Nikiona binadamu anazikwa nachanganyikiwa mno

Nikiona binadamu anazikwa nachanganyikiwa mno

Mjukuu wako anasoma hii comment mwaka 2095, namuona akibubujikwa na machozi na kupigapiga miguu chini huku akirusharusha mikono na kukulaumu kwa kupayuka kwamba "kama babu asingekuwa mbinafsi na mlevi na angekuwa mpambanaji basi nisingengekuwa nashindia miguu na vichwa vya kuku.
Kwamba matatizo yake anahamishia kwangu ?. Nashukuru binafsi sina tabia ya ku-pass the blame wajukuu wanaweza wakalalamika kwamba tuliharibu mazingira na kuuza nchi ila sio kwanini wanashindia miguu na vichwa vya kuku, collectively huenda hatuwatendei haki taifa la kesho ila individually you need to make your own bed as you shall lie in it
Kila mtu akifanya kila anachokitaka kisa tu atakufa bila kujali italeta effect gani kwa wengine, basi dunia itakuwa chafu mara mbili.
Kwa mantiki yako wale wauaji, wezi na majambazi bila kuacha wale wanaojilipua, wote wako sahihi kufanya wanayoyafanya?
Unaelewa nini maana ya Your Heart Desires..., kama mtu roho yake inapenda kuua namshauri tu atengeneze watu wake ili aweze kuwaua sababu kuna sheria na natural justice..., furaha yako isiwe kero kwa wengine, ingawa pia sio lazima mtu ajinyime ili wewe ufaidike yaani asiwe causative ya maumivu kwako ila wewe furaha yako isiwe causitive ya maumivu kwake....

Kwahio kama mtu amepata his hard earned cash na amefanya obligations zake kuwapeleka watoto shule basi chenji inayobaki akiamua kubugia mapombe hio ni prerogative yake, so long as asije kutusumbua tusimchangie figo na kama maisha yake yatafupika basi ahakikishe wategemezi wake wapo provided for ili asije kusumbua jamii..., Otherwise tutakuwa na jamii ya wanafiki wanaojifanya do-gooders wakati in reality its like they are living in prison...

All I can say live large..., the world will be happier with happy people with smiles kuliko wanaojinyima kwa kulalamika
 
Unajua umechukulia hili kwa mlango wa imani moja tuu.. Dunia haina imani moja hivyo ni vema ukazisoma na tafsiri zingine juu ya kifo na roho pia
Imani moja na ya KWELI ni UKRISTO pekee. Narudia tena.. Duniani kuna imani moja tu ya KWELI nayo ni UKRISTO.

Kama ambavyo MUNGU wa KWELI ni mmoja tu, KRISTO wa KWELI ni mmoja tu na vivyo hivyo IMANI ya KWELI isiyo na mawaa ni moja tu. Hakuna nyingine.

MUNGU wa KWELI amekwisha sema katika NENO lake kuwa "roho itendayo dhambi itakufa", hilo halina ubishi na hakuna wa kupingana naye.

Mwenye masikio na asikie.
 
Mie nina fantasy or sijui niseme kupenda harufu sina hakika kama ni ya maiti or perfume wanazo pulizia yani huwa nikisikia ole harufu naipenda na hasa pale wanapo funua jeneza.
Najaribu kusali ili niache hii kitu ila nikifika eneo la msibani nataman tu kuisikia hiyo harufu.
Je nahitaji msaada au ni hali ya kawaida??
 
Alafu zile Stori za eti anakuja malaika anakutoa roho huku unaona video ya maisha yako ni uwongo mtupu na kutishana kusiko sababu.unaambiwa roho inavyotoka maumivu yake Bora uminywee pu**[emoji28] au afadhali maumivu ya kujifungua Kwa wanawake yanaanzia kwenye vidole kisha yanapanda Hadi utosini wakati roho inatoka

Wakati ukiweka zako jiko la mkaa chumbani kisha ukafunga madirisha na mlango unakufa Kama umelala,kimya kimya burudaani kabsa[emoji1] Tunatishana Sana
Mkuu hii jambo unalodoubt ni kweli tupu. We unadhani tumeumbwa duniani kufanya mchezo tu.

Lazima tumtukuze Muumba na tutarajie malipo jwa mambo yoyote tunayoyafanya
 
Imani moja na ya KWELI ni UKRISTO pekee. Narudia tena.. Duniani kuna imani moja tu ya KWELI nayo ni UKRISTO.

Kama ambavyo MUNGU wa KWELI ni mmoja tu, KRISTO wa KWELI ni mmoja tu na vivyo hivyo IMANI ya KWELI isiyo na mawaa ni moja tu. Hakuna nyingine.

MUNGU wa KWELI amekwisha sema katika NENO lake kuwa "roho itendayo dhambi itakufa", hilo halina ubishi na hakuna wa kupingana naye.

Mwenye masikio na asikie.
OK OK sawa nimekuelewa[emoji1545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nina fantasy or sijui niseme kupenda harufu sina hakika kama ni ya maiti or perfume wanazo pulizia yani huwa nikisikia ole harufu naipenda na hasa pale wanapo funua jeneza.
Najaribu kusali ili niache hii kitu ila nikifika eneo la msibani nataman tu kuisikia hiyo harufu.
Je nahitaji msaada au ni hali ya kawaida??
Sio kawaida sana.. Ni tatizo la kisaikolojia na kiroho pia.. Ni kama vile baadhi wanavyosisimka kwa furaha wanapoona maiti ama mtu anayekufa kwa mateso

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natakuwa kufanya nini mana hata hiyo hali ya kupenda kuangalia maiti nadhani ninayo, nina picha nyingi za maiti kwenye simu pia
[emoji2296][emoji2296][emoji2296] Aisee kweli tumeumbwa tofauti
 
Back
Top Bottom