Nikiona binadamu anazikwa nachanganyikiwa mno

Nikiona binadamu anazikwa nachanganyikiwa mno

Unfortunately tunaambiwa waliokufa huwa kama waliolala. U don't feel anything.
Kimwili sawa lakini sio kiroho

 
Kwamba wangefanya vice versa wasingekufa ?..., All in all ushauri wangu kwa yoyote enjoy life.., do what your heart desires..., Kifo ni Inevitable

Naongelea maisha kutokuwa na maana km kuna kifo..si umeonahiyo mifupa?
 
Poleni sana na majukumu.

Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu!

Nikienda makaburuni makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.

Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.

Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo... Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.

Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.

Tutende mema wakati wote jamani
 
Huu udongo na atoms katika miili yetu zimetokana na Supernova ya zamani kabisa hivyo hilo linathibitisha kuwa tumeumbwa na Mungu.
 
Hakuna upweke mbaya na wa kuogofya sana kama upweke wa makaburini chini ya kifusi cha mchanga kilichisindiliwa vema hasa waombolezaji wanapoondoka makaburini na kukuacha peke yako. Hiyo ni trela tuu .. Mchezo kamili ni pale kiza kinapoingia na kumbuka makaburini hakuwekwi taa labda iwe kipindi cha mbalamwezi
Siri ya kifo ni siri ya kuogofya sana maana hata my wako hawezi kulala nawe pale makaburini atabaki na walio hai wengine na hisia zake juu yako zihamie huko kwa wengine[emoji24][emoji24][emoji24]
Cha kuumiza zaidi ni kwamba haya yote unayaona kama video kwenye luninga na huna la kufanya[emoji24][emoji25]
Aiseeee this is very terrifying experience daaah. Lakini wanasema hili ni kwa wenye madhambi, but wale waliofanya ya kumpendeza Mungu malaika wanawapa kampani.
 
Una Option ya Kuchomwa Pia.

Anyway death cease of life, ni kama tu ukiwa kwenye usingizi wa Pono bila Ndoto wala feeling yoyote.

And then, your Walk will Be ended.
Inategemea na aina ya usingizi. Kama ni usingizi wa jinamizi ni balaaaa kabisa.
 
Naongelea maisha kutokuwa na maana km kuna kifo..si umeonahiyo mifupa?
Nope Maisha yana Maana Sana (Kuishi)..., hicho Kifo ni Tamati..., sasa hao ambao wali-enjoy the ride huenda they had it better kuliko wale ambao waliweka akiba enjoyment eti sababu tu watakufa....,

Anyway... A Qoute from one of My Favourite Series

“Someone once asked me if I had learned anything from it all. So let me tell you what I learned. I learned everyone dies alone. But if you meant something to someone... If you helped someone... Or loved someone... If even a single person remembers you... Then maybe you never really die. And maybe... this isn't the end at all”

 
Aiseeee this is very terrifying experience daaah... Lakini wanasema hili ni kwa wenye madhambi, but wale waliofanya ya kumpendeza Mungu malaika wanawapa kampani.
Yeah kiimani iko hivyo kwa baadhi ya imani lakini wengine kuna reincarnation

 
Alafu zile Stori za eti anakuja malaika anakutoa roho huku unaona video ya maisha yako ni uwongo mtupu na kutishana kusiko sababu.unaambiwa roho inavyotoka maumivu yake Bora uminywee pu**[emoji28] au afadhali maumivu ya kujifungua Kwa wanawake yanaanzia kwenye vidole kisha yanapanda Hadi utosini wakati roho inatoka

Wakati ukiweka zako jiko la mkaa chumbani kisha ukafunga madirisha na mlango unakufa Kama umelala,kimya kimya burudaani kabsa[emoji1]..Tunatishana Sana
Ni ngumu kumtawala kifikra mtu asiye na hofu. Hiyo ndiyo sababu dini nyingi za kisasa misingi yake ni kuweka masimulizi ya kuogofya ili kuwafanya watu wawe loyal.

Lakini swali dogo tu, hao walioleta dini walikuwa wanasema ukitenda hiki utafanywa hivi, ila wao ndo walikuwa wakatili wakubwa (kuua, kutesa). Kwa nini wao hawakuhofia adhabu ya huyo Mungu waliyekuwa wanamtangaza?

Ila, kwa jinsi gunduzi za maisha na ustaarabu wa kale unavyoendelea kufanyika, naamini ipo siku jamii ya wanadamu itatambua ukweli kuhusu uwepo wao na mtazamo kuhusu uwepo wa maisha utabadilika kabisa.
 
Bora wewe mkuu, mimi nikiyaona makaburi nawaza tu namna tunavyohangaika na dunia kisha tunaishia kufa.

Kuna muda nawaza ningekuwa sina watoto ningekuwa nikipata pesa ya kula tu natulia kufanya ibada tu, ikikaribia kuisha natoka kwenda kutafuta.

Kifo japo ni lazima ila kinanyong'onyeza tukikiwaza.
 
Hiyo hofu ni kwa mtenda, mtendewa hajui lolote wala chochote.
Relax.
 
Hakuna upweke mbaya na wa kuogofya sana kama upweke wa makaburini chini ya kifusi cha mchanga kilichisindiliwa vema hasa waombolezaji wanapoondoka makaburini na kukuacha peke yako ... Hiyo ni trela tuu .. Mchezo kamili ni pale kiza kinapoingia na kumbuka makaburini hakuwekwi taa labda iwe kipindi cha mbalamwezi
Siri ya kifo ni siri ya kuogofya sana maana hata my wako hawezi kulala nawe pale makaburini atabaki na walio hai wengine na hisia zake juu yako zihamie huko kwa wengine[emoji24][emoji24][emoji24]
Cha kuumiza zaidi ni kwamba haya yote unayaona kama video kwenye luninga na huna la kufanya[emoji24][emoji25]
Acha fix mzee
 
Bora wewe mkuu, mimi nikiyaona makaburi nawaza tu namna tunavyohangaika na dunia kisha tunaishia kufa.

Kuna muda nawaza ningekuwa sina watoto ningekuwa nikipata pesa ya kula tu natulia kufanya ibada tu, ikikaribia kuisha natoka kwenda kutafuta.

Kifo japo ni lazima ila kinanyong'onyeza tukikiwaza
Still huwezi kukikimbia kifo hapa ndio penye maumivu makubwa zaidi
 
Hakuna upweke mbaya na wa kuogofya sana kama upweke wa makaburini chini ya kifusi cha mchanga kilichisindiliwa vema hasa waombolezaji wanapoondoka makaburini na kukuacha peke yako ... Hiyo ni trela tuu .. Mchezo kamili ni pale kiza kinapoingia na kumbuka makaburini hakuwekwi taa labda iwe kipindi cha mbalamwezi
Siri ya kifo ni siri ya kuogofya sana maana hata my wako hawezi kulala nawe pale makaburini atabaki na walio hai wengine na hisia zake juu yako zihamie huko kwa wengine[emoji24][emoji24][emoji24]
Cha kuumiza zaidi ni kwamba haya yote unayaona kama video kwenye luninga na huna la kufanya[emoji24][emoji25]
Ninaogopa zaidi kufa baada ya kusoma hii, Mshana Jr.
 
Back
Top Bottom