywa maji asubuh kabla hujala chochote!?
Zipo faida nyingi Sana moja wapo ni kuchuja sumu na takataka ulizokua nazo Mwilini siku iliopita, wakati wa Usiku takataka hizo hujikusanya...
Hii comment mbona haiendani na mada
 
Mara naomba pesa kama ninayo Nampa kilichokuja kunipa hitimisho Leo ni juzi kati nilionana na ndugu yake wa kiume sasa kafika uko sjui wameongea nn na dada yake
Mkuu, unajitekenya halafu unacheka mwenyewe.

Unampa hela za kazi gani sasa? Ili umuonyeshe kuwa alikosea kukuacha? Nini unataka ku-prove kwake?

Hapo ambaye hana msimamo na yupo nusunusu ni wewe. Leave her alone.

Be a Man, mind your own f*cking Business. focus na issues za Msingi.
 
Mkuu, unajitekenya halafu unacheka mwenyewe.

Unampa hela za kazi gani sasa? Ili umuonyeshe kuwa alikosea kukuacha? Nini unataka ku-prove kwake?

Hapo ambaye hana msimamo na yupo nusunusu ni wewe. Leave her alone.

Be a Man, mind your own f*cking Business. focus na issues za Msingi.
Iyo itakuwa chuki Kuna aina ya maisha nimeyapitia mtu yeyote akiniomba naguswa kumsaidi Kiubinadamu
 
Mkuu, unajitekenya halafu unacheka mwenyewe.

Unampa hela za kazi gani sasa? Ili umuonyeshe kuwa alikosea kukuacha? Nini unataka ku-prove kwake?

Hapo ambaye hana msimamo na yupo nusunusu ni wewe. Leave her alone.

Be a Man, mind your own f*cking Business. focus na issues za Msingi.
I'm always minding my own business but I do pay for attention
 
Habari za mda huu wakuu

Hili ni swala ambalo nimekuwa nikiliwaza Sana after breakup ila Kwa sasa naliona dhahiri kabisa

Ni mwaka mmoja na miezi Toka penzi liishe nilivyooachwa Yani ya uyu mdada wa kijita sababu kubwa ilikuwa haoni future kati yetu in short (LACK OF CAPITAL)

Nikakubari nikakata mazoea na mawasiliano for a while akaanza kuwa ananitafuta Tafuta na kuniuliza story za kunichimba chimba

Mara naomba pesa kama ninayo Nampa kilichokuja kunipa hitimisho Leo ni juzi kati nilionana na ndugu yake wa kiume sasa kafika uko sjui wameongea nn na dada yake

Dada mtu kanipigia simu nikaanza kuitwa majina ya kimapenzi mume nk. Nikabaki nashangaa tu mara ivi mara nimepata salamu zako nitakuja kukusalimia in fact sijamsalimia Wala sikumuongelea tulivyokutana na nduguye nilibaki nashangaa tu

Kilichokuja kunishtusha kujua yale alikuwa haongei masikhara ni aliposema HUWA NAKUOMBEA NA KUSUBIRIA UPATE PESA TU UJE UNIOE .

Hicho kitu kilichonishangaza Sana mbona huyu mtu haheshimu mipaka what if ningekuwa na mpenzi wangu apo si case na KUHARIBU mahusiano

Wanawake mkiamua amueni msiwe nusu nusu
Yaani anakuacha, halaf ukipata pesa arudi, hizi ni akili gani zi kijanga kabisa?
 
Hizi kesi mbona ZIPO... enewei kupanga n kuchagua...
Ngoja wakubwa waje kushauri nipime Maji...
 
Habari za mda huu wakuu

Hili ni swala ambalo nimekuwa nikiliwaza Sana after breakup ila Kwa sasa naliona dhahiri kabisa

Ni mwaka mmoja na miezi Toka penzi liishe nilivyooachwa Yani ya uyu mdada wa kijita sababu kubwa ilikuwa haoni future kati yetu in short (LACK OF CAPITAL)

Nikakubari nikakata mazoea na mawasiliano for a while akaanza kuwa ananitafuta Tafuta na kuniuliza story za kunichimba chimba

Mara naomba pesa kama ninayo Nampa kilichokuja kunipa hitimisho Leo ni juzi kati nilionana na ndugu yake wa kiume sasa kafika uko sjui wameongea nn na dada yake

Dada mtu kanipigia simu nikaanza kuitwa majina ya kimapenzi mume nk. Nikabaki nashangaa tu mara ivi mara nimepata salamu zako nitakuja kukusalimia in fact sijamsalimia Wala sikumuongelea tulivyokutana na nduguye nilibaki nashangaa tu

Kilichokuja kunishtusha kujua yale alikuwa haongei masikhara ni aliposema HUWA NAKUOMBEA NA KUSUBIRIA UPATE PESA TU UJE UNIOE .

Hicho kitu kilichonishangaza Sana mbona huyu mtu haheshimu mipaka what if ningekuwa na mpenzi wangu apo si case na KUHARIBU mahusiano

Wanawake mkiamua amueni msiwe nusu nusu
Mkuu mbona bado unampenda sana huyo bidada. Upe moyo kitu unataka bhana.
 
Mkuu, unajitekenya halafu unacheka mwenyewe.

Unampa hela za kazi gani sasa? Ili umuonyeshe kuwa alikosea kukuacha? Nini unataka ku-prove kwake?

Hapo ambaye hana msimamo na yupo nusunusu ni wewe. Leave her alone.

Be a Man, mind your own f*cking Business. focus na issues za Msingi.
Jamaa yetu bado anampenda dada tena sana.
 
Back
Top Bottom