Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana na majukumu.
Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu!
Nikienda makaburuni makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.
Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.
Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo... Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.
Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.
Tutende mema wakati wote jamani
Nahisi wanajilaumu kwa yale ambayo wangeweza kufanya na hawakuyafanyaSometime huwa nawaza wale watu wazima( umri umeenda) huwa wanafikiria nini kuhusu Kifo.
Poleh mumy Mungu akufariji siku zoteNililia Sana niliposhuhudia maiti ya mama yangu mzazi.Nililia zaidi nilipoingia mochwari kumsitiri.Niliishiwa nguvu siku Ile nilipofuta namba yake kwenye simu yangu.KWELI MAISHA HAYANA MAANA!!!
Ukiamini hivi Ni rahisi Sana kuwa muovuHata mimi huwa naamini hivyo, kifo ni usingizi usio na ndoto. Hauhisi chochote kama ulipokuwa haujazaliwa.
Angalau matendo yakiwa mema duniani uoga unapungua kidogoStill huwezi kukikimbia kifo hapa ndio penye maumivu makubwa zaidi
Hapo ndo utaona hata huyo Mungu hapendwi bali anaogopwa.Ukiamini hivi Ni rahisi Sana kuwa muovu
SAWA[emoji17][emoji17]
Hujaeleza kivipi.Thibitisha.
Yes,watu wanatishana utadhani wameshakufa wakarudi. Who ever experienced death tuko naye hai jamani.Alafu zile Stori za eti anakuja malaika anakutoa roho huku unaona video ya maisha yako ni uwongo mtupu na kutishana kusiko sababu.unaambiwa roho inavyotoka maumivu yake Bora uminywee pu**[emoji28] au afadhali maumivu ya kujifungua Kwa wanawake yanaanzia kwenye vidole kisha yanapanda Hadi utosini wakati roho inatoka
Wakati ukiweka zako jiko la mkaa chumbani kisha ukafunga madirisha na mlango unakufa Kama umelala,kimya kimya burudaani kabsa[emoji1]..Tunatishana Sana
😂😂😂😂 We fala nimecheka Sana mm humu kwenye mwendokasi had watu wanashangaa imenibidi niangalie Hilo jina lako limeniacha hoiiKama huko kuzimu kuna mbususu mbona fresh tu, Mimi imani yangu ni kwamba nitazaliwa tena sehemu nyingine nikiwa na identity nyingine
iyo ya mabikra 70 ni uzushi wanaoeneza maadui wa uislamu amna kitu kama icho hakuna adith sahii inayoelezea ilo tukioHivi inachukua muda gani ukishakufa kukabudhiwa wale mabikira wako 70 na kwenda kwenye mito ya pombe?
Mkuu usitishike mule kaburi hakuna harakati yoyote mtu akishakata moto mwili ausikii wala kutambua kitu ndio mana wenzetu waindi wanachoma moto kabisa kwa kulijua holo uwa tunatishana tu .Poleni sana na majukumu.
Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu!
Nikienda makaburuni makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.
Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.
Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo... Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.
Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.
Tutende mema wakati wote jamani
Kuna mwanafasihi mmoja wa Kiswahili alisema maisha hayana maana.Ukiyafikiria sana maisha unaona ni kama hayana maana vile.
Poleni sana na majukumu.
Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu!
Nikienda makaburuni makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.
Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.
Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo... Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.
Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.
Tutende mema wakati wote jamani