Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
6m ni nusu ya kipato changu kwa mwezi na mimi sijaiba hata kuku zakoHiyo hela ndogo kwa fisadi au kwa mtu alirithi mali lakini kwa mtu wa kawaida kuitafuta hipo kazi ndugu
Sio wote majizi duniani na hizo ni fikra za kumasikini
Mtoto wangu wa miaka 12 ana account yake mara 4 ya hizo na sio za wizi bali namuwekea kila mwezi kwa jasho langu
Najua hii Dunia tunaiacha lazima niwaandalie maisha yao upo hapo