Si ndiko akili zenu zilikoishia!!Unaweza kuta huyu jamaa wife wake hana hata tecno anatumia simu ya tochi...
Bora mchepuko ana hata dakika tano za kunipa pole kuliko yule mzee wa busy yeye na ofisi na kazi ndo mungu wake na mme wakeKwa mchepuko hauna raha wala amani maana hakujali naamini huumwi Sana ni hizi homa zetu za kawaida maana umeweza kuanzisha thread haya pata picha umeumwa hata wiki tu anatakiwa akuhudumie kwa kila kitu ataweza kweli huyo kukuogesha haya kwa Wife Ndo hivyo tena hakuna amani sisi tunakushauri tu mwisho wa siku wewe ndo hakimu wa kila kitu juu ya maisha yako mpaka sasa huna mtu anakupa amani raha utamani kurudi nyumbani mapema.Mtafute Mungu kwani kwake kuna amani na furaha ambayo haipatikani popote mengne yatakuja tu muombe akupe utulivu na hekima ya kusolve changamoto unazoziface
SiweziHilo ndio tatizo, ok back to your thread fanya mpango uelewane na mkeo sio kutafuta mchepuko.
I dont care hata abanduliwe na kila mtuHata na yeye huko mkoani yupo na kijeba kingine, so maisha burdaaaani.
Bora umejitolea kuwa sponsor, mana ukitoa mungu anakuongezea.
Bora yeye anahuruma kdg kuliko mke ndg yanguNdio mkome, akuhurumie kwani mkeo huyo!
The choice is yoursSiwezi
Ushauri mzuri sana huuHaupo sahihi.huo ni udhalilishaji
Mwambie tu mambo hayapo vizuri pesa inasumbua kidogo nitakununulia siku nyingine iphone 7
KweliHapana hauko sahihi ongea vizur na mke wako ili mmalize tofauti zenu kabisa hiyo michepuko haifadhiliki kbs
Nina mchepuko wangu ambao ninausimamia kwa 100% katika kila kitu
Baada ya hapo ntatulia kdg kama wiki au mwezi kisha niibuke vyuoni nione kama ntapata mchepuko mpya uliokosa mkopo unitunze
Je niko sahihi?
Huwa sidate na mtu aliyeonesha nia ya kunitaka yeye! Always naibua mwenyewe mali mpyaHongera kwa kuwa nazo. ATM isiyo kauka.
Kwa kiasi uko sahihi kuchepu na kuachana na huyo umdhaniaye hachepuki.
Hauko sahihi kuchepuka na mwanachuo, maana wamejaa humu na wamekusoma vizuri. Kwa jinsi wanavyoandika humu jamvi nakuhakishia watakugawana kama mpira wa kona.
Khaaaah!! We nawe una majanga! Kama wote hawakuhurumii basi we ndio jipu.Bora yeye anahuruma kdg kuliko mke ndg yangu
sina kabisa io incomeHayo ni mawazo yako! Kila kitu kina muda wake kutafuta hela hakuzuii kuwa kwenye mahusiano! Half usiwe unajudge mtu usiyemjua yawezekana income yako haifiki hata robo ya kwangu
Soma majibu yangu utaelewa! Hakuna sehem nimesema wote hawanihurumiiKhaaaah!! We nawe una majanga! Kama wote hawakuhurumii basi we ndio jipu.
Huwezi kuibua bila kukutana huyo utakaye mdate. Hao watu ni wataalamu wa hali ya juu kukunasa. Kwa kuwa unachepuka wewe ni mteja wa kuaminika tu.Huwa sidate na mtu aliyeonesha nia ya kunitaka yeye! Always naibua mwenyewe mali mpya
Umevurugwa weweNina mchepuko wangu ambao ninausimamia kwa 100% katika kila kitu
Huu mchepuko unanipenda kwa ninavyouona,pia nishauchunguza sana hauchepuki labda kama unafanya kwa siri sana
Tatizo lake haridhiki,anaomba helq kila sekunde hata umpe kiasi gani bado kesho atakuja akuombe
Unaweza mpa pesa nyingi tu ila kesho akarudi kutaka nyingine
Mpaka najiuliza hivi huyu hajui kuwa tuko kipindi cha bwana jpm??
Kilichonikera ni lastweek nimetoka kumlipia kodi yake kwenye nyumba anayokaa pesa nyingi vi mil kadhaa
Sasa cha ajabu jana nimeenda kupumzika kwake nikiwa naumw kweli na anaona hilo ila asubuh alipomka bila kujali naumwa na nimetoka kumlipia kodi juzijuzi tu eti akaniambia anaomba nimnunulie Iphone 7!!!!
Nilimwangalia na kukubali kishingo upnde ila nimepanga nikipona naenda kwa mwenye nyumba na kumweleza nafunga ile nyumba maana mimi ndo mpangaji na sio yeye
Na kwa sababu kila kitu kilichopo ndani ya ile nyumba nimenunua mimi nimepanga nimtolee nguo zake zikiwa kwenye begi na kuziweka nje kisha nibadili vitasa na funguo za milango yote
Akija atakuta vitu nje na mimi ntakuwa nishabadili line zangu kwa siku mbili tatu
Baada ya hapo ntatulia kdg kama wiki au mwezi kisha niibuke vyuoni nione kama ntapata mchepuko mpya uliokosa mkopo unitunze
Nb: nakuwa na mchepuko kwa sababu hatuko katik mahusiano mazuri na wife na isitoshe yuko mkoani
Je niko sahihi?
HahahahaHuwezi kuibua bila kukutana huyo utakaye mdate. Hao watu ni wataalamu wa hali ya juu kukunasa. Kwa kuwa unachepuka wewe ni mteja wa kuaminika tu.
The most expensive thing in a house is a wife. To her, business as usual.Khaaaah!! We nawe una majanga! Kama wote hawakuhurumii basi we ndio jipu.
Unaweza kuta huyu jamaa wife wake hana hata tecno anatumia simu ya tochi...
bUnaweza kuta huyu jamaa wife wake hana hata tecno anatumia simu ya tochi...
wege sana huyu. ye anazani bado mvulana tu kuishia kutekenya bint wa chuo na kuwaharibu tu badala ya kukomaza akili na kutatua changamoto za familia yake ye anawaza kugegeda. acha wamkomeshe na kumfilisi hadi dushe.Unaweza kuta huyu jamaa wife wake hana hata tecno anatumia simu ya tochi...
Aisee!Siwezi