Yupo kutoa daaaaawa [emoji1787]Nadhani hili ndilo lilikuwa hasa lengo la uzi wako; na mengineyo yote ni mbwembwe tu ndiyo maana kichwa cha uzi na yaliyomo yamepishana; na ama yamelazimishwa lazimishwa tu.
Halafu eti. Mimi nisiye mwislamu naweza kuisoma Qurani bila kudhurika? Kuna ostaadh alishawahi kunitisha kuwa eti Qurani haipaswi kushikwa (achilia mbali kusomwa) na mtu ambaye siyo mwislamu maana madhara yake ni makubwa. Kuna ukweli katika hili? Asante [emoji1545]
Hapo mtoto alifunga mkanda, baba mtu hajafunga mkanda ndio maana akawahi kuisha.
Mmiliki wa mabasi ya Sauli, Solomon Sauli Mwalabila amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Miwaleni, Mlandizi mkoani Pwani majira ya saa kumi na mbili na nusu alfajiri.
Katika ajali hio ambayo tunaambiwa alikuwepo mtoto mdogo lakini amechubuka kidogo sana . MASWALI YA KUJIULIZA
1. Huyu mtoto alipona vipi?
2. Alikaa wapi?
3. Nini kilichomuokoa?
4. Kwanini asife?
Maana hii gari ukiona hakuna sehemu ambayo haijapindana, kwa mazingira ya kawaida ni vigumu kutoka mtoto
Katika Qurani, kuna aya nyingi zinazosema kuhusu nguvu ya neno la Mungu na jinsi anavyoleta matokeo kwa maamuzi yake. Kwa mfano, katika sura ya 2, aya ya 117, inasema:
"Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa mbingu na ardhi na kila kilicho baina yake. Aliposema jambo tu, huwa: ‘Kuwa!’ Na linakuwa."
Aya hii inasisitiza jinsi Mungu anavyokuwa na uwezo wa kutekeleza maamuzi yake kwa nguvu ya neno lake peke yake. Ni mfano wa uweza wa Mungu na jinsi anavyoweza kuunda na kubadilisha mambo kwa matakwa yake.
Qurani inafundisha kwamba kila jambo linalotokea, likiwemo kifo na uhai, linatokana na mapenzi na uamuzi wa Mungu. Kwa mfano, katika sura ya 3, aya ya 145, inasema:
"Hakika kifo kilichoandikiwa ni hakika, na hakika kifo kitakutokea kwa wakati ulioandikwa."
SOMA QURAN UPATE ILIMU
Qurani inaelezewa kama kitabu kisichoshaka kwa sababu ya imani ya Waumini kwamba ni neno la Mungu lililo wazi na lenye ukweli wa kipekee. Katika sura ya 2, aya ya 2, inasema:
"Huu ndio mubini, usiomashaka, uliojaa udhu na uwazi kwa wale wanaomcha Mungu."
Aya hii inasisitiza kuwa Qurani ni kitabu kilicho wazi na kimejaa maelekezo na mwangaza kwa wale wanaoamini. Qurani inaaminiwa kuwa ni muongozo wa kweli na kamili kwa maisha ya kiroho na kimaisha, na hivyo Waumini wanakubaliana kwamba kuna ukweli na hekima ya kipekee ndani yake.
Kuran nacho ni kitabu cha Mungu au uganga! Kuna tofauti kwani.wewe umepaona hapo tu? hukuona picha ya gari? any way
Katika Qur'an, kuna aya ambazo zinaeleza kwamba ujumbe wa Mungu umefikiwa kwa walimwengu wote, na si kwa watu wa kabila au taifa fulani tu. Hii inathibitishwa na aya kama:
- Sura Al-Anbiya (21:107): "Na hatukukutuma ila kama rehema kwa walimwengu wote."
Aya hii inasisitiza kwamba Mtume Muhammad (S.A.W.) ametumwa kama rehema kwa watu wote bila kujali taifa au kabila.- Sura Al-Hujurat (49:13): "Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanaume na mwanamke, na tukakufanyeni mataifa na makabila ili mpatane. Hakika aliye bora kwenu mbele ya Allah ni yule mwenye kumcha Allah zaidi. Hakika Allah ni Mjuzi, Mwenye Hekima."
Hajiulizi matukio kama school bus kuua watoto kama wote, achilia mbali bodaboda. Huu ni uthibitisho dhaifu kupita kiwango, hajui mimba ngapi hutolewa na zinafanikiwa? Mungu ni zaidi ya hizo bible na Qur'an.matukio kama haya ya kunusurika yanatumika na wengi kama uthibitisho wa uwepo wa mungu
ni sawa
lakini kwangu naona walakini
Hili sawali lako linaonesha una matatizo binafsi na hujui ukuu wa MUNGU!
