Nikioa na kufanikiwa Ex -atakuja kuharibu ndoa na maisha yangu

Nikioa na kufanikiwa Ex -atakuja kuharibu ndoa na maisha yangu

Habari za mda huu wakuu

Hili ni swala ambalo nimekuwa nikiliwaza Sana after breakup ila Kwa sasa naliona dhahiri kabisa

Ni mwaka mmoja na miezi Toka penzi liishe nilivyooachwa Yani ya uyu mdada wa kijita sababu kubwa ilikuwa haoni future kati yetu in short (LACK OF CAPITAL)

Nikakubari nikakata mazoea na mawasiliano for a while akaanza kuwa ananitafuta Tafuta na kuniuliza story za kunichimba chimba

Mara naomba pesa kama ninayo Nampa kilichokuja kunipa hitimisho Leo ni juzi kati nilionana na ndugu yake wa kiume sasa kafika uko sjui wameongea nn na dada yake

Dada mtu kanipigia simu nikaanza kuitwa majina ya kimapenzi mume nk. Nikabaki nashangaa tu mara ivi mara nimepata salamu zako nitakuja kukusalimia in fact sijamsalimia Wala sikumuongelea tulivyokutana na nduguye nilibaki nashangaa tu

Kilichokuja kunishtusha kujua yale alikuwa haongei masikhara ni aliposema HUWA NAKUOMBEA NA KUSUBIRIA UPATE PESA TU UJE UNIOE .

Hicho kitu kilichonishangaza Sana mbona huyu mtu haheshimu mipaka what if ningekuwa na mpenzi wangu apo si case na KUHARIBU mahusiano

Wanawake mkiamua amueni msiwe nusu nusu
Baada ya kumwambia ukweli ukabaki unashangaa. Ukimya maana yake umekunali
 
Kiufupi wewe ni TEGESHA LAKE!
Nafahamu sasa unazani nitaanza kubishana nae mkuu
Maturity it's kujua Kila kitu na kustay back ku watch kinachoendelea
 
Baada ya kumwambia ukweli ukabaki unashangaa. Ukimya maana yake umekunali
Siamini kwenye kubishana na mwanamke


She will https://jamii.app/JFUserGuide herself on her own
 
Sio kubishana ni kumpa msimamo. Sikia we binti. Uliondoka na mimi nikabaki na maisha yangu. Hayo mapenzi yameisha kitambo nna mtu. Fullstop. We anakuchana kabsa tafta ela ndo ukamuoe
Najua siwezi kumuoa ila tu sio vizuri kureact in every situation
 
Mshkaji we unajitakia mwenyewe kula buyu, usipokee simu zake kama Marioo anavyosema, usjibu text zake, hakuna anachoweza kukufanya kama utakuwa seriously na mambo yako, we ukijiweka karibu nae hutoboi utaishia kwenye mikono hake wanawake hawakosagi mbinu mkuu.

Kila shujaa kwenye vitabu vya dini anguko lake lilisababishwa na mwanamke be care usifanye masikhara na maisha mkuu.
 
Mshkaji we unajitakia mwenyewe kula buyu, usipokee simu zake kama Marioo anavyosema, usjibu text zake, hakuna anachoweza kukufanya kama utakuwa seriously na mambo yako, we ukijiweka karibu nae hutoboi utaishia kwenye mikono hake wanawake hawakosagi mbinu mkuu.

Kila shujaa kwenye vitabu vya dini anguko lake lilisababishwa na mwanamke be care usifanye masikhara na maisha mkuu.
Najua mno mkuu ila ninatumia akili zangu vizuri mno siwezi kuwa trapped
 
Sm
Habari za mda huu wakuu

Hili ni swala ambalo nimekuwa nikiliwaza Sana after breakup ila Kwa sasa naliona dhahiri kabisa

Ni mwaka mmoja na miezi Toka penzi liishe nilivyooachwa Yani ya uyu mdada wa kijita sababu kubwa ilikuwa haoni future kati yetu in short (LACK OF CAPITAL)

Nikakubari nikakata mazoea na mawasiliano for a while akaanza kuwa ananitafuta Tafuta na kuniuliza story za kunichimba chimba

Mara naomba pesa kama ninayo Nampa kilichokuja kunipa hitimisho Leo ni juzi kati nilionana na ndugu yake wa kiume sasa kafika uko sjui wameongea nn na dada yake

Dada mtu kanipigia simu nikaanza kuitwa majina ya kimapenzi mume nk. Nikabaki nashangaa tu mara ivi mara nimepata salamu zako nitakuja kukusalimia in fact sijamsalimia Wala sikumuongelea tulivyokutana na nduguye nilibaki nashangaa tu

Kilichokuja kunishtusha kujua yale alikuwa haongei masikhara ni aliposema HUWA NAKUOMBEA NA KUSUBIRIA UPATE PESA TU UJE UNIOE .

Hicho kitu kilichonishangaza Sana mbona huyu mtu haheshimu mipaka what if ningekuwa na mpenzi wangu apo si case na KUHARIBU mahusiano

Wanawake mkiamua amueni msiwe nusu nusu
Ameondoka kwa nyodo,Amezunguka huko na alikoenda kapigwa buyu anataka kurudi kwako boya!... ngoja aje kukupa Ukimwi akili ikukae sawa.
 
Asa hawezi kuwa trapped why you’re here asking for our opinions juu ya hilo suala lako???
Sija ask popote nimeeleza tu kuwa hiki ndicho kitakuwa hakuna nilipo ask help of opinions
 
Back
Top Bottom