Nikiona ajali hii, mengi najifunza

Yupo kutoa daaaaawa [emoji1787]

Anatuzuga na habari za Sauli
 
Pana gari ilijifinyanga kama hiyo milima ya Chirundu na wote walitoka salama Mungu ndio mpangaji wa kila kitu hiyo gari inavyoonekana iligongwa kwa nyuma na gari kubwa harafu ikiwa kwenye mwendo ikapinduka pinduka mara kadhaa...
 
Hapo mtoto alifunga mkanda, baba mtu hajafunga mkanda ndio maana akawahi kuisha.
 
Kuran nacho ni kitabu cha Mungu au uganga! Kuna tofauti kwani.

Naomba msaada.
 
Mtoto alifungwa Belt Baba akasahau ni hicho tu.
 
Sio hao. wakti wa Mtume kulikuwa na makafiri wakubwa walikuwa na akili hizo hizo, lkn siku ya siku ndio wakawa wanapita kuwaambia makafiri waliobaki kuikubali Quran
Na makafiri wenyewe mlioikubali Quran ndiyo nyinyi kima Malaria 2
 
matukio kama haya ya kunusurika yanatumika na wengi kama uthibitisho wa uwepo wa mungu

ni sawa

lakini kwangu naona walakini
Hajiulizi matukio kama school bus kuua watoto kama wote, achilia mbali bodaboda. Huu ni uthibitisho dhaifu kupita kiwango, hajui mimba ngapi hutolewa na zinafanikiwa? Mungu ni zaidi ya hizo bible na Qur'an.
 
Umbo lake dogo ndio lilimuokoa asipate madhara makubwa!!!
 
Mtoto ana umbo dogo nivigumu kufikiwa na mgongano wa ajari........
Upo sahihi. Nilitaka kuuliza umri wa huyo mtoto.

Ni kawaida kabisa kwa watoto wadogo mara nyingi ambao hata hawawezi kutembea kukuta wamenusurika kwenye ajali kubwa.
 
RIP.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwapo, ajali isingewezekana kuwapo popote.

Kuwapo kwa ajali ni ushahidi huyo Mungu hayupo.
Na hata kama yupo hawezi kukubali kufanywa kuwa bidhaa ya kuuzwa hovyo hovyo kama anavyofanywa kuwa na hizi dini.
 
Mikwara tuu
 
Juzi juzi tu like 2 weeks, kulitokea ajali ya bajaji kugongwa na gari IST dereva na abiria wake walifariki, wamepishana kama masaa mawili tu. Kwenye bajaji kulikuwepo mtoto wa kike wa huyo dereva wa bajaji ana miaka 4....kapona hajaumia!
Ila saa nyingine tunatakiwa tugawqne majukumu. Wapo madereva wazuri tu kazibyao ni kuendesha tajir tafuta dereva akuendeshe mpakq yendako unlike basi
 
Sauli ni kama kuku alidonoa maindi ya kuishia mwaka huu!!?? Maaana inafikirisha sana ni kama alijua hawezi toboa mwaka huu ndo maana akauza polo zake kwa katarama na hakutaka kureplace zingine yani kwa ufupi hakuwa serious na biashara yake tena ya mabasi wakati ndo yalikuwa kwenye peak
 
Mungu ndie hakimu wa maisha yetu.Hutuvuna wakati anaotaka.
Jina lake lihimidiwe.
Poleni Ndg,Jamaa,Waliopoteza mpendwa wao.
Mungu awe mfariji wenu.
Amin.
 
We umeona mtoto tu,kuna ajali mbaya zaidi ya hiyo kwenye gari kukiwa na trey za mayai na halikuvunjika hata moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…