Nikipenda tena nigeuke nguruwe

Nikipenda tena nigeuke nguruwe

Mkuu uchunguzi si ndo huo.? Akirudi marufuku China !!
Hili huwa najiuliza sana.. Akisha Fanya hivyi halafu nampiga marufuku inafanyaje kazi hiyo?! Yaani mnaangalianaje baada ya marufuku hiyo??
 
Ishi na mwanamke kwa hekima,... Hata umpate yupi madudu ni yale yale,...hakuna aliyekamilika,...cha msingi samehe umove on,..
 
Mh wanawake wa humu me sijui nawaonaje,kuna mmoja humu anatumia i.d nzuri sana nkajua kisu,siku naenda kumeet nae nlichokutana nacho siri yangu siwez kuanika hapa!
Mkuu usimkosoe muumba hakupenda kuwa hvyoo
 
Nilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.

Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.

Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.

Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
Kaka Yangu mpendwa pole kama ni kweli,lkn naomba nikueleze kitu hawa ndugu zetu ukimpa mtaji akawa anafanya biashara hapo mkoani ulipo then siku akasema anataka kufunga mzigo mkoa wa pili au tatu ndiyo mwanzo wa yy kuanza kupata wa kufunga naye mzigo na ukiruhusu hilo ktk familia yako usije kuja hapa JF kulalama ,hawa viumbe ukimpa laki moja ukikuta ana laki tano chukua laki nne weka kwenye miradi yako yy aendele kuwa na laki moja mtaheshimiana akikuzidi tu pesa umeumia utaambiwa ww siyo *hadhi Yangu*
 
Pole sana kiongozi,never trust a woman ila umekosea sana kula nadhiri mrudie Mwenyezi Mungu haraka umuombe msamaha,mchezo wa mapenzi ndivyo ulivyo leo unaumizwa kesho unaumiza life goes on
 
Nilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.

Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.

Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.

Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
Pole Sana , yashanikuta mimi pia
Wanawake wepesi kusahau walipo anza kufanikiwa
MUNGU ATUTIE NGUVU NILIZANI PEKE YANGU
POLE SANA WAJINA
 
Haki yak nani we jamaa umenishtua, nilikua naunga mkono hoja ya kutomchunguza mwanamke ila nimebadilisha gia angan naanza kumchunguza kuanzia leo kuliko kusubiri nishafunga ndoa na nimeshakula lost za kutosha, naanza leo ushushu bado sijachelewa bora nusu shari kuliko shari, wenye msimamo bakini hvyo hvyo nakuhakikishia wewe utakua punda kama si bata.
 
Ni ajali tu za maisha, utayasahau na utampata alie mwaminifu. Ile kitu kushare hapana bwana piga chini
Kabisa mumy ,,ajiulize yeye hajawah cheat?? Je angekutwa?? Yan hawa viumbe wanapenda ujinga wafanye wao tu ila ss kusema ngoja tupooz kidogo tayr wanakuja na conclusion hata ss tunaumia jaman
 
kaka huyo hajakukosea wewe kamkosea Mungu wake ,nadhani hiyo isikufanye umchukie
 
Duuh,mkuu tambua kua,mwanamke au mwanaume ,akiwa mbali nawewe kwa namna yoyote kukwepa vishawish ni ngum sana na haiwez tokea labda awe mgonjwa,..kwahyo kwenye mapenz nilichojifunza ni kua usimwamin yeyote dunia hii,labda mama yako..ishi kijanja maisha yote,usipende na ukajiweka sehem saana hata kama ni mkeo
 
Not all!! Kuna MTU tulipanga nae, nasubiria arudi toka masomoni tutiliane saini kilammoja ale kwake and I mean it, miaka 3 tuliyokubaliana, ingawa yeye ameshaenda mbaaali na sitowezarudiana nae kabisa! I only keep the promise of those 3 yrs to me! Nashukuru nimeweza
Yamekukuta na wewe..! Mimi ngoja tuu nizeeke na mapenzi yangu moyo unaniuma zaidi kitu chochote kumpa mdada mpuuzi asiye tambua thamani yake..
 
Back
Top Bottom