Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Shetani amewadanga kuwa eti "roho haifi". Udanganyifu ule ule alioufanya Bustanini kwa kumwambia Eva kuwa; "ukila matunda ya mti huu hautakufa hakika bali utakuwa kama MUNGU".Roho haifi kinachokufa ni mwili uharibikao
Udanganyifu huu wa Shetani ndiyo unaendelea mpaka leo. Inasikitisha sana!
Soma kitabu cha Nabii Ezekieli ile aya ya 18 ndiyo utajua kuwa roho inakufa au haifi.
MUNGU hasemi uwongo hata siku moja. Tumwamini MUNGU na NENO lake maana NENO lake ni KWELI tupu.