Nikishatofautiana na WIFE, Michepuko naiona kama takataka

Nikishatofautiana na WIFE, Michepuko naiona kama takataka

Nikwambie kitu mshua....kama alirudi leba mara ya pili ama ya tatu basi fata ushauri wa mkuu hapo juu..atasamehe na atakaa sawa. Unampenda mkeo kiukweli na ndo maana huna amani. As long as aliapologize basi tayari umeshashinda.

Tafuta kizawadi afu kama vipi mtoe out. Ikiwezekana mkalale huko hata weekend kama watt sio wadogo sana. Mpe maneno mazuri..mpetty petty..mpe romances za kutosha and tell her she is your world. Mueleze namna ambavyo unamuappreciate na unapenda amani baina yenu. Tell her nyinyi ni wanandoa, baba na mama wa so and so but express how you love her from your inner soul. Mwambie udhaifu wake ambao unakukwaza na ukimaliza mwambie mazuri yake hata kama si yote, asije akavimba kichwa. Na vizuri zaidi umpe nafasi naye aseme kilichopo moyoni kama ni mazuri yako na udhaifu wako unaomuumiza na kumkosesha raha.

Tell her you are sorry kwa kilichopita katikati yenu na myasahau..myazike msonge mbele. Assure her you love her and kama utaweza mpe fungu la maana na umwambie hii ni kwa ajili ya familia na hili ni lako special..liwe la maana sasa mshua sio la kinyonge. Ambalo kwa hali ya uchumi wenu anayoijua ataweza kwenda kununua nguo nzuri, kusuka style nzuri au kufanya chochote atachojisikia. Watoto watakuwa vizuri na amani kama mama yao ana amani.

Kama unampenda mkeo na unapenda familia yako iweke namba moja. Huyo akiwa na amani na urafiki ukawa restored, hata kuna staili ambazo si rahisi za kule kwenyewe kule..yuko radhi kujifunza akufurahishe...🤸. Kujenga urafiki na mkeo na kuirejesha amani is a process so you have to earn it.

Concentrate on her saivi. Focus on your woman..ila mipaka pia iwepo and sikwambii umworship. Love your wife braza..its hard but its a choive you have to make every single day you rise. All the best.

NB: Huu ni ushauri kwa deep kama una ushauri wako na wewe andika. Kama hukubaliani nao please just pass my love.
Umempa Ushauri mzuri sana!Mungu anijaalie mume mwenye ufahamu kama huu
 
Wakuu,

Tangu wiki ilopita nmetofautiana na MKE Wangu mamaG, chanzo Ni mm mwnyw na upuuzi upuuzi wangu, kujitia ujuaji mwingi, kutokufuata ushaur wa MKE wangu mpk nmeyaharibu mambo.
(Sio cheating, ni mambo tu kimaendeleo ya familia)

Mungu ametenda😂😂😂😂😂
 
Umewahi kusoma kisa alichoandikaga juu ya mke wake alichofanyaga? Na yeye angemchoka kipindi kile? Marriage is more of forgiveness. Wengne kila siku tunakosewa na anakuudhi kweli..lakin utafanyaje? Maana kiukweli na mm nina yangu ni vile mwenzangu huwa anachoose kuover look.

Kama unajijua utakuja kuchoka kusamehe usiingie. Tujifunze Rehema. Kuextend Grace kwa wenza wetu kila mara. Its very hard. Na kwa hapa kwa jinsi alivyoandika deep, kosa lililotokea ni la kupatana tu. Mke atakua fed up kama ni vipigo vibaya ama usaliti, ikiwa mwanaume haonyeshi kujuta na akawa anazidisha kebehi na matusi na dharau. Lakini makosa mengine yanaongeleka na yanasameheka.
Sijakataa ila sio kosa ni la kusamehe
Imagine unagundua mmeo nae ni wife wa mtu,utasema eti akuombe msamaha akupeleke vacation nawe umsamehe kweli?
 
  • Thanks
Reactions: LD
Sijakataa ila sio kosa ni la kusamehe
Imagine unagundua mmeo nae ni wife wa mtu,utasema eti akuombe msamaha akupeleke vacation nawe umsamehe kweli?
Sorry to say this but you lack Serenity dear. Hapa deep kaandika kwamba mke wake kagundua yeye ni mke wa mwanaume mwenzake??...the ans is no! And ukinisoma kwa makini utaona nimetoa ushauri kulingana na jambo aliloandika mleta mada. Na kama ukanisoma vizuri..nimeaddress ushauri kwake specifically. Na chini nikaweka tahadhari kabisa mpenzi wangu. Though I do agree with you that what I wrote, aint an escape ground for every mistake JF men make to their wives. Lets end this arg here...it aint necessary babe...
 
Shikilia hapo hapo, Kama ulishindwa kuomba msamaha mwanzoni kausha kabisa, Ila mfanyie suprise yoyote ya zawadi atafurahi naimani unajua anapenda nini, ukijishusha kwasasa utaharibu kilakitu.
 
