Nikishatofautiana na WIFE, Michepuko naiona kama takataka

Nikishatofautiana na WIFE, Michepuko naiona kama takataka

Shikilia hapo hapo, Kama ulishindwa kuomba msamaha mwanzoni kausha kabisa, Ila mfanyie suprise yoyote ya zawadi atafurahi naimani unajua anapenda nini, ukijishusha kwasasa utaharibu kilakitu.
Hiki ndicho kinawaponza vijana! Kushupaza shingo mwamba haisaidii ni kuendelea kuumizana tu! Hilo la kumtoa out lina mashiko sana.
 
Sasa kwa taarifa yako broh hii kitu huwa inakera ila ulikosea wewe mwenyewe mpaka kumshikilia bango na kesi kufika kwa wazazi.

Kwa mwanaume mstaarabu akikosea, daima hukiri kosa na mwanamke mstaarabu hivyo hivyo uhimili makasiriko nakukemea majanga yasitokee.

Wewe mwenyewe umeharibu, kiri kosa lako kwa wazazi, eleza scenario nzima na wife wako awepo huku ukiomba msamaha.
 
Niko calm ndo maana najishusha,kuwai kurudi nyumbani ila wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa inategemea kwa kiasi gani upo tayari kujishusha na kutatua changamoto iliyopo kwa mafinikio ya muda mrefu. Uzuri ni kwamba we mwenyewe unajua ulipoenda mrama, lakini kuyafukia machungu ya mwengine kwa vijizawadi au attention kunafukia tu machungu ya sasa lakini mwisho wa siku hayo machungu yakikua sana lazima mtu atafute pa kuyatolea na mara nyingi inakua "maji yakishamwagika hayazoleki" mkajikuta mnafikishana pabaya zaidi.
.
Chukulia huu mfano, upo na boss wako na wewe msaidizi wake, katika biashara/ kazi mkawa mnataka kufanya jambo la maendeleo lakini kila ukimpa boss mawazo yako hayatilii maanani (hili sio jambo baya mana akifanikiwa atakua ameshinda vizuri, kuwa na wazo lako na kulisimamia ni jambo jema) alafu baadae wazo lake likafeli na mambo yakawa vibaya ofisini vyuma vikakaza, sasa katika kutafuta suluhisho mkabishana na boss alafu kwa bahati mbaya ukasema "sema we boss huna akili, mbinafsi sana" na hayo maneno 'huna akili' yakaingia akilini mwa boss na akakumind na kukutishia kukufukuza kazi kwa kuwa anajua kabisa huna chanzo kingine cha kipato hivyo utaomba tu msamaha, kisha akanisemea kwa bodi ya wafanyakazi na wewe ukaonekana mbaya, na mbaya zaidi, ukaonekana ndio uliyesababisha hasara na chanzo cha ugomvi.

Na wewe kwa kuwa hapo ndo sehemu yako ya kupata tonge ukajishusha ili mambo yasiwe mengi ukaomba msamaha na kwa juu juu ikaonekana mambo yameisha ila ndani mwako kuna chuki inakua imejitengeneza na inakutafuna kila ukifikiria kwamba yote hayo kasababisha boss alafu we ndo unatembea na fedheha kila iitwapo leo. Alafu ghafla boss anakuja anakupa vizawadi na anakuambia atakupandisha mshahara wakati hata hamjawahi kukaa kuongea kuhusu kilichotokea wala hujawahi kuyatoa yako ya moyoni, je, utamchukuliaje?
.
Utatuzi.
Kama ukiwa tayari kuyamaliza kwa ajili ya furaha ya muda mrefu, usianze na vizawadi na attention, hivyo viwe kama vikolombwezo tu, cha kufanya mkae muongee.
Kwenye kuongea huko wewe nafasi yako ni moja tu, Kuuliza Maswali zaidi ya kujitetea. Mfanye aongee ili ujue kiundani nini kinamkwaza zaidi apo ndo utajua unatatuaje tatizo lililopo, wanawake wanatatua matatizo yao kwa kuongea.
Na mkiongea vizuri kesho unaweza kutuletea stori za kitandani humu haha.
Lakini mpe sharti kwamba aongee kwa utulivu, kama anapayuka payuka kwa utulivu mwambie, leo nilikua nina mudi ya kukusikiliza wife lakini umenikata stimu so, ukiwa kwenye hali ya utulivu ndo tutaongea. Kisha mwache mpe muda.
Think Long Term Brother, Good Luck.
 
