Nikiona binadamu anazikwa nachanganyikiwa mno

Nikiona binadamu anazikwa nachanganyikiwa mno

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Poleni sana na majukumu.

Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu.

Nikienda makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.

Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.

Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo. Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.

Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.

Tutende mema wakati wote jamani.
 
Tamaaa
JamiiForums-354478943.jpg
 
Hakuna upweke mbaya na wa kuogofya sana kama upweke wa makaburini chini ya kifusi cha mchanga kilichisindiliwa vema hasa waombolezaji wanapoondoka makaburini na kukuacha peke yako. Hiyo ni trela tu.

Mchezo kamili ni pale kiza kinapoingia na kumbuka makaburini hakuwekwi taa labda iwe kipindi cha mbalamwezi
Siri ya kifo ni siri ya kuogofya sana maana hata my wako hawezi kulala nawe pale makaburini atabaki na walio hai wengine na hisia zake juu yako zihamie huko kwa wengine[emoji24][emoji24][emoji24]
Cha kuumiza zaidi ni kwamba haya yote unayaona kama video kwenye luninga na huna la kufanya[emoji24][emoji25]
 
Hakuna haja ya kuogopa piga kazi mbaba haya ndio maisha yetu uogope usiogope lazima siku moja kila mmoja wetu atgarudi mavumbini, hii ni hakika na haina ujanja cha muhimu kuwa mtu mwema tu na kushika sana mafundisho utaishi vyema tu na hofu inaondoka.
 
Maisha ni fumbo Nene Sana..imagine,hawa waliolala wengine walijisifu wao ni matajiri Sana,wengine wanakitembeza Sana Kwa mademu,wengine ukatili,wengine walijisifu wazuri Sana lakini Leo ni mifupa mikavu

Kila kitu hapa duniani ni ubatili mtupu na hakuna Jambo lolote lenye maana..Ila tusichoke kutenda mema

Usikiogope kifo

IMG_20220809_161933.jpg
IMG_20220809_161917.jpg
IMG_20220809_161905.jpg
 
Hakuna upweke mbaya na wa kuogofya sana kama upweke wa makaburini chini ya kifusi cha mchanga kilichisindiliwa vema hasa waombolezaji wanapoondoka makaburini na kukuacha peke yako ... Hiyo ni trela tuu .. Mchezo kamili ni pale kiza kinapoingia na kumbuka makaburini hakuwekwi taa labda iwe kipindi cha mbalamwezi
Siri ya kifo ni siri ya kuogofya sana maana hata my wako hawezi kulala nawe pale makaburini atabaki na walio hai wengine na hisia zake juu yako zihamie huko kwa wengine[emoji24][emoji24][emoji24]
Cha kuumiza zaidi ni kwamba haya yote unayaona kama video kwenye luninga na huna la kufanya[emoji24][emoji25]
Unfortunately tunaambiwa waliokufa huwa kama waliolala. U don't feel anything.
 
Maisha ni fumbo Nene Sana imagine,hawa waliolala wengine walijisifu wao ni matajiri Sana,wengine wanakitembeza Sana Kwa mademu,wengine ukatili,wengine walijisifu wazuri Sana lakini Leo ni mifupa mikavu

Kila kitu hapa duniani ni ubatili mtupu na hakuna Jambo lolote lenye maana..Ila tusichoke kutenda mema
Kwamba wangefanya vice versa wasingekufa ? All in all ushauri wangu kwa yoyote enjoy life, do what your heart desires. Kifo ni Inevitable na unafanya mema sio sababu kwamba kesho utakufa bali sababu its the right thing to do (according to your conscious), ila kama conscious yako haikusuti na kukitembeza kwa mademu ndio furaha yako basi do what your heart desires life is short
 
Nipo mochwar kahama naangalia miili 20 iliyopata ajali jana ili nione Kama nitaitambua nimeangalia maiti hadi nmejikuta kama nmezizoea japo kifo hakizoeleki
Mkuu, kapicha nasi tuone kama kuna jamaa na marafiki.
 
Hata mimi huwa naamini hivyo, kifo ni usingizi usio na ndoto. Hauhisi chochote kama ulipokuwa haujazaliwa.
Alafu zile Stori za eti anakuja malaika anakutoa roho huku unaona video ya maisha yako ni uwongo mtupu na kutishana kusiko sababu.unaambiwa roho inavyotoka maumivu yake Bora uminywee pu**[emoji28] au afadhali maumivu ya kujifungua Kwa wanawake yanaanzia kwenye vidole kisha yanapanda Hadi utosini wakati roho inatoka

Wakati ukiweka zako jiko la mkaa chumbani kisha ukafunga madirisha na mlango unakufa Kama umelala,kimya kimya burudaani kabsa[emoji1] Tunatishana Sana
 
Back
Top Bottom