4. Kwanini asife?
Upo sahihi. Nilitaka kuuliza umri wa huyo mtoto.Mtoto ana umbo dogo nivigumu kufikiwa na mgongano wa ajari........
Na hata kama yupo hawezi kukubali kufanywa kuwa bidhaa ya kuuzwa hovyo hovyo kama anavyofanywa kuwa na hizi dini.RIP.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwapo, ajali isingewezekana kuwapo popote.
Kuwapo kwa ajali ni ushahidi huyo Mungu hayupo.
Mikwara tuuNadhani hili ndilo lilikuwa hasa lengo la uzi wako; na mengineyo yote ni mbwembwe tu ndiyo maana kichwa cha uzi na yaliyomo yamepishana; na ama yamelazimishwa lazimishwa tu.
Halafu eti. Mimi nisiye mwislamu naweza kuisoma Qurani bila kudhurika? Kuna ostaadh alishawahi kunitisha kuwa eti Qurani haipaswi kushikwa (achilia mbali kusomwa) na mtu ambaye siyo mwislamu maana madhara yake ni makubwa. Kuna ukweli katika hili? Asante 🙏🏿
Ila saa nyingine tunatakiwa tugawqne majukumu. Wapo madereva wazuri tu kazibyao ni kuendesha tajir tafuta dereva akuendeshe mpakq yendako unlike basiJuzi juzi tu like 2 weeks, kulitokea ajali ya bajaji kugongwa na gari IST dereva na abiria wake walifariki, wamepishana kama masaa mawili tu. Kwenye bajaji kulikuwepo mtoto wa kike wa huyo dereva wa bajaji ana miaka 4....kapona hajaumia!
Ikifika imefika...hurukiKwanini hakupanda mabasi Yake akapanda gari ndogo?
Mungu ndie hakimu wa maisha yetu.Hutuvuna wakati anaotaka.
Mmiliki wa mabasi ya Sauli, Solomon Sauli Mwalabila amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Miwaleni, Mlandizi mkoani Pwani majira ya saa kumi na mbili na nusu alfajiri.
Katika ajali hio ambayo tunaambiwa alikuwepo mtoto mdogo lakini amechubuka kidogo sana . MASWALI YA KUJIULIZA
1. Huyu mtoto alipona vipi?
2. Alikaa wapi?
3. Nini kilichomuokoa?
4. Kwanini asife?
Maana hii gari ukiona hakuna sehemu ambayo haijapindana, kwa mazingira ya kawaida ni vigumu kutoka mtoto
Katika Qurani, kuna aya nyingi zinazosema kuhusu nguvu ya neno la Mungu na jinsi anavyoleta matokeo kwa maamuzi yake. Kwa mfano, katika sura ya 2, aya ya 117, inasema:
"Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa mbingu na ardhi na kila kilicho baina yake. Aliposema jambo tu, huwa: ‘Kuwa!’ Na linakuwa."
Aya hii inasisitiza jinsi Mungu anavyokuwa na uwezo wa kutekeleza maamuzi yake kwa nguvu ya neno lake peke yake. Ni mfano wa uweza wa Mungu na jinsi anavyoweza kuunda na kubadilisha mambo kwa matakwa yake.
Qurani inafundisha kwamba kila jambo linalotokea, likiwemo kifo na uhai, linatokana na mapenzi na uamuzi wa Mungu. Kwa mfano, katika sura ya 3, aya ya 145, inasema:
"Hakika kifo kilichoandikiwa ni hakika, na hakika kifo kitakutokea kwa wakati ulioandikwa."
SOMA QURAN UPATE ILIMU
Qurani inaelezewa kama kitabu kisichoshaka kwa sababu ya imani ya Waumini kwamba ni neno la Mungu lililo wazi na lenye ukweli wa kipekee. Katika sura ya 2, aya ya 2, inasema:
"Huu ndio mubini, usiomashaka, uliojaa udhu na uwazi kwa wale wanaomcha Mungu."
Aya hii inasisitiza kuwa Qurani ni kitabu kilicho wazi na kimejaa maelekezo na mwangaza kwa wale wanaoamini. Qurani inaaminiwa kuwa ni muongozo wa kweli na kamili kwa maisha ya kiroho na kimaisha, na hivyo Waumini wanakubaliana kwamba kuna ukweli na hekima ya kipekee ndani yake.