Shikilia hapo hapo, Kama ulishindwa kuomba msamaha mwanzoni kausha kabisa, Ila mfanyie suprise yoyote ya zawadi atafurahi naimani unajua anapenda nini, ukijishusha kwasasa utaharibu kilakitu.
Naenda nae mdg mdg,
Nafikiria wikend nimtoe out kdg[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: jo5
Wakuu,

Tangu wiki ilopita nmetofautiana na MKE Wangu mamaG, chanzo Ni mm mwnyw na upuuzi upuuzi wangu, kujitia ujuaji mwingi, kutokufuata ushaur wa MKE wangu mpk nmeyaharibu mambo.
(Sio cheating, ni mambo tu kimaendeleo ya familia)

Binafsi najua mm ndo nilimkosea, Ila Sasa ule Ubabe ubabe na kutokubali kushindwa Wala kukiri mi Ndo nmemkosea,Basi nikamchokonoa kusudi mpk akapanic na kuongea Sana.

Sasa ktk kuongea kwake ktk hasira akatamka neno flani hivi limekaa vibaya sn. Nikalidaka hilo neno na nikalishikia bango kwelikweli. Mama G akachukia na kwenda kunisemea kwa wazazi wangu nmemkosea.

Kule kwa wazazi nilipoitwa Kwny kesi, nikalishikia bango lile neno alilotamka ktk hasira zake na kibao kikamgeukia yeye. ikaonekana ana makosa na Ikalazimika yeye mwnyw ndo aombe radhi ili yaishe. Kweli wife kafanya hivyo mbele ya wazazi.

Sasa tangu ameomba radhi, Tumerud nyumbani ni kama amenichukia Aina flani Kama Kanuna ila anatekeleza wajibu wake Kama kawaida ila uchangamfu wake sio Kama yule wa zamani.

Kwenye hili Mi mwnyw nafs inanisuta, Maana najua moyon mm ndo nmemkosea, Ila kukiri nmekosea hapo ndio changamoto. Najaribu kuonesha sn upendo ila kauchuna.

Kuna MDA nataman sn kuongea na wife kwny Simu, ila akishapokea TU, ananitaka niende straight kwny point.
Nikishaongea point, Hana Kunisikiliza Tena, anakata Simu haraka. Nikimtext pia anajibu shortly. Story story Kama zamani Hana na hataki kuskia.

Kiukweli Hali hii inaenda wiki ya pili Sasa na inaniumiza sana, nmejaribu kuitafuta furaha kwa Mchepuko ila nmejikuta chemistry inagoma kabisa, nakua mkali mkali afu nafoka Sana.

Nikienda kwa mchepuko naishia kulala Usngz na sitaki kelele za miziki Wala kelele za mtu kuongea na Simu (nafukuza akongelee uko nje), najikuta sitaki kuguswa Wala kuchezewa popote.
Namuona mchepuko Kama lisanamu flani na Hata anaponitaka tufanye mapenz mihemko ya ngono sina kabisa.

Imefika mahali nmeona kwenda kwa Mchepuko nayo Ni kero Sasa, nmeanza kukwepa. Kila siku naahidi nitaenda kwa mchepuko ila mda ukifika siendi, mzuka hamna kabisa.

Hata ile Hali ya kuchat au kuongea na mchepuko kwny Simu Ni kama imekufa kabisa. Mchepuko akipiga Najibu TU
"subir Kwanza, nko bize,ntakuchek baadae"
Akikata TU,ndo imetoka iyo.

Nikitoka kazin Ni straight bar,
Nako baa nikihisi Kuna makelele sn,
Au Kuna Watu wamekuja mezan kwangu wanaongea Sana, nabeba kinywaji changu najifungia nakunywa peke yangu ndani ya Gari.

Nikiona hapo Ni Moja kwa moja nyumbani, Tena chumban kabisa kitandani kulala.

Imefikia mahali Michepuko yote nmeona ishagundua siko sawa, lawama kila Kona, nmejitetea kwa kujificha kwny kichaka Cha changamoto zangu kibishara. Hawajanikosea chochote

Ila ukweli wenyewe Ni kwamba mahusiano yangu na wife hayako sawa kabisa. Na hii imekua hivi sio mara Moja Wala mara mbili, nikitofautiana na wife, hamu na michepuko inakata kabisa.

Nmejaribu kuulizia kwa rafki zangu wa karibu wenye muchepuko Hali hii vipi kwenu. Nao wanasema hivo hivo.

Mahusiano yakiwa mabaya nyumba kubwa (kwa wife) Hata hamu Wala morali ya kuchepuka inakata kabisa.

Imekaaje hii wakuu[emoji848]

View attachment 2492445
Sasa mkuu kama wewe ndiye mwenye makosa kwa nini umegeuzie kibao mwenzio? Jishushe tu mkuu umwombe radhi sana my wife wako haitakugharimu kitu! Ona sasa unaishi kama kunguru wala hupafurahii tena kwako! Kuna mwamba hapo ameshauri kwamba umtoe out, naunga mkono hoja tena kama unaweza unaweza kumpeleka hata Ngorongoro au Zanzibar akale life japo la siku 2 hivi mkayajenge vizuri! Mwaka bado mpya huu mkuu!
 
Back
Top Bottom