wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Siku ngumu ni ya kwanza baada ya hapo utazoea shekhe.
Alafu sasa ukute umezikwa porini porini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ngumu ni ya kwanza baada ya hapo utazoea shekhe.
Kwani ukizikwa mjini unawekewa taa?Alafu sasa ukute umezikwa porini porini
Nna wasi wasi na afya yako.Dah nadhani tufe tu..
Nani aiangalie Sasa?
Sometime huwa nawaza wale watu wazima( umri umeenda) huwa wanafikiria nini kuhusu Kifo.
Kama unakubali andiko linalosema kila chenye uhai kitakufa iweje ukatae andiko hilo hilo linaloongelea maumivu wakati wa kutoka roho?Hii ni chai
Sure, Kama vile JPM alivyo kuwa na dreams zake na bongo yetu,alituaminisha Lowasa Ni mgonjwa atafia ikulu Lakini kumbe MUNGU siyo mwanadamu.Ukiyafikiria sana maisha unaona ni kama hayana maana vile.
Umri unapokwenda sana unapoteza faraja mana wenzio rika lako, rafiki zako, ndugu zako, wapenzi zako asilimia kubwa wanakuwa wameshakufa unabaki na kizazi ambacho kiko tofauti na wewe, hivyo unakuwa mpweke sana hutamani tena kuwepo, ni sawa na wewe ufungiwe ndani na watoto wa miaka miwili alafu uambiwe utakaa nao hapo hapo kwa miaka kumi, do you feel what it is?Sometime huwa nawaza wale watu wazima( umri umeenda) huwa wanafikiria nini kuhusu Kifo.
Exactly! It happened to me when I lost my mama, nilienda makaburini saa Saba usiku ili niprove myth busters wanao sema huwa hufufuka,niliishia kuumwa na mbu tu. RIP Mom.Hakuna upweke mbaya na wa kuogofya sana kama upweke wa makaburini chini ya kifusi cha mchanga kilichisindiliwa vema hasa waombolezaji wanapoondoka makaburini na kukuacha peke yako. Hiyo ni trela tu.
Mchezo kamili ni pale kiza kinapoingia na kumbuka makaburini hakuwekwi taa labda iwe kipindi cha mbalamwezi
Siri ya kifo ni siri ya kuogofya sana maana hata my wako hawezi kulala nawe pale makaburini atabaki na walio hai wengine na hisia zake juu yako zihamie huko kwa wengine[emoji24][emoji24][emoji24]
Cha kuumiza zaidi ni kwamba haya yote unayaona kama video kwenye luninga na huna la kufanya[emoji24][emoji25]
[emoji1787][emoji1787]to hell with your thoughts on mbususu!Kama huko kuzimu kuna mbususu mbona fresh tu, Mimi imani yangu ni kwamba nitazaliwa tena sehemu nyingine nikiwa na identity nyingine
Hakuna upweke mbaya na wa kuogofya sana kama upweke wa makaburini chini ya kifusi cha mchanga kilichisindiliwa vema hasa waombolezaji wanapoondoka makaburini na kukuacha peke yako. Hiyo ni trela tu.
Mchezo kamili ni pale kiza kinapoingia na kumbuka makaburini hakuwekwi taa labda iwe kipindi cha mbalamwezi
Siri ya kifo ni siri ya kuogofya sana maana hata my wako hawezi kulala nawe pale makaburini atabaki na walio hai wengine na hisia zake juu yako zihamie huko kwa wengine[emoji24][emoji24][emoji24]
Cha kuumiza zaidi ni kwamba haya yote unayaona kama video kwenye luninga na huna la kufanya[emoji24][emoji25]
Is a myth, Nani kakudanganya kuwa alitolewa roho Kisha ikarudishiwa Tena then aje atuhadithie?Alafu zile Stori za eti anakuja malaika anakutoa roho huku unaona video ya maisha yako ni uwongo mtupu na kutishana kusiko sababu.unaambiwa roho inavyotoka maumivu yake Bora uminywee pu**[emoji28] au afadhali maumivu ya kujifungua Kwa wanawake yanaanzia kwenye vidole kisha yanapanda Hadi utosini wakati roho inatoka
Wakati ukiweka zako jiko la mkaa chumbani kisha ukafunga madirisha na mlango unakufa Kama umelala,kimya kimya burudaani kabsa[emoji1] Tunatishana Sana
Usiogope kufa, ogopa kufa ukiwa na dhambi.Poleni sana na majukumu.
Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu.
Nikienda makaburuni makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.
Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.
Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo. Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.
Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.
Tutende mema wakati wote jamani.
Mhubiri9:4-5- Nilitafakari juu ya hayo yote, nikaona kwamba Mungu anaongoza ... 5. Maana, walio hai hujua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui chochote.Kimwili sawa lakini sio kiroho
Sanaa ya kifo
Hii ni habari ngeni kabisa kwa wale watakaobahatika kusoma hii mada na pia wale wenye kupenda kujifunza vitu vipya ni sanaa ya kifo katika uhalisia wetu bila kuchanganya na doctrines za kiimani na kiasili. Kwenye mada nyingi tumeona uhayawani wa mwanadamu tumeona kwa sehemu kubwa jinsi kiumbe...www.jamiiforums.com
Wafu wa mwili sio wa roho.. Roho haifiMhubiri9:4-5- Nilitafakari juu ya hayo yote, nikaona kwamba Mungu anaongoza ... 5. Maana, walio hai hujua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui chochote.
Wafu hawajui kitu chochote wala hawana kumbukumbu wala ufahamu wa kitu chochote.Hakuna upweke mbaya na wa kuogofya sana kama upweke wa makaburini chini ya kifusi cha mchanga kilichisindiliwa vema hasa waombolezaji wanapoondoka makaburini na kukuacha peke yako. Hiyo ni trela tu.
Mchezo kamili ni pale kiza kinapoingia na kumbuka makaburini hakuwekwi taa labda iwe kipindi cha mbalamwezi
Siri ya kifo ni siri ya kuogofya sana maana hata my wako hawezi kulala nawe pale makaburini atabaki na walio hai wengine na hisia zake juu yako zihamie huko kwa wengine[emoji24][emoji24][emoji24]
Cha kuumiza zaidi ni kwamba haya yote unayaona kama video kwenye luninga na huna la kufanya[emoji24][emoji25]
Roho haifi kinachokufa ni mwili uharibikaoWafu hawajui kitu chochote wala hawana kumbukumbu wala ufahamu wa kitu chochote.
Ukifa umekufa, unakuwa haupo kabisa. Ni kama kipindi kile haujazaliwa wala mimba yako haijatungwa, ulikuwa haupo. Vivyo hivyo na baada ya kufa.
MUNGU alimwambia Adamu; "uu mavumbi wewe na mavumbini utarudi ulimotwaliwa".
Hii maana yake ni kwamba kabla ya Afamu kufanywa kiumbe hai alikuwa ni mavumbi yasiyokuwa na uhai. Hivyo basi mtu akifa anarudi kuwa mavumbi yasiyokuwa na uhai wala ufahamu.
Nani kakudanganya kuwa Mwanadamu ana roho isiyokufa?Wafu wa mwili sio wa roho.. Roho haifi