Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huyo wifi amekeketwa?Mnavyofanya iyo ni tabia mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo wifi amekeketwa?Mnavyofanya iyo ni tabia mbaya sana
Baada ya kumwambia ukweli ukabaki unashangaa. Ukimya maana yake umekunaliHabari za mda huu wakuu
Hili ni swala ambalo nimekuwa nikiliwaza Sana after breakup ila Kwa sasa naliona dhahiri kabisa
Ni mwaka mmoja na miezi Toka penzi liishe nilivyooachwa Yani ya uyu mdada wa kijita sababu kubwa ilikuwa haoni future kati yetu in short (LACK OF CAPITAL)
Nikakubari nikakata mazoea na mawasiliano for a while akaanza kuwa ananitafuta Tafuta na kuniuliza story za kunichimba chimba
Mara naomba pesa kama ninayo Nampa kilichokuja kunipa hitimisho Leo ni juzi kati nilionana na ndugu yake wa kiume sasa kafika uko sjui wameongea nn na dada yake
Dada mtu kanipigia simu nikaanza kuitwa majina ya kimapenzi mume nk. Nikabaki nashangaa tu mara ivi mara nimepata salamu zako nitakuja kukusalimia in fact sijamsalimia Wala sikumuongelea tulivyokutana na nduguye nilibaki nashangaa tu
Kilichokuja kunishtusha kujua yale alikuwa haongei masikhara ni aliposema HUWA NAKUOMBEA NA KUSUBIRIA UPATE PESA TU UJE UNIOE .
Hicho kitu kilichonishangaza Sana mbona huyu mtu haheshimu mipaka what if ningekuwa na mpenzi wangu apo si case na KUHARIBU mahusiano
Wanawake mkiamua amueni msiwe nusu nusu
Sio kubishana ni kumpa msimamo. Sikia we binti. Uliondoka na mimi nikabaki na maisha yangu. Hayo mapenzi yameisha kitambo nna mtu. Fullstop. We anakuchana kabsa tafta ela ndo ukamuoeSiamini kwenye kubishana na mwanamke
She will JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala herself on her own
Najua siwezi kumuoa ila tu sio vizuri kureact in every situationSio kubishana ni kumpa msimamo. Sikia we binti. Uliondoka na mimi nikabaki na maisha yangu. Hayo mapenzi yameisha kitambo nna mtu. Fullstop. We anakuchana kabsa tafta ela ndo ukamuoe
Ukichekea nyani utavuna mabua. Au unaenjoy anavyo flirt na weweNajua siwezi kumuoa ila tu sio vizuri kureact in every situation
AtotoHatutaki.
Najua mno mkuu ila ninatumia akili zangu vizuri mno siwezi kuwa trappedMshkaji we unajitakia mwenyewe kula buyu, usipokee simu zake kama Marioo anavyosema, usjibu text zake, hakuna anachoweza kukufanya kama utakuwa seriously na mambo yako, we ukijiweka karibu nae hutoboi utaishia kwenye mikono hake wanawake hawakosagi mbinu mkuu.
Kila shujaa kwenye vitabu vya dini anguko lake lilisababishwa na mwanamke be care usifanye masikhara na maisha mkuu.
Asa hawezi kuwa trapped why you’re here asking for our opinions juu ya hilo suala lako???Najua mno mkuu ila ninatumia akili zangu vizuri mno siwezi kuwa trapped
Ameondoka kwa nyodo,Amezunguka huko na alikoenda kapigwa buyu anataka kurudi kwako boya!... ngoja aje kukupa Ukimwi akili ikukae sawa.Habari za mda huu wakuu
Hili ni swala ambalo nimekuwa nikiliwaza Sana after breakup ila Kwa sasa naliona dhahiri kabisa
Ni mwaka mmoja na miezi Toka penzi liishe nilivyooachwa Yani ya uyu mdada wa kijita sababu kubwa ilikuwa haoni future kati yetu in short (LACK OF CAPITAL)
Nikakubari nikakata mazoea na mawasiliano for a while akaanza kuwa ananitafuta Tafuta na kuniuliza story za kunichimba chimba
Mara naomba pesa kama ninayo Nampa kilichokuja kunipa hitimisho Leo ni juzi kati nilionana na ndugu yake wa kiume sasa kafika uko sjui wameongea nn na dada yake
Dada mtu kanipigia simu nikaanza kuitwa majina ya kimapenzi mume nk. Nikabaki nashangaa tu mara ivi mara nimepata salamu zako nitakuja kukusalimia in fact sijamsalimia Wala sikumuongelea tulivyokutana na nduguye nilibaki nashangaa tu
Kilichokuja kunishtusha kujua yale alikuwa haongei masikhara ni aliposema HUWA NAKUOMBEA NA KUSUBIRIA UPATE PESA TU UJE UNIOE .
Hicho kitu kilichonishangaza Sana mbona huyu mtu haheshimu mipaka what if ningekuwa na mpenzi wangu apo si case na KUHARIBU mahusiano
Wanawake mkiamua amueni msiwe nusu nusu
Hivyo unafikiria wewe na mimi, sio wanawake. Au huyo mwanamkeNamuheshimu kama binadamu sioni sababu ya kumchukia