Nikipenda tena nigeuke nguruwe

Nikipenda tena nigeuke nguruwe

Hicho kiapo cha kugeuka nguruwe naomba kivunje kwanza hapo unakosea sana. Mapenzi ni ajali tu, hayana saa wala majira kusema yatakukumba vipi.


Najua umetoa hayo maneno ukiwa na hasira na pia maumivu moyoni, nachokushauri ukiwa kwenye hali kama hiyo usijaribu kutamka au kutoa kitu chochote kibaya. Tulia kwanza urudi normal ndiyo ufanye maamuzi au kupokea ushauri.


Kwa sasa siwezi kukushauri juu ya hilo, haupo normal hutochukua maamuzi mazuri. Cool down kwanza, ndiyo tukwambie cha kufanya.


Maamuzi kipindi una maumivu ya moyo au hasira, mwisho wake ni majuto. Unaweza kufanya jambo baya
 
Pole sana mkuu!
Mzima kwanza, mtetezi wa wanawake...! Nyie viumbe kwa kiasi kikubwa anayewaonea huruma huwa awaelewi vyema...!

Nikimuonea huruma mwanamke ni kwa hisani but they don't deserve aisei..!
 
Nilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.

Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.

Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.

Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
Chunga sana kuhusu kuweka nadhiri. imeandikwa usiweke nadhiri kwa kitu ambacho huwezi kukitimiza, kwa maana mwenyezi MUNGU atakuadhibu.
 
Kabisa mumy ,,ajiulize yeye hajawah cheat?? Je angekutwa?? Yan hawa viumbe wanapenda ujinga wafanye wao tu ila ss kusema ngoja tupooz kidogo tayr wanakuja na conclusion hata ss tunaumia jaman

Seriously?
 
Kuna moments mbili tu ambazo binadamu unatakiwa usizungumze chochote. Nazo ni:
1. Ukiwa na furaha sana
2.Ukiwa na hasira sana

Hii ni kwasababu ukiwa na furaha sana (excited), unaweza kuongea/ kufanya kitu beyond brain ability, na watu wakashangaa.

Kwa upande mwingine ukiwa na hasira sana unaweza kutenda jambo hatarishi sana, au ukasema kitu cha ajabu sana kama hicho kiapo cha eti ugeuke nguruwe.
Unapopitia moment hizi mbili unashauriwa usiongee wala kutenda chochote, tulia, jipe muda kidogo kabla hujafanya. Hii itatusaidia. Nawaslisha
 
Najua maumivu uliyonayo ila kuna swali moja nashindwa kuelewa ni kwa nini upige simu saa 10 usiku?
 
Umenifundisha jambo nalifanyia kazi nijikopeshe mtaji kidogo kidogo then ndio nimuache
Pole sana.
Bila maumivu ya mapenzi huwezi kujua nn maana ya mapenzi.
Sasa hivi, fanya hivi.
Jifanye km hauna wivu kwakuwa huyo ni mkeo. Jipendekeze usioneshe hali ya kukasirika au kuchukia. Anza kujipenyeza kweny biashara, hata akikuripia ww usikasirike hata ukimkuta na jamaa ww uchune. Muoneshe mapenzi moto moto,ukishafanikisha kuingia kweny biashara yake, anza kumfilisi taratibu na kwa umakini mkubwa sana.
Halafu muache. Mwanamke ambaye umemkuta hana kitu huwa ni hatari sana akiaanza kushika hela, na ww unaonekana hauna hadhi ya kuwa naye. Pole sana
 
Piga kimya kama hakuna kilichotokea, ongea nae mambo ya maana tu lkn kuwa serious zaidi, usimguse, kuwa busy kupita maelezo...utaona atakavyo haha atakufa siku si zake!
 
Piga kimya kama hakuna kilichotokea, ongea nae mambo ya maana tu lkn kuwa serious zaidi, usimguse, kuwa busy kupita maelezo...utaona atakavyo haha atakufa siku si zake!

Asante kwa ushauri naufanyia kazi.
 
Najua maumivu uliyonayo ila kuna swali moja nashindwa kuelewa ni kwa nini upige simu saa 10 usiku?

Mkuu kwenye mapenzi hakuna mda wakupigiana simu mke wangu nampigia mda wowote sina presha.
 
Nilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.

Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.

Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.

Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
Duh pole sana mkuu..naelewa maumivu yake..weekend tukale beer tu sehem tupoze mioyo..una story kama yangu.
 
Nilimpenda sana mke wangu sababu ya tabia zake na upole wake juu yangu kumbe nilikuwa sijajua yeye ni nyoka.

Nimemkuta yuko na maisha ya chini sana nimesaidia yeye na ukoo wake nikasema nimpe mtaji kaanza biashara sasa nyota imemwakia China kila leo.

Mungu sio Lemutuz juzi nampigia simu kwenye mtandao wa We chat mtu hapokei. Kwakuwa nilijua yuko hotel gani nikagoogle hotel nikapata number eeeh nikapiga reception kuomba waniunganishe nae kapokea mwanaume nilivyosikia sauti ya mwanaume nikaongea kama mchina can I talk to ..... ;nikamtajia jina. Mke kapewa simu kusikia sauti yangu kakata simu.

Roho inaniuma sana sina nguvu maumivu haya ni mazito ukitoa msiba wa mamangu hakuna naweza fananisha na maumivu haya siku nikipenda tena nigeuke nguruwe nimeweka nadhiri.
umepanda miwa ndani ya shule.hawa ni dada zetu,mama zet,wake zetu,wachumba zetu.kiukweli si kuwahamini kwa asilimia 90 katika mapenzi.story yako kwamba mpa hapo wewe na mke.mke wako ndiye mwenye pesa sasa.pesa ndiyo imekusalitia ndoa yako
 
Back
Top Bottom