Hili huwa najiuliza sana.. Akisha Fanya hivyi halafu nampiga marufuku inafanyaje kazi hiyo?! Yaani mnaangalianaje baada ya marufuku hiyo??Mkuu uchunguzi si ndo huo.? Akirudi marufuku China !!
Mh wanawake wa humu me sijui nawaonaje,kuna mmoja humu anatumia i.d nzuri sana nkajua kisu,siku naenda kumeet nae nlichokutana nacho siri yangu siwez kuanika hapa!pole sana, njoo utulie kwangu maumivu hautapata tena na utapenda tena
Tena nyie ndo ua shetani kabisa mnanilingishia utamu wa apple kumbe ndo sumu,..pole sana, njoo utulie kwangu maumivu hautapata tena na utapenda tena
Mkuu usimkosoe muumba hakupenda kuwa hvyooMh wanawake wa humu me sijui nawaonaje,kuna mmoja humu anatumia i.d nzuri sana nkajua kisu,siku naenda kumeet nae nlichokutana nacho siri yangu siwez kuanika hapa!
Kaka Yangu mpendwa pole kama ni kweli,lkn naomba nikueleze kitu hawa ndugu zetu ukimpa mtaji akawa anafanya biashara hapo mkoani ulipo then siku akasema anataka kufunga mzigo mkoa wa pili au tatu ndiyo mwanzo wa yy kuanza kupata wa kufunga naye mzigo na ukiruhusu hilo ktk familia yako usije kuja hapa JF kulalama ,hawa viumbe ukimpa laki moja ukikuta ana laki tano chukua laki nne weka kwenye miradi yako yy aendele kuwa na laki moja mtaheshimiana akikuzidi tu pesa umeumia utaambiwa ww siyo *hadhi Yangu*Nilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.
Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.
Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.
Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
Yes, na ndiziMkuu ukigeuka kitimoto tutakutafuna aisee
Mkuu umeiba avatar yangu, una roho mbaya!!!Duh..! Mkuu uzoefu wako unatisha..!
Pole Sana , yashanikuta mimi piaNilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.
Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.
Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.
Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
Kabisa mumy ,,ajiulize yeye hajawah cheat?? Je angekutwa?? Yan hawa viumbe wanapenda ujinga wafanye wao tu ila ss kusema ngoja tupooz kidogo tayr wanakuja na conclusion hata ss tunaumia jamanNi ajali tu za maisha, utayasahau na utampata alie mwaminifu. Ile kitu kushare hapana bwana piga chini
Chunguza kwanza
Yamekukuta na wewe..! Mimi ngoja tuu nizeeke na mapenzi yangu moyo unaniuma zaidi kitu chochote kumpa mdada mpuuzi asiye tambua thamani yake..Not all!! Kuna MTU tulipanga nae, nasubiria arudi toka masomoni tutiliane saini kilammoja ale kwake and I mean it, miaka 3 tuliyokubaliana, ingawa yeye ameshaenda mbaaali na sitowezarudiana nae kabisa! I only keep the promise of those 3 yrs to me! Nashukuru nimeweza