Wakuu,

Tangu wiki ilopita nmetofautiana na MKE Wangu mamaG, chanzo Ni mm mwnyw na upuuzi upuuzi wangu, kujitia ujuaji mwingi, kutokufuata ushaur wa MKE wangu mpk nmeyaharibu mambo.
(Sio cheating, ni mambo tu kimaendeleo ya familia)

Binafsi najua mm ndo nilimkosea, Ila Sasa ule Ubabe ubabe na kutokubali kushindwa Wala kukiri mi Ndo nmemkosea,Basi nikamchokonoa kusudi mpk akapanic na kuongea Sana.

Sasa ktk kuongea kwake ktk hasira akatamka neno flani hivi limekaa vibaya sn. Nikalidaka hilo neno na nikalishikia bango kwelikweli. Mama G akachukia na kwenda kunisemea kwa wazazi wangu nmemkosea.

Kule kwa wazazi nilipoitwa Kwny kesi, nikalishikia bango lile neno alilotamka ktk hasira zake na kibao kikamgeukia yeye. ikaonekana ana makosa na Ikalazimika yeye mwnyw ndo aombe radhi ili yaishe. Kweli wife kafanya hivyo mbele ya wazazi.

Sasa tangu ameomba radhi, Tumerud nyumbani ni kama amenichukia Aina flani Kama Kanuna ila anatekeleza wajibu wake Kama kawaida ila uchangamfu wake sio Kama yule wa zamani.

Kwenye hili Mi mwnyw nafs inanisuta, Maana najua moyon mm ndo nmemkosea, Ila kukiri nmekosea hapo ndio changamoto. Najaribu kuonesha sn upendo ila kauchuna.

Kuna MDA nataman sn kuongea na wife kwny Simu, ila akishapokea TU, ananitaka niende straight kwny point.
Nikishaongea point, Hana Kunisikiliza Tena, anakata Simu haraka. Nikimtext pia anajibu shortly. Story story Kama zamani Hana na hataki kuskia.

Kiukweli Hali hii inaenda wiki ya pili Sasa na inaniumiza sana, nmejaribu kuitafuta furaha kwa Mchepuko ila nmejikuta chemistry inagoma kabisa, nakua mkali mkali afu nafoka Sana.

Nikienda kwa mchepuko naishia kulala Usngz na sitaki kelele za miziki Wala kelele za mtu kuongea na Simu (nafukuza akongelee uko nje), najikuta sitaki kuguswa Wala kuchezewa popote.
Namuona mchepuko Kama lisanamu flani na Hata anaponitaka tufanye mapenz mihemko ya ngono sina kabisa.

Imefika mahali nmeona kwenda kwa Mchepuko nayo Ni kero Sasa, nmeanza kukwepa. Kila siku naahidi nitaenda kwa mchepuko ila mda ukifika siendi, mzuka hamna kabisa.

Hata ile Hali ya kuchat au kuongea na mchepuko kwny Simu Ni kama imekufa kabisa. Mchepuko akipiga Najibu TU
"subir Kwanza, nko bize,ntakuchek baadae"
Akikata TU,ndo imetoka iyo.

Nikitoka kazin Ni straight bar,
Nako baa nikihisi Kuna makelele sn,
Au Kuna Watu wamekuja mezan kwangu wanaongea Sana, nabeba kinywaji changu najifungia nakunywa peke yangu ndani ya Gari.

Nikiona hapo Ni Moja kwa moja nyumbani, Tena chumban kabisa kitandani kulala.

Imefikia mahali Michepuko yote nmeona ishagundua siko sawa, lawama kila Kona, nmejitetea kwa kujificha kwny kichaka Cha changamoto zangu kibishara. Hawajanikosea chochote

Ila ukweli wenyewe Ni kwamba mahusiano yangu na wife hayako sawa kabisa. Na hii imekua hivi sio mara Moja Wala mara mbili, nikitofautiana na wife, hamu na michepuko inakata kabisa.

Nmejaribu kuulizia kwa rafki zangu wa karibu wenye muchepuko Hali hii vipi kwenu. Nao wanasema hivo hivo.

Mahusiano yakiwa mabaya nyumba kubwa (kwa wife) Hata hamu Wala morali ya kuchepuka inakata kabisa.

Imekaaje hii wakuu[emoji848]

View attachment 2492445
100 % very true,Amani/Furaha huwa inaanzia nyumban then mambo mengine ya njee ndo yanaendelea vizur hii ni kwa Kila kitu including uchepukaji.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Hiki ndicho kinawaponza vijana! Kushupaza shingo mwamba haisaidii ni kuendelea kuumizana tu! Hilo la kumtoa out lina mashiko sana.
Kama alishindwa mwanzo iweje afanye mwisho, alienda Hadi kwa wazazi na ikaonekana mwanamke ndio anakosa iweje ajishushe? ukisimamia msimamo simama kweli kweli,
 
Wakuu,

Tangu wiki ilopita nmetofautiana na MKE Wangu mamaG, chanzo Ni mm mwnyw na upuuzi upuuzi wangu, kujitia ujuaji mwingi, kutokufuata ushaur wa MKE wangu mpk nmeyaharibu mambo.
(Sio cheating, ni mambo tu kimaendeleo ya familia)

Binafsi najua mm ndo nilimkosea, Ila Sasa ule Ubabe ubabe na kutokubali kushindwa Wala kukiri mi Ndo nmemkosea,Basi nikamchokonoa kusudi mpk akapanic na kuongea Sana.

Sasa ktk kuongea kwake ktk hasira akatamka neno flani hivi limekaa vibaya sn. Nikalidaka hilo neno na nikalishikia bango kwelikweli. Mama G akachukia na kwenda kunisemea kwa wazazi wangu nmemkosea.

Kule kwa wazazi nilipoitwa Kwny kesi, nikalishikia bango lile neno alilotamka ktk hasira zake na kibao kikamgeukia yeye. ikaonekana ana makosa na Ikalazimika yeye mwnyw ndo aombe radhi ili yaishe. Kweli wife kafanya hivyo mbele ya wazazi.

Sasa tangu ameomba radhi, Tumerud nyumbani ni kama amenichukia Aina flani Kama Kanuna ila anatekeleza wajibu wake Kama kawaida ila uchangamfu wake sio Kama yule wa zamani.

Kwenye hili Mi mwnyw nafs inanisuta, Maana najua moyon mm ndo nmemkosea, Ila kukiri nmekosea hapo ndio changamoto. Najaribu kuonesha sn upendo ila kauchuna.

Kuna MDA nataman sn kuongea na wife kwny Simu, ila akishapokea TU, ananitaka niende straight kwny point.
Nikishaongea point, Hana Kunisikiliza Tena, anakata Simu haraka. Nikimtext pia anajibu shortly. Story story Kama zamani Hana na hataki kuskia.

Kiukweli Hali hii inaenda wiki ya pili Sasa na inaniumiza sana, nmejaribu kuitafuta furaha kwa Mchepuko ila nmejikuta chemistry inagoma kabisa, nakua mkali mkali afu nafoka Sana.

Nikienda kwa mchepuko naishia kulala Usngz na sitaki kelele za miziki Wala kelele za mtu kuongea na Simu (nafukuza akongelee uko nje), najikuta sitaki kuguswa Wala kuchezewa popote.
Namuona mchepuko Kama lisanamu flani na Hata anaponitaka tufanye mapenz mihemko ya ngono sina kabisa.

Imefika mahali nmeona kwenda kwa Mchepuko nayo Ni kero Sasa, nmeanza kukwepa. Kila siku naahidi nitaenda kwa mchepuko ila mda ukifika siendi, mzuka hamna kabisa.

Hata ile Hali ya kuchat au kuongea na mchepuko kwny Simu Ni kama imekufa kabisa. Mchepuko akipiga Najibu TU
"subir Kwanza, nko bize,ntakuchek baadae"
Akikata TU,ndo imetoka iyo.

Nikitoka kazin Ni straight bar,
Nako baa nikihisi Kuna makelele sn,
Au Kuna Watu wamekuja mezan kwangu wanaongea Sana, nabeba kinywaji changu najifungia nakunywa peke yangu ndani ya Gari.

Nikiona hapo Ni Moja kwa moja nyumbani, Tena chumban kabisa kitandani kulala.

Imefikia mahali Michepuko yote nmeona ishagundua siko sawa, lawama kila Kona, nmejitetea kwa kujificha kwny kichaka Cha changamoto zangu kibishara. Hawajanikosea chochote

Ila ukweli wenyewe Ni kwamba mahusiano yangu na wife hayako sawa kabisa. Na hii imekua hivi sio mara Moja Wala mara mbili, nikitofautiana na wife, hamu na michepuko inakata kabisa.

Nmejaribu kuulizia kwa rafki zangu wa karibu wenye muchepuko Hali hii vipi kwenu. Nao wanasema hivo hivo.

Mahusiano yakiwa mabaya nyumba kubwa (kwa wife) Hata hamu Wala morali ya kuchepuka inakata kabisa.

Imekaaje hii wakuu[emoji848]

View attachment 2492445
Yes huwa napenda uongelee mkeo sio mchepuko kila uchao.

Fanya hivi;
Chagua siku uwahi nyumbani.
Mtoe out mahali tulivu sana.
Mpatie chakula na kinywaji bora akipendacho.

Baada ya maakuli na mkiendelea kunywa.
Hebu ongea naye taratibu huku ukiwa umemlaza kifuani.
Msifie sana na mkumbushe nyakati za furaha na mwisho muombe msamaha na umwahidi kuwa utakuwa unazingatia ushauri wake.

Ninaamini atalegea na kukusamehe na ukiona amelegeza mpeleke hotelini mmalizane kabisa mrudi home mkiwa mmekula na kukulana kabisa
 
Nikwambie kitu mshua....kama alirudi leba mara ya pili ama ya tatu basi fata ushauri wa mkuu hapo juu..atasamehe na atakaa sawa. Unampenda mkeo kiukweli na ndo maana huna amani. As long as aliapologize basi tayari umeshashinda.

Tafuta kizawadi afu kama vipi mtoe out. Ikiwezekana mkalale huko hata weekend kama watt sio wadogo sana. Mpe maneno mazuri..mpetty petty..mpe romances za kutosha and tell her she is your world. Mueleze namna ambavyo unamuappreciate na unapenda amani baina yenu. Tell her nyinyi ni wanandoa, baba na mama wa so and so but express how you love her from your inner soul. Mwambie udhaifu wake ambao unakukwaza na ukimaliza mwambie mazuri yake hata kama si yote, asije akavimba kichwa. Na vizuri zaidi umpe nafasi naye aseme kilichopo moyoni kama ni mazuri yako na udhaifu wako unaomuumiza na kumkosesha raha.

Tell her you are sorry kwa kilichopita katikati yenu na myasahau..myazike msonge mbele. Assure her you love her and kama utaweza mpe fungu la maana na umwambie hii ni kwa ajili ya familia na hili ni lako special..liwe la maana sasa mshua sio la kinyonge. Ambalo kwa hali ya uchumi wenu anayoijua ataweza kwenda kununua nguo nzuri, kusuka style nzuri au kufanya chochote atachojisikia. Watoto watakuwa vizuri na amani kama mama yao ana amani.

Kama unampenda mkeo na unapenda familia yako iweke namba moja. Huyo akiwa na amani na urafiki ukawa restored, hata kuna staili ambazo si rahisi za kule kwenyewe kule..yuko radhi kujifunza akufurahishe...[emoji1732]. Kujenga urafiki na mkeo na kuirejesha amani is a process so you have to earn it.

Concentrate on her saivi. Focus on your woman..ila mipaka pia iwepo and sikwambii umworship. Love your wife braza..its hard but its a choive you have to make every single day you rise. All the best.

NB: Huu ni ushauri kwa deep kama una ushauri wako na wewe andika. Kama hukubaliani nao please just pass my love.
Mhm madini tupu, akifuata huu ushauri ndoa imepona
 
Wakuu,

Tangu wiki ilopita nmetofautiana na MKE Wangu mamaG, chanzo Ni mm mwnyw na upuuzi upuuzi wangu, kujitia ujuaji mwingi, kutokufuata ushaur wa MKE wangu mpk nmeyaharibu mambo.
(Sio cheating, ni mambo tu kimaendeleo ya familia)

Binafsi najua mm ndo nilimkosea, Ila Sasa ule Ubabe ubabe na kutokubali kushindwa Wala kukiri mi Ndo nmemkosea,Basi nikamchokonoa kusudi mpk akapanic na kuongea Sana.

Sasa ktk kuongea kwake ktk hasira akatamka neno flani hivi limekaa vibaya sn. Nikalidaka hilo neno na nikalishikia bango kwelikweli. Mama G akachukia na kwenda kunisemea kwa wazazi wangu nmemkosea.

Kule kwa wazazi nilipoitwa Kwny kesi, nikalishikia bango lile neno alilotamka ktk hasira zake na kibao kikamgeukia yeye. ikaonekana ana makosa na Ikalazimika yeye mwnyw ndo aombe radhi ili yaishe. Kweli wife kafanya hivyo mbele ya wazazi.

Sasa tangu ameomba radhi, Tumerud nyumbani ni kama amenichukia Aina flani Kama Kanuna ila anatekeleza wajibu wake Kama kawaida ila uchangamfu wake sio Kama yule wa zamani.

Kwenye hili Mi mwnyw nafs inanisuta, Maana najua moyon mm ndo nmemkosea, Ila kukiri nmekosea hapo ndio changamoto. Najaribu kuonesha sn upendo ila kauchuna.

Kuna MDA nataman sn kuongea na wife kwny Simu, ila akishapokea TU, ananitaka niende straight kwny point.
Nikishaongea point, Hana Kunisikiliza Tena, anakata Simu haraka. Nikimtext pia anajibu shortly. Story story Kama zamani Hana na hataki kuskia.

Kiukweli Hali hii inaenda wiki ya pili Sasa na inaniumiza sana, nmejaribu kuitafuta furaha kwa Mchepuko ila nmejikuta chemistry inagoma kabisa, nakua mkali mkali afu nafoka Sana.

Nikienda kwa mchepuko naishia kulala Usngz na sitaki kelele za miziki Wala kelele za mtu kuongea na Simu (nafukuza akongelee uko nje), najikuta sitaki kuguswa Wala kuchezewa popote.
Namuona mchepuko Kama lisanamu flani na Hata anaponitaka tufanye mapenz mihemko ya ngono sina kabisa.

Imefika mahali nmeona kwenda kwa Mchepuko nayo Ni kero Sasa, nmeanza kukwepa. Kila siku naahidi nitaenda kwa mchepuko ila mda ukifika siendi, mzuka hamna kabisa.

Hata ile Hali ya kuchat au kuongea na mchepuko kwny Simu Ni kama imekufa kabisa. Mchepuko akipiga Najibu TU
"subir Kwanza, nko bize,ntakuchek baadae"
Akikata TU,ndo imetoka iyo.

Nikitoka kazin Ni straight bar,
Nako baa nikihisi Kuna makelele sn,
Au Kuna Watu wamekuja mezan kwangu wanaongea Sana, nabeba kinywaji changu najifungia nakunywa peke yangu ndani ya Gari.

Nikiona hapo Ni Moja kwa moja nyumbani, Tena chumban kabisa kitandani kulala.

Imefikia mahali Michepuko yote nmeona ishagundua siko sawa, lawama kila Kona, nmejitetea kwa kujificha kwny kichaka Cha changamoto zangu kibishara. Hawajanikosea chochote

Ila ukweli wenyewe Ni kwamba mahusiano yangu na wife hayako sawa kabisa. Na hii imekua hivi sio mara Moja Wala mara mbili, nikitofautiana na wife, hamu na michepuko inakata kabisa.

Nmejaribu kuulizia kwa rafki zangu wa karibu wenye muchepuko Hali hii vipi kwenu. Nao wanasema hivo hivo.

Mahusiano yakiwa mabaya nyumba kubwa (kwa wife) Hata hamu Wala morali ya kuchepuka inakata kabisa.

Imekaaje hii wakuu[emoji848]

View attachment 2492445
Depoond ww ni aliwatani ila kwa ili umeniangusha sana mwamba
 
Sasa mkuu kama wewe ndiye mwenye makosa kwa nini umegeuzie kibao mwenzio? Jishushe tu mkuu umwombe radhi sana my wife wako haitakugharimu kitu! Ona sasa unaishi kama kunguru wala hupafurahii tena kwako! Kuna mwamba hapo ameshauri kwamba umtoe out, naunga mkono hoja tena kama unaweza unaweza kumpeleka hata Ngorongoro au Zanzibar akale life japo la siku 2 hivi mkayajenge vizuri! Mwaka bado mpya huu mkuu!
Kuna namna yangu kuomba radhi,
Ila kuomba straight nilishindwa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwa taarifa yako broh hii kitu huwa inakera ila ulikosea wewe mwenyewe mpaka kumshikilia bango na kesi kufika kwa wazazi.

Kwa mwanaume mstaarabu akikosea, daima hukiri kosa na mwanamke mstaarabu hivyo hivyo uhimili makasiriko nakukemea majanga yasitokee.

Wewe mwenyewe umeharibu, kiri kosa lako kwa wazazi, eleza scenario nzima na wife wako awepo huku ukiomba msamaha.
Duh! Hapo kwny kukiri kipengele sn mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes huwa napenda uongelee mkeo sio mchepuko kila uchao.

Fanya hivi;
Chagua siku uwahi nyumbani.
Mtoe out mahali tulivu sana.
Mpatie chakula na kinywaji bora akipendacho.

Baada ya maakuli na mkiendelea kunywa.
Hebu ongea naye taratibu huku ukiwa umemlaza kifuani.
Msifie sana na mkumbushe nyakati za furaha na mwisho muombe msamaha na umwahidi kuwa utakuwa unazingatia ushauri wake.

Ninaamini atalegea na kukusamehe na ukiona amelegeza mpeleke hotelini mmalizane kabisa mrudi home mkiwa mmekula na kukulana kabisa
Ushaur mwanana kabisa huu,
Sio Siri nmepata maarifa mapya hapa[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpe muda usimsumbue hata siku mbili tatu kisha mtoe sehemu zilizotulia na mkifika usiende direct umempeleka kumuomba msamaha mnaweza mkarudi Kila mtu na njiayake [emoji3]endeleeni na mambo mengine ya kufurahisha then msamaha chomekea kati kati na usijielezee sana usisahau na zawadi km mazingira yanaruhusu laleni hukohuko...
Hii kitu ya out imekaa POA sn,
Japo Ratiba imenibana ila Ntaifanyia